Bashe, Tofauti ya Sukari Kutoka Brazil vs itokayo Zambia na Uganda ni ipi?

Bashe, Tofauti ya Sukari Kutoka Brazil vs itokayo Zambia na Uganda ni ipi?

Hiyo sukari ya Brazil inayoitwa brown sugar ni sukari chafu na takataka za sukari ambazo ni very cheap, kama London wazungu hawali utumbo hivyo Wanigeria na Waafrika ni kujikusanyia tuu bure, the cost ni transport only!.

Sukari yote ya Zambia inapita Dar port!. Tuondoe tuu zuio la ku imports sukari, ya Uganda ipitie Mutukula, ya Zambia ipitie Tunduma, ya Malawi ipitie Kasumulu, ya Kenya ipitie Namanga na Holili, ya Rwanda ipitie Rusumo, Burundi kupitia Mayovu, Msumbiji kupitia Mkenda, it take just a day na sukari itakuwa imejaa Tanzania!.
P
Sijakuelewa,

Sukari niiongeleayo siyo ya importation, ni ya kuzalishwa ndani ya Zambia na Uganda.
 
Unaachaje sukari Toka Kwa Museveni au Zambia Kwa Jirani zetu halafu uagize sukari Toka Brazil?

Tukichukua ndege yetu mpya ya mizigo ikapakie sukali Zambia au UG, ni siku mbili tu Nchi tatizo limeisha.

Mbona Mrema aliweza?
Tuache ubinafsi🙏
Ndiyo maana nikasema, duniani binadamu wanaendelea kupukutika wengi wanaobaki ni watu.
 
Nawezaje kuwa na subira ikiwa Nina pesa yangu mfukoni , nikihitaji sukari naambiwa nisubiri itoke Brazil ilhali hapo Zambia upo Mzigo wa kutosha?

Matatizo ya nchi hii, CCM inayatengeneza makusudi!!
sasa kama unayo hela mfukoni malalamiko ya nini, si ukwee pipa na ukachukue hiyo sukari chap mara moja, apo kwa HH na urudi, unywe chai na uendeelee na shughuli zako 🐒

wewe huna shida na sukari una gubu na kitu ingine,acha kuhadaa watu hapa 🐒
 
Ndiyo maana nikasema, duniani binadamu wanaendelea kupukutika wengi wanaobaki ni watu.
Kenya hapo amekamatwa tajiri aliyehonga mamlaka zilizokuwa zimekamata sukari fake Toka huko huko Brazil Kisha akaanza kuingiza sokoni!!

Kweli binadamu wamepungua, wamebaki mapepo katika form ya WANADAMU.
 
sasa kama unayo hela mfukoni malalamiko ya nini, si ukwee pipa na ukachukue hiyo sukari chap mara moja, apo kwa HH na urudi, unywe chai na uendeelee na shughuli zako 🐒

wewe huna shida na sukari una gubu na kitu ingine,acha kuhadaa watu hapa 🐒
Hizo dharau zako utakwama muda Si mrefu.

Tangu uhuru sukari haijawahi fika 6500, ni pekee chini ya uongozi wa sa100!!

Tusubiri.
 
Salaam, Shalom!!

Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,

Ningependa kujua nini maana ya dharura?

Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?

Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?

Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.

Brazil kunani? Hata ubora tu wa Sukari ya kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.

Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.

Nawasilisha🙏
Hao jamaa wana control soko makusudi. Deal zao hizo. Magufuli pamoja na madhaifu yake, asingeruhusu upuuzi huu.
 
Hao jamaa wana control soko makusudi. Deal zao hizo. Magufuli pamoja na madhaifu yake, asingeruhusu upuuzi huu.
Kwa bibi yangu kijijini sukari 6,500,

Halafu Bashe atwambia anasubiri Bunge Ili apekeke muswada kubadili SHERIA Ili vibali vitolewe Kwa wote.

Ni kana vile hakuna dharura!!
 
Hizo dharau zako utakwama muda Si mrefu.

Tangu uhuru sukari haijawahi fika 6500, ni pekee chini ya uongozi wa sa100!!

Tusubiri.
aliekwama ni ww wengine twasonga bila tashwishwi wala mbambamba 🐒


uhuru wa kudharau na kubeza viongozi 🐒

eti nahela,
kwahiyo apo ndio umejiona hodariiii, mwamba, boss, tajiri, chief 🐒

wenye hela wanalalamika bana 🐒
 
aliekwama ni ww wengine twasonga bila tashwishwi wala mbambamba 🐒


uhuru wa kudharau na kubeza viongozi 🐒

eti nahela,
kwahiyo apo ndio umejiona hodariiii, mwamba, boss, tajiri, chief 🐒

wenye hela wanalalamika bana 🐒
Haiwezekani nilipe bill ya maji, maji yasitoke bombani,

Nikiuliza, najibiwa nipande gari nikaoge ziwani au mtonii!!

Hizi dharau IPO siku yaja!!
 
Kilichonisikitisha ni pale ambapo mvua za Elnino nazo zilikuwa sababu ya kukosekana sukari. Sasa najiuliza wakati TMA wanatoa utabiri wao ilichukuliwa desturi inawahusi watu wa mabondeni tu. Huwezi amini kama tunaviongozi wanaoona mbali. Ilipaswa suala la kuagiza sukari nje lianze tokea mwezi December coz ndio wakati ambao miwa ilikuwa ivunwe na mvua zilikuwa kubwa so ilikuwa ngumu Kuvuna so ilibidi hata watu wa viwanda nao utabiri wa Hali ya hewa na wao wautumie sio Kwa watu waishio mabondeni tu
 
Haiwezekani nilipe bill ya maji, maji yasitoke bombani,

Nikiuliza, najibiwa nipande gari nikaoge ziwani au mtonii!!

Hizi dharau IPO siku yaja!!
sasa umeanza kuchekesha na kujitoa mwenyewe kwenye reli 🐒

For your information, shehena ya sukari ya kutosha nchi nzima inapakuliwa bandarini wakati shehena kubwa zaidi iko njiani kukabili upungufu wa sukari nchini 🐒

hata hivyo jitihada kubwa zaidi zinaendelea kufanyika kuhakikisha uzalishaji wa ndani unaanza maramoja pale hali ya tabianchi itakapokaa sawa 🐒
 
Hiyo sukari ya Brazil inayoitwa brown sugar ni sukari chafu na takataka za sukari ambazo ni very cheap, kama London wazungu hawali utumbo hivyo Wanigeria na Waafrika ni kujikusanyia tuu bure, the cost ni transport only!.

Sukari yote ya Zambia inapita Dar port!. Tuondoe tuu zuio la ku imports sukari, ya Uganda ipitie Mutukula, ya Zambia ipitie Tunduma, ya Malawi ipitie Kasumulu, ya Kenya ipitie Namanga na Holili, ya Rwanda ipitie Rusumo, Burundi kupitia Mayovu, Msumbiji kupitia Mkenda, it take just a day na sukari itakuwa imejaa Tanzania!.
P
Kwa hiyo unadhani sukari kiasi gani inahitajika kwa mwezi ili tu-import? Na Zambia, Uganda na Malawi wanazalisha kiasi gani ili uagizaji wetu usiharibu Bei zao za ndani?
Pia tujulishe gharama au Bei ya hizo nchi vs. Brazil.
Au unasema tu bila data?
 
Hiyo sukari ya Brazil inayoitwa brown sugar ni sukari chafu na takataka za sukari ambazo ni very cheap, kama London wazungu hawali utumbo hivyo Wanigeria na Waafrika ni kujikusanyia tuu bure, the cost ni transport only!.

Sukari yote ya Zambia inapita Dar port!. Tuondoe tuu zuio la ku imports sukari, ya Uganda ipitie Mutukula, ya Zambia ipitie Tunduma, ya Malawi ipitie Kasumulu, ya Kenya ipitie Namanga na Holili, ya Rwanda ipitie Rusumo, Burundi kupitia Mayovu, Msumbiji kupitia Mkenda, it take just a day na sukari itakuwa imejaa Tanzania!.
P
This scandal will never go unpunished and Kizimkazi's reign will be remembered as a failed regime.
 
sasa umeanza kuchekesha na kujitoa mwenyewe kwenye reli [emoji205]

For your information, shehena ya sukari ya kutosha nchi nzima inapakuliwa bandarini wakati shehena kubwa zaidi iko njiani kukabili upungufu wa sukari nchini [emoji205]

hata hivyo jitihada kubwa zaidi zinaendelea kufanyika kuhakikisha uzalishaji wa ndani unaanza maramoja pale hali ya tabianchi itakapokaa sawa [emoji205]
Acha Maneno ya kisiasa haswa kwenye maswala ambayo hata mbumbumbu anayafahamu.
 
Brazil siyo sukari ni uhundwaji wa chemicals ndiyo maana hata ukiunga inawekwa nyingi sana.

Hakuna nchi (kama Tanzania) wataruhusu mlete sukari kutoka Zambia au Uganda ambapo wanajua hawatapata 10 percentage, hii dunia imebaki na binadamu wachache sana, wengi ni watu waliopo duniani.
Nilisikia Leo kwenye EFM radio kuna wananchi walipiga simu wanalalamika sukari kuwa haikozi na haina ladha ya sukari!
 
Back
Top Bottom