Hujatoka hiyo misa ya pili, au unaendesha sunday school?Mkuu Nguruvi3 , kwa vile jf was meant for ma GT, na imetokea humu jf ma GT wa ukweli wanahesabika, na kwa vile wewe Mkuu Nguruvi3, ni mmoja wa GT wa ukweli humu ambao mko wachache, hoja zako zote nazichukulia very serious hivyo hizi hoja za post yako hii, nimeziweka in points format, nitazijibu moja baada ya nyingine, no stones will be left unturned!.
Saa hizi najiandaa kwenda misa ya pili, kisha nikitulia, nakurudia mdogo mdogo
P
Akunyimae mbaazi kakupunguzia ushuzi.Akunyimae kunde zake.....
Kwanini wewe usivae sketi kwanza na sidiria tutambue jitihada zako kwa kuwatetea wakina mama? Si watu huandamana kwa namna hizo?Dada halima najua uko poa kabisa
Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao
Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya Wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum
Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwa sababu ya ubinafsi wao tu. Hii fursa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time
Wewe ndio kiongozi wa wanawake CHADEMA please acha kusikiliza hao wabinafsi, peleka majina ya akina mama wenzako ili mkatetee Chama
Miaka yote CHADEMA huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda Bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa
Najua una changamoto sana juu ya suala hili but be strong and peleka majina tume. Mwanaume ambae anakwambia msiende bungeni then mwambie avae sketi aende yeye.
Mimi nilifikiri unataka waende bungeni wakatetee wanawake wenzao na wananchi kwa ujumla.Wewe ndio kiongozi wa wanawake CHADEMA please acha kusikiliza hao wabinafsi, peleka majina ya akina mama wenzako ili mkatetee Chama
Nadhani Wakuu hapa jambo la kuangalia sio kupeleka majina tu huko Bungeni, bali kuangalia CHEDEMA wakipeleka majina Bungeni maana yake ni nini? CHADEMA wakipeleka majina kwa ajili ya viti maalum ni sawa na kahalalisha udhalimu wote uliofanywa wakati wa uchaguzi mkuu uliopita. Halima Mdee ni mwathirika wa kila pande na anajua fika kwamba akipeleka majina ni sawa na kukubali aliyofanyiwa jimboni kwake KAWE. Kinachonishangaza mimi ni kwa nini Bunge, CCM na Serikali ya JPM inahaha kuhusu majina ya viti maalum vya CHADEMA? Wao waliyataka haya mbona sasa wanagwaya tena? Bunge liachwe libaki la CCM . Hakuna kitu hapo. Kila kitu pamoja na madudu ya ajabu yatapita. Hakuna wa kuhoji lolote. Inaelekea ndivyo JPM alivyotaka.
Kama tunaambiwa Yesu ni mwana wa Mungu aliuliwa na wanadamu ili awakomboe wanadamu, ni kwanini watu au Mungu hawakumpambania asiuliwe? Sii lazima kuandamana hapo kwa hapo, kilichofanyika ni kupanda mbegu ya kuja kuandamana, na kwa mwenendo huu ni lazima maandamano yatatokea tu, kwani hakuna mwenye imani tena ya box la kura. Na kwa taarifa yako, kilichotokea juzi ndio kimefikisha tamati ya watu kujitokeza tena kupiga kura, hivyo kwa vyovyote maandamano tu ndio yatawatoa ccm madarakani, na ninatabiri kutatokea umwagaji mkubwa wa damu, take it from me.
Na ni nini athari za hatua hiyo kwa muda mfupi na muda mrefu. Nini image yao katika society!Nadhani Wakuu hapa jambo la kuangalia sio kupeleka majina tu huko Bungeni, bali kuangalia CHEDEMA wakipeleka majina Bungeni maana yake ni nini?
Katika vyama vyote wanawake wa Chadema walikuwa na nafasi nzuri sana ya kushinda, wameshindwa wengine kura zikihesabiwa wapo mahabusu. Sasa watafakari hatua watakazochukua kama zinaoana na mazingira waliyopitia. Hili ni shauri wanalopaswa kulijadili si kwa ushawishi wa CCM, Spika au NEC. Ni wao wenyeweCHADEMA wakipeleka majina kwa ajili ya viti maalum ni sawa na kahalalisha udhalimu wote uliofanywa wakati wa uchaguzi mkuu uliopita. Halima Mdee ni mwathirika wa kila pande na anajua fika kwamba akipeleka majina ni sawa na kukubali aliyofanyiwa jimboni kwake KAWE.
Kwakweli si wewe tu wapo wengi. Kuna mahali nimejiuliza '' ukiona Simba na Chui wamebeba mashada ya kwenda kumpongeza Swala katika Birthday'' lazima utafakari sana. Si jambo rahisi wala jepesi! Chui na Simba!!Kinachonishangaza mimi ni kwa nini Bunge, CCM na Serikali ya JPM inahaha kuhusu majina ya viti maalum vya CHADEMA?
Bunge la sasa ni la CCM wote na hiyo ni nafasi nzuri sana ya kuwaletea maendeleo wananchi.Wao waliyataka haya mbona sasa wanagwaya tena? Bunge liachwe libaki la CCM . Hakuna kitu hapo. Kila kitu pamoja na madudu ya ajabu yatapita. Hakuna wa kuhoji lolote. Inaelekea ndivyo JPM alivyotaka.
Kwanini mnaoumia chadema kutopeleka majina ya wabunge wa viti maalum ni vijana wa mataga na uvccm?Dada halima najua uko poa kabisa
Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao
Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya Wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum
Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwa sababu ya ubinafsi wao tu. Hii fursa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time
Wewe ndio kiongozi wa wanawake CHADEMA please acha kusikiliza hao wabinafsi, peleka majina ya akina mama wenzako ili mkatetee Chama
Miaka yote CHADEMA huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda Bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa
Najua una changamoto sana juu ya suala hili but be strong and peleka majina tume. Mwanaume ambae anakwambia msiende bungeni then mwambie avae sketi aende yeye.
Kuna wakati mwingine nimewahi kusema hapa kwamba all blind followers wa Lissu na chama chake wanaitikia rhumba beats za Bob Amsterdam bila wao kujua!
Hivi umeshawahi kujiuliza kuhusu the real logic ya involvement ya huyo foreign political mercenary kwenye uchaguzi wa ndani ya taifa letu wenyewe? Unadhani kuvuruga uchaguzi kwa kutengeneza mazingira ya kuhoji legitimacy ya ushindi wa wagombea wa CCM, ikibidi, haikuwa moja ya objectives zake?
Unaweza ukawa sio CCM ila uawa ni mataga.Kila mtu ambae yuko against mawazo yako basi ni ccm
Unasema wapeleke majina ili wapate wabunge wakakitetee chama! Kwa hivyo wabunge wa Chadema huenda bungeni kutetea chama na si wanachi! Huenda ndiyo sababu wengi wao hawajachaguliwa.Dada halima najua uko poa kabisa
Madhumuni ya barua hii ya wazi ni kutaka kukufikishia ujumbe ufuatao
Kuna taarifa nimezipata chini ya kapeti zikisema kuwa asilimia kubwa ya Wabunge wanaume ambao wamekosa ubunge ndio wanapambana nyie wakina mama msiende viti maalum
Napenda kukwambia kuwa hao wabunge wanasema nyie msiende ni kwa sababu ya ubinafsi wao tu. Hii fursa ingekuwa ya wao wanaume wasingewasikiliza nyie kabisa ingekuwa wameshaenda long time
Wewe ndio kiongozi wa wanawake CHADEMA please acha kusikiliza hao wabinafsi, peleka majina ya akina mama wenzako ili mkatetee Chama
Miaka yote CHADEMA huwa hairidhiki na matokeo ila huwa wanaenda Bungeni hiyo ni kwa sababu wanaume wengi walikuwa wanachaguliwa
Najua una changamoto sana juu ya suala hili but be strong and peleka majina tume. Mwanaume ambae anakwambia msiende bungeni then mwambie avae sketi aende yeye.