Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
imeandikwa wapi hiyo kwamba rais ni muweka hazina??Mkuu hujui hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imeandikwa wapi hiyo kwamba rais ni muweka hazina??Mkuu hujui hili?
kwani hata kama ni kodi zenu akiusema hizo naenda kutanulia dubai utamwambia nini akisema hizo napeleka shuleni utamwambia nini? kaidhinisha ziende huko kwahiyo usikatae kuwa ametoa kwani unafikiri yeye atatoa kwenye mshahara wake? acheni ulimbukeniAmetoa kwenye mshahara wake au kwenye biashara zake?
Kodi zetu ndo mnampamba kua rais ametoa? Hebu tupeni hishima walipa kodi
Kuna kitu mkuu Mr Dudumizi amekisema hapo juu, tafadhali kipitie!Ametoa kwenye mshahara wake au kwenye biashara zake?
Kodi zetu ndo mnampamba kua rais ametoa? Hebu tupeni hishima walipa kodi
Ni kweli, kwa sasa hivi inakera sana sana......ila miezi sita kurudi nyuma ilikuwa inapendeza hatari na kila aliyeitoa alipata likes za kutosha. HAKI YA NANI HII DUNIA!!!! Siku hiyo ya judgement day tutashangaa mengi sana!Kiukweli hii tabia ya kusema Rais katoa pesa kiasi fulani inakera sana.
Mambo yanakwenda kisomi,hizi ndio ajira,aliyeko maeneo hayo,akalime,kilimo cha mpunga,kinalipa.Zamani ilikuwa mabibi zetu,wazee ndio kazi zao,vijana jitokezeni,ajira hiyo.
![]()
- Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema Rais Samia ametoa Sh700 milioni kwa ajili ya ujenzi wa skimu ya Usense na kuboresha uzalishaji wa zao la mpunga linalolimwa katika skimu hiyo iliyopo Kata ya Uruwira Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi.
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema Rais Samia metoa Sh700 milioni kwa ajili ya ujenzi wa skimu ya Usense na kuboresha uzalishaji wa zao la mpunga linalolimwa katika skimu hiyo iliyopo Kata ya Uruwira Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi.
Bashe ameyasema hayo leo Oktoba 3 alipotembelea skimu hiyo, akisema wameweka mkakati ambao utamlinda mkulima, lengo ni kuhakikisha wakulima wananufaika kupitia shughuli zao za kilimo.
"Ni dhambi kuwaletea matumaini ambayo hayapo. Utaratibu uko hivi, nimempa Mhandisi siku 45 zabuni iwe imetangazwa ,watafanya michakato yao kumpata mkandarasi kwa hiyo hii skimu hii yenye wakulima 250 haitaanza kujengwa leo itachukua muda.
“Ninaamini msimu huu hata ukianza skimu haitakuwa imejengwa kwa sababu miujiza ilikuwepo wakati wa mtume Muhammad na Yesu, siku hizi hakuna miujiza," amesema Bashe na kusisitiza lazima taratibu ziwepo kufanikisha ujenzi.
Ameongeza skimu hiyo itajengwa mfereji mkuu ambao utakuwa na kilomita nane na mifereji mitano ambayo itakuwa na kilimota 7.5 kwa hiyo wakulima hao wasubiri lakini amewahakikishia zabuni itatangazwa ndani ya siku 45 na mkandarasi lazima apatikane.
"Nataka kupata majibu katika kipindi kifupi kwamba mkandarasi tayari amepatikana na taratibu zote zinaendelea vizuri, tunataka kila kitu kiwe sawa ili Waziri aje kuzindua ujenzi wa skimu hii. Serikali itawekeza fedha hizo milioni 700 ili kujenga hii skimu ya Usense maana yake lazima fedhazirudi ili tukawekeze sehemu zingine.
"Bahati mbaya miradi mingi ya umwagiliaji ambayo imewekezwa imekosa ufanisi kwa sababu viongozi wanaopewa kuisimamia wengi wanakuwa wabadhirifu kwa sababu fedha zinazochangwa zinanaishia kwenye vikao," amesema.
Pia, ametoa maagizo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi kuhakikisha wakulima waliosajiriwa kwenye skimu hiyo wanapimiwa maeneo yao na kupewa hati ya umiliki wa mashamba, kila mtu awe na hati ya umiliki wa shamba lake ili wawe na uhakika ndiyo wawe na uchungu.![]()
Kwa upande mwingine, Bashe amesema Serikali imeanzisha Mfuko wa Kuendeleza Umwagiliaji, hivyo wakulima wa kilimo cha umwagiliaj watapewa elimu kuhusu mfuko huo, ambapo wakivuna mazao kuna mchango ambao watautoa kuchangia.
"Mkulima asilazimishwe kulipa fedha kama hajalipa kiingilio cha kujisajili, mnaweza mkakubaliana mkulima akivuna kama ni asilimia 2.5 au tatu mpige mahesabu kwa gunia za mpunga halafu zile gunia zinahifadhiwa kwenye ghala la pamoja," amefafanua Bashe.
KAZI IENDELEE
Hongera sana,ajira hizo.Mkulima mmoja,anaweza kusababisha ajira mpaka kumi,kuanzia wenye maduka ya mbegu,maduka ya zana za kilimo,madereva,tanboy,fundi wa magari,wabeba mizigo,mama lishe,wenye mashine za kukoboa,wauzaji wa mchele jumla,wauzaji wa mchele reja reja.Hongera raisi Samia kwa kuonesha uzalendo na upendo wa kweli kwa nchi yako. Wenye akili zilizo huru tunauona mchango wako uliotukuka ndani ya taifa letu, japo kuna wale ambao akili zao hazipo huru (yan wamezikabizi kwa viongozi wao) wanajifanya hawaoni unachokifanya. Wengi wao wanajua fika kuwa viongozi wao wamekaa bungeni zaidi ya miaka 10 hadi 15, bila hata kuacha alama ya kuchimba japo visima viwili vitatu kwa wapiga kura wao nk.
Twamuombea sana,Mungu ampe Afya na umri umrefu.Wanawake ni viongozi wazuri sana,kama Mama Marya(Bi Mariyamu)Mama wa Yesu,na Bi Khadia(Mke wa Mtume Muhammad).Mama anatisha sana aise, tuendelee kumuombea
Nyumbani mama,akituletea chakula,tulipokuwa wadogo,hatumhoji,mama katoa wapi,bora tushibe.Ajira za kumwaga hizo.huyo mama amepata wapi hizo pesa wakati mshahara wake sio mkubwa kiasi hicho??
Sana,tembea Mikoani,uone mabadiliko.Mwenye macho,haambiwi tizama.Kilimo ni ajira,tena nzuri sana.Ila semaukweli Samia anafanya kazi kubwa sana,
nyumbani kwenu sio?Nyumbani mama,akituletea chakula,tulipokuwa wadogo,hatumhoji,mama katoa wapi,bora tushibe.Ajira za kumwaga hizo.
Hela ya Una,inayotumika vizuri.Matokeo mazuri,tunayaona.Hapo kwenye mpunga,ajira za kumwaga hizo.Kama uko karibu na sehemu ya kilimo,wahi shamba,uanze kilimo.Nashangaa mtoa mada...Unamanisha Rais anamihela ameanza kugawa kama alivokua akifanya JPM?..kumbe hela za Umma viongozi wenu hujitwalia na kuzifany zao sio??
Hizi SIFA ni balaa Fedha ya SERIKALI hivi Tukisema SERIKALI IMETOA HIZO FEDHA sio Sahihi?
![]()
- Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema Rais Samia ametoa Sh700 milioni kwa ajili ya ujenzi wa skimu ya Usense na kuboresha uzalishaji wa zao la mpunga linalolimwa katika skimu hiyo iliyopo Kata ya Uruwira Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi.
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema Rais Samia metoa Sh700 milioni kwa ajili ya ujenzi wa skimu ya Usense na kuboresha uzalishaji wa zao la mpunga linalolimwa katika skimu hiyo iliyopo Kata ya Uruwira Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi.
Bashe ameyasema hayo leo Oktoba 3 alipotembelea skimu hiyo, akisema wameweka mkakati ambao utamlinda mkulima, lengo ni kuhakikisha wakulima wananufaika kupitia shughuli zao za kilimo.
"Ni dhambi kuwaletea matumaini ambayo hayapo. Utaratibu uko hivi, nimempa Mhandisi siku 45 zabuni iwe imetangazwa ,watafanya michakato yao kumpata mkandarasi kwa hiyo hii skimu hii yenye wakulima 250 haitaanza kujengwa leo itachukua muda.
“Ninaamini msimu huu hata ukianza skimu haitakuwa imejengwa kwa sababu miujiza ilikuwepo wakati wa mtume Muhammad na Yesu, siku hizi hakuna miujiza," amesema Bashe na kusisitiza lazima taratibu ziwepo kufanikisha ujenzi.
Ameongeza skimu hiyo itajengwa mfereji mkuu ambao utakuwa na kilomita nane na mifereji mitano ambayo itakuwa na kilimota 7.5 kwa hiyo wakulima hao wasubiri lakini amewahakikishia zabuni itatangazwa ndani ya siku 45 na mkandarasi lazima apatikane.
"Nataka kupata majibu katika kipindi kifupi kwamba mkandarasi tayari amepatikana na taratibu zote zinaendelea vizuri, tunataka kila kitu kiwe sawa ili Waziri aje kuzindua ujenzi wa skimu hii. Serikali itawekeza fedha hizo milioni 700 ili kujenga hii skimu ya Usense maana yake lazima fedhazirudi ili tukawekeze sehemu zingine.
"Bahati mbaya miradi mingi ya umwagiliaji ambayo imewekezwa imekosa ufanisi kwa sababu viongozi wanaopewa kuisimamia wengi wanakuwa wabadhirifu kwa sababu fedha zinazochangwa zinanaishia kwenye vikao," amesema.
Pia, ametoa maagizo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi kuhakikisha wakulima waliosajiriwa kwenye skimu hiyo wanapimiwa maeneo yao na kupewa hati ya umiliki wa mashamba, kila mtu awe na hati ya umiliki wa shamba lake ili wawe na uhakika ndiyo wawe na uchungu.![]()
Kwa upande mwingine, Bashe amesema Serikali imeanzisha Mfuko wa Kuendeleza Umwagiliaji, hivyo wakulima wa kilimo cha umwagiliaj watapewa elimu kuhusu mfuko huo, ambapo wakivuna mazao kuna mchango ambao watautoa kuchangia.
"Mkulima asilazimishwe kulipa fedha kama hajalipa kiingilio cha kujisajili, mnaweza mkakubaliana mkulima akivuna kama ni asilimia 2.5 au tatu mpige mahesabu kwa gunia za mpunga halafu zile gunia zinahifadhiwa kwenye ghala la pamoja," amefafanua Bashe.
KAZI IENDELEE