Bashe, Tofauti ya Sukari Kutoka Brazil vs itokayo Zambia na Uganda ni ipi?

Bashe, Tofauti ya Sukari Kutoka Brazil vs itokayo Zambia na Uganda ni ipi?

Hiyo sukari ya Brazil inayoitwa brown sugar ni sukari chafu na takataka za sukari ambazo ni very cheap, kama London wazungu hawali utumbo hivyo Wanigeria na Waafrika ni kujikusanyia tuu bure, the cost ni transport only!.

Sukari yote ya Zambia inapita Dar port!. Tuondoe tuu zuio la ku imports sukari, ya Uganda ipitie Mutukula, ya Zambia ipitie Tunduma, ya Malawi ipitie Kasumulu, ya Kenya ipitie Namanga na Holili, ya Rwanda ipitie Rusumo, Burundi kupitia Mayovu, Msumbiji kupitia Nakonde, it take just a day na sukari itakuwa imejaa Tanzania!.
P
Ukienda Mbeya sukari inayotumika ni kutoka Malawi na Zambia toka kitambo,na naamini kwenye 'border' zingine Sukari toka nchi jirani itakuwa inapatikana kwa wingi na kwa haraka,nabaki najiuliza kwanini Sukari isubiriwe toka Brazil ambako ni mbali wakati nchi jirani sukari ipo ya kutosha?
 
Ukienda Mbeya sukari inayotumika ni kutoka Malawi na Zambia toka kitambo,na naamini kwenye 'border' zingine Sukari toka nchi jirani itakuwa inapatikana kwa wingi na kwa haraka,nabaki najiuliza kwanini Sukari isubiriwe toka Brazil ambako ni mbali wakati nchi jirani sukari ipo ya kutosha?
Sukari ya Jirani zetu ni HALISI ni kama tu ya kirombero, ni Bora hivyo kwao hawatapata faida wakinunua.

Ile ya Brazil ni fake, Si halisi, ni chemicals , ni Bei pia, lakini madhara yake Kwa AFYA ni makubwa.

Nyerere allipozuia wafanyabiashara kujiingiza kwenye Uongozi aliyaona haya.

Saiz Kila kiongozi anatafuta fursa mahala apate pesa.
 
Salaam, Shalom!!

Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,

Ningependa kujua nini maana ya dharura?

Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?

Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?

Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.

Brazil kunani? Hata ubora tu wa Sukari ya kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.

Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.

Nawasilisha🙏
Kwenda Zambia na Uganda hata watoto wanaotambaa wanaingia kila siku pale Tunduma kwa Zambia, hivyo haichukui wiki inachukua dakika tu.
 
Hakuna nchi inayofanya hivyo. Hiyo ni dhana ya kufikirika.
Namaanisha waruhusu hiyo ya Zambia na Malawi na Uganda ishindane bei na ya Brazil. Kama nchi hizo hazina ya kutosha kutuuzia itajulikana. Kwa nini wachague kuipa Brazil monopoly ya kutuuzia sukari?
 
Salaam, Shalom!!

Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,

Ningependa kujua nini maana ya dharura?

Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?

Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?

Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.

Brazil kunani? Hata ubora tu wa Sukari ya kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, sukari Toka Brazil haikozi kwenye chai hata uweke vijiko 5,ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.

Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.

Nawasilisha🙏
kiuhalisia ningekuwa mimi ndiye anayeteua ningekuwa nishafuta uteuzi muda mrefu.mpaka sukari inaadimika ina maana waziri mwenye dhamana hakuwa anajua akiba ya sukari imebaki kiasi gani? hawawezi ku predict kwamba kwa akiba hii iliyobaki hatutoboi wakaandaa mazingira rafiki ya kuagiza sukari kabla haijapanda bei? eti waziri wa kilimo wakati hasaidii taifa kulima miwa ya kutosheleza .hahhaaaaaaa. mna bahati sana aisee.nchi nyengine umeshatemwa muda mrefu
 
kiuhalisia ningekuwa mimi ndiye anayeteua ningekuwa nishafuta uteuzi muda mrefu.mpaka sukari inaadimika ina maana waziri mwenye dhamana hakuwa anajua akiba ya sukari imebaki kiasi gani? hawawezi ku predict kwamba kwa akiba hii iliyobaki hatutoboi wakaandaa mazingira rafiki ya kuagiza sukari kabla haijapanda bei? eti waziri wa kilimo wakati hasaidii taifa kulima miwa ya kutosheleza .hahhaaaaaaa. mna bahati sana aisee.nchi nyengine umeshatemwa muda mrefu
Na kitu Cha kushangaza ni kuwa, Kila mwaka, lazima utokee upungufu ,uhaba utangazwe, watu waagize nje ya Nchi, braziliiii!!!

Serikali za kiafrika zinareflect maisha ya uswahilini, kumchangia Jirani Yako mwenye duka Haiwezekani, mtu Yuko radhi asafiri mile kadhaa.

Malawi, Uganda na Zambia wanazalisha sukari, iweje tuagize Brazil na kusubiri Kwa miezi?
 
Nilisikia Leo kwenye EFM radio kuna wananchi walipiga simu wanalalamika sukari kuwa haikozi na haina ladha ya sukari!
Inaweza kuwa ndiyo ukweli ila nani atakusikiliza na kukutetea wewe?.

Pasipo kujitetea mwenyewe basi subiri utetewe na ugonjwa pasipo kuwa na bima card!.
 
Unajua kitu inaitwa"GMO"ni kama Maji ukikataa kuyaoga basi utayanywa.😕
Daa, Uhai wetu unazidi kufupishwa kwa kila njia huku viongozi walioshika dola wanaona mi sawa tu acha tuondoke mapema!.
 
Sio swala la Bashe ni swala la ukiritimba wa kipumbavu wa Serikali za Kiafrika ambazo Huwa zinaona kufanya biashara baina Yao ni kuwanufaisha Majirani.

Huu upumbavu upo sana Africa mfano Kenya imeona iwe inaagiza mahindi kutoka Brazil,Ngano kutoka Russia badala ya kuwa na Mkataba wa hivyo na Tanzania.
Si nyie wenyewe huleta ubabaishaji kila mara kwenye swala la mahindi,mara Jambo dogo,oooh ooh mmezuia mahindi yasiuzwe Kenya,Acha kujitoa ufahamu wewe.
Ni Nani anayeweza vumilia upuzi kama huu uliotukuka kwa biashara zake?
Kalb hayawan
 
Si nyie wenyewe huleta ubabaishaji kila mara kwenye swala la mahindi,mara Jambo dogo,oooh ooh mmezuia mahindi yasiuzwe Kenya,Acha kujitoa ufahamu wewe.
Ni Nani anayeweza vumilia upuzi kama huu uliotukuka kwa biashara zake?
Kalb hayawan
Kwa taarifa Yako anaeletaga shida ni Kenya sio Tanzania Sasa ukisema sisi unakuwa hueleweki Kwa sababu Tzn inazalisha zaidi na inahitaji soko kushinda hao Kenya.

Niliyegemea Serikali ya Kenya iongie mkataba maalumu na NRFA/CPB Ili watengewe kiasi maalumu Cha mahitaji Yao kila mwaka (quorta) ,hii ingewasaidia kuwa na constant supply.
 
Kwa hiyo unadhani sukari kiasi gani inahitajika kwa mwezi ili tu-import? Na Zambia, Uganda na Malawi wanazalisha kiasi gani ili uagizaji wetu usiharibu Bei zao za ndani?
Pia tujulishe gharama au Bei ya hizo nchi vs. Brazil.
Au unasema tu bila data?
HATUHITAJI DATA HATUHITAJI SUKARI CHAFU TUNATAKA SUKARI.TUMESHUTUKA MPANGO WENU CHAFU.ETI KUWALINDA WAWEKEZAJI WA NDANI MBONA HAMKULINDA WA NGANO MNAAGIZA UNGA WA NGANO NJE
 
HATUHITAJI DATA HATUHITAJI SUKARI CHAFU TUNATAKA SUKARI.TUMESHUTUKA MPANGO WENU CHAFU.ETI KUWALINDA WAWEKEZAJI WA NDANI MBONA HAMKULINDA WA NGANO MNAAGIZA UNGA WA NGANO NJE
Sukari Bora itokanayo na miwa halisi IPO UG na Zambia na Malawi Kwa Jirani zetu,

Lakini viongozi wanakimbilia fake Toka Brazil isiyokoza.
 
unawasilisha nini akati shehena ya sukari inapakuliwa bandarini wakati huu [emoji205]

hayo masuala ya sheria sio ya wakati huu ni wakati ujao, hiyo ni dira na uelekeo tu umepewa ili kusudi baadae isijekutokea hali kama ya sasa [emoji205]

hivi sasa mambo yalishapangwa na yanatekelezwa kama yalivyokusudiwa [emoji205]
upotoshaji si muhimu na hauna maana yeyote....
Wewe unaesema kweli mbona bei inazidi kupaaa?
 
Ya malawi kila Siku inakamatwa, sukari na magari yaliyobeba yanataifishwa, Ila tunataka ya Brazil
 
Brazil siyo sukari ni uhundwaji wa chemicals ndiyo maana hata ukiunga inawekwa nyingi sana.

Hakuna nchi (kama Tanzania) wataruhusu mlete sukari kutoka Zambia au Uganda ambapo wanajua hawatapata 10 percentage, hii dunia imebaki na binadamu wachache sana, wengi ni watu waliopo duniani.
Sukari ya Brasil inatengenezwa kutoka sweet potato.
 
Sukari ya Brazil inauzwa kwenye minada ya kimataifa huko.

Imejaa utapeli mwingi.

Huyu jamaa ni ntu wa dili dili tu.

Hakuna lolote jema hapo.
 
Hii nchi wenye dhamana wanajali matumbo yao,,
Hapo kuna mtu anaka ale 10%,

Pale Kilombero K1 na K2 inatoka sukar moja nyeupe tamu hatari,, madukani huipat, utaipata ile nyingine ya kawaida,,
 
Back
Top Bottom