Bashe, Tofauti ya Sukari Kutoka Brazil vs itokayo Zambia na Uganda ni ipi?

Bashe, Tofauti ya Sukari Kutoka Brazil vs itokayo Zambia na Uganda ni ipi?

Kwa hiyo unadhani sukari kiasi gani inahitajika kwa mwezi ili tu-import? Na Zambia, Uganda na Malawi wanazalisha kiasi gani ili uagizaji wetu usiharibu Bei zao za ndani?
Pia tujulishe gharama au Bei ya hizo nchi vs. Brazil.
Au unasema tu bila data?
Waruhusu tu. Soko litaamua bei.
 
Salaam, Shalom!!

Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,

Ningependa kujua nini maana ya dharura?

Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?

Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?

Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.

Brazil kunani? Hata ubora tu wa Sukari ya kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.

Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.

Nawasilisha[emoji120]
Bado kidogo watu watauziwa mbolea badala ya sukari.
Hivi Serikali inatumia mbinu gani hovyo kivile!

Hizi viwanda tulivyo nazo kuanzia Kagera, TPC inayozalisha kwa wingi.
Ni kwanini wasiombwe wakauza ndani kwa mieI 3 na 3 nje! Na iwe kwa viwanda vyote! Nusu ya mwaka uza ndani na nusu ya pili nje ?

Mbona tatizo hili lingeenda!
 
Salaam, Shalom!!

Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,

Ningependa kujua nini maana ya dharura?

Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?

Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?

Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.

Brazil kunani? Hata ubora tu wa Sukari ya kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.

Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.

Nawasilisha[emoji120]
kumbuka kuna sheria imetungwa na bunge,huwezi kuivunja tu hiyo sheria utaleta kesi za hatari
 
Hiyo sukari ya Brazil inayoitwa brown sugar ni sukari chafu na takataka za sukari ambazo ni very cheap, kama London wazungu hawali utumbo hivyo Wanigeria na Waafrika ni kujikusanyia tuu bure, the cost ni transport only!.

Sukari yote ya Zambia inapita Dar port!. Tuondoe tuu zuio la ku imports sukari, ya Uganda ipitie Mutukula, ya Zambia ipitie Tunduma, ya Malawi ipitie Kasumulu, ya Kenya ipitie Namanga na Holili, ya Rwanda ipitie Rusumo, Burundi kupitia Mayovu, Msumbiji kupitia Mkenda, it take just a day na sukari itakuwa imejaa Tanzania!.
P
🙏👏👍🆒
 
Ndege zetu mpya kabisa zimepaki,

Tuchukue ndege Moja mpya itue pale Lusaka Zambia ipakie shehena ya kutosha sukari iwe mtaani ndani ya siku 7 tu.
Tusubiri Mama atoke msibani tumpe hili wazo.
Kama hawaja mpangia trip nyingine.
Yaani wana mkeep busy ili asijue ni nini kiko under the carpet.
 
Salaam, Shalom!!

Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,

Ningependa kujua nini maana ya dharura?

Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?

Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?

Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.

Brazil kunani? Hata ubora tu wa Sukari ya kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.

Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.

Nawasilisha🙏
Ama kweli uongozi ni kipaji. Yeye mama kachuna tu kama vile ni RAIS wa nchi nyingine
 
Sukari ya Brazil shujaa Magufuli alikataa kabisa [emoji209]
Nakumbuka vzr sana,na kinachofanyika mkuu,Brazil kuna sukari mpk isiyo ruhusiwa kutumika,hiyo ndio inaletwa kwa kutiwa nembo mpya.wewe huoni kwa nn siku hizi cancer inazidi kuchanja mbuga hapa nchini!?. Jibu ni kuwa tunakula vitu visivyotakiwa.
 
W
Tusubiri Mama atoke msibani tumpe hili wazo.
Kama hawaja mpangia trip nyingine.
Yaani wana mkeep busy ili asijue ni nini kiko under the carpet.
amemsoma akasomeka. Ngoja ale Bata mama wa Ki Zenji
 
Salaam, Shalom!!

Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,

Ningependa kujua nini maana ya dharura?

Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?

Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?

Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.

Brazil kunani? Hata ubora tu wa Sukari ya kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.

Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.

Nawasilisha🙏
CCM ni nyoka tu, hili swala LA sukari, limetengenezwa tu kama ilivyokuwa tozo za simu, uhaba umetengrnezwa, bei ipande,tulazimishwe tuizoee, hata sukari itakapo kuwa ya kutosha, ambapo bei inabidi iwe 3000,kenge wa CCM wameishapiga mahesabu waongeze buku tatu kama Kodi, wapate maokoto ya kuendesha uchaguzi! Hii bei haitashuka, bei ya buku Sita wa bongo wataizoea, na itaendelea, CCM ni nyoka kqbisa
 
Janabi toka kifo cha Shuja jiwe,akili yake haijatulia kbs, janabi anapitia kipindi kigumu sana kuwahi kutokea ktk maisha yake.
 
aliekwama ni ww wengine twasonga bila tashwishwi wala mbambamba [emoji205]


uhuru wa kudharau na kubeza viongozi [emoji205]

eti nahela,
kwahiyo apo ndio umejiona hodariiii, mwamba, boss, tajiri, chief [emoji205]

wenye hela wanalalamika bana [emoji205]
Wewe hoja yako ni ipi?kuendelea kuheshimu viongozi wapumbavu kwa gharama ya uhai watu?,watu wanakufa kwa cancer kwa sababu ya kutumia takataka inayo itwa sukari kutoka Brazil,hivi kiongozi mwizi na mwovu kuna haja ya kumuheshimu?!.
 
Wewe hoja yako ni ipi?kuendelea kuheshimu viongozi wapumbavu kwa gharama ya uhai watu?,watu wanakufa kwa cancer kwa sababu ya kutumia takataka inayo itwa sukari kutoka Brazil,hivi kiongozi mwizi na mwovu kuna haja ya kumuheshimu?!.
acha upotoshaji.....

na si urilax sasa,
panic na mihemko ni ya nini kwenye majadiliano ya kiungwana namna hii....

ni wapi duniani hapana hayo magonjwa? wametumia sukari ya brazili sio? inaitwaje hiyo kansa ya sukari ya brazili?

acha kubebwa ung"ombe na wapotoshaji wa mjini...

sikari ya Brazili ni safi na salama kwa matumizi ya chakula cha binadamu yaani chai, uji n.k lakini pia ipo sukari safi kutoka brazili kwaajili ya matumizi ya viwandani nayo ni safi na salama na ndio maana unakunywa vinywaju barid na moto kwa raha, burudani na mustarehe nyakati mbalimbali unapotamani kupumzika na kuburuduka na vinywaj mbalimbali...
 
Brazil siyo sukari ni uhundwaji wa chemicals ndiyo maana hata ukiunga inawekwa nyingi sana.

Hakuna nchi (kama Tanzania) wataruhusu mlete sukari kutoka Zambia au Uganda ambapo wanajua hawatapata 10 percentage, hii dunia imebaki na binadamu wachache sana, wengi ni watu waliopo duniani.
Unajua kitu inaitwa"GMO"ni kama Maji ukikataa kuyaoga basi utayanywa.😕
 
Salaam, Shalom!!

Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,

Ningependa kujua nini maana ya dharura?

Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?

Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?

Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.

Brazil kunani? Hata ubora tu wa Sukari ya kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.

Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.

Nawasilisha🙏
Sio swala la Bashe ni swala la ukiritimba wa kipumbavu wa Serikali za Kiafrika ambazo Huwa zinaona kufanya biashara baina Yao ni kuwanufaisha Majirani.

Huu upumbavu upo sana Africa mfano Kenya imeona iwe inaagiza mahindi kutoka Brazil,Ngano kutoka Russia badala ya kuwa na Mkataba wa hivyo na Tanzania.
 
Back
Top Bottom