Sijakuelewa,Hiyo sukari ya Brazil inayoitwa brown sugar ni sukari chafu na takataka za sukari ambazo ni very cheap, kama London wazungu hawali utumbo hivyo Wanigeria na Waafrika ni kujikusanyia tuu bure, the cost ni transport only!.
Sukari yote ya Zambia inapita Dar port!. Tuondoe tuu zuio la ku imports sukari, ya Uganda ipitie Mutukula, ya Zambia ipitie Tunduma, ya Malawi ipitie Kasumulu, ya Kenya ipitie Namanga na Holili, ya Rwanda ipitie Rusumo, Burundi kupitia Mayovu, Msumbiji kupitia Mkenda, it take just a day na sukari itakuwa imejaa Tanzania!.
P
Daktari mwanasiasa!!Wanamskiliza Janabi wao
Ndiyo maana nikasema, duniani binadamu wanaendelea kupukutika wengi wanaobaki ni watu.Unaachaje sukari Toka Kwa Museveni au Zambia Kwa Jirani zetu halafu uagize sukari Toka Brazil?
Tukichukua ndege yetu mpya ya mizigo ikapakie sukali Zambia au UG, ni siku mbili tu Nchi tatizo limeisha.
Mbona Mrema aliweza?
Tuache ubinafsiπ
sasa kama unayo hela mfukoni malalamiko ya nini, si ukwee pipa na ukachukue hiyo sukari chap mara moja, apo kwa HH na urudi, unywe chai na uendeelee na shughuli zako πNawezaje kuwa na subira ikiwa Nina pesa yangu mfukoni , nikihitaji sukari naambiwa nisubiri itoke Brazil ilhali hapo Zambia upo Mzigo wa kutosha?
Matatizo ya nchi hii, CCM inayatengeneza makusudi!!
Kenya hapo amekamatwa tajiri aliyehonga mamlaka zilizokuwa zimekamata sukari fake Toka huko huko Brazil Kisha akaanza kuingiza sokoni!!Ndiyo maana nikasema, duniani binadamu wanaendelea kupukutika wengi wanaobaki ni watu.
Hizo dharau zako utakwama muda Si mrefu.sasa kama unayo hela mfukoni malalamiko ya nini, si ukwee pipa na ukachukue hiyo sukari chap mara moja, apo kwa HH na urudi, unywe chai na uendeelee na shughuli zako π
wewe huna shida na sukari una gubu na kitu ingine,acha kuhadaa watu hapa π
Hao jamaa wana control soko makusudi. Deal zao hizo. Magufuli pamoja na madhaifu yake, asingeruhusu upuuzi huu.Salaam, Shalom!!
Tunaambiwa tusubiri mwezi tena Ili tupate sukari ya kututosha,
Ningependa kujua nini maana ya dharura?
Yaani tusubiri bunge likae ndipo libadili taratibu za kuwaondolea viwanda kuwa waagizaji pekee? Kwanini lisitoke tamko la dharura kuruhusu wafanyabiashara kuagiza sukari Toka Zambia na Uganda?
Nchi Iko kwenye uhaba wa Sukari, kwanini wafanyabiashara wasiruhusiwe kuvuka mipaka na kununua sukari hapo Jirani Zambia au Uganda?
Sukari Toka Zambia au Uganda ni wiki tu imefika.
Brazil kunani? Hata ubora tu wa Sukari ya kilombero imethibitika kuwa Bora kuliko ya Brazil, ni muda mwafaka wa kununua sukari Kwa Jirani zetu kukidhi uhaba uliopo tukisubiri viwanda vyetu vya ndani vizalishe sukari ya kutosha.
Ombi: Tuchukue ndege yetu mpya ya mizigo ilopaki, ipakie shehena ya kutosha hapo Zambia na Uganda, ndani ya wiki shida ya sukari iwe historia.
Nawasilishaπ
Kwa bibi yangu kijijini sukari 6,500,Hao jamaa wana control soko makusudi. Deal zao hizo. Magufuli pamoja na madhaifu yake, asingeruhusu upuuzi huu.
aliekwama ni ww wengine twasonga bila tashwishwi wala mbambamba πHizo dharau zako utakwama muda Si mrefu.
Tangu uhuru sukari haijawahi fika 6500, ni pekee chini ya uongozi wa sa100!!
Tusubiri.
Haiwezekani nilipe bill ya maji, maji yasitoke bombani,aliekwama ni ww wengine twasonga bila tashwishwi wala mbambamba π
uhuru wa kudharau na kubeza viongozi π
eti nahela,
kwahiyo apo ndio umejiona hodariiii, mwamba, boss, tajiri, chief π
wenye hela wanalalamika bana π
Haya maumivu ni ya muda tu,Serikali ya mama Kizimkazi imesarenda.
Inchi inaendeshwa na ma-tycoon.
Tutegemee maumivu kuzidi.
Umesahau kuwa kipindi Cha Jakaya sukari ilikuwa Tsh. 1800 akajua Magufuli sukari ikapanda mpaka 3200?Hao jamaa wana control soko makusudi. Deal zao hizo. Magufuli pamoja na madhaifu yake, asingeruhusu upuuzi huu.
sasa umeanza kuchekesha na kujitoa mwenyewe kwenye reli πHaiwezekani nilipe bill ya maji, maji yasitoke bombani,
Nikiuliza, najibiwa nipande gari nikaoge ziwani au mtonii!!
Hizi dharau IPO siku yaja!!
Kwa hiyo unadhani sukari kiasi gani inahitajika kwa mwezi ili tu-import? Na Zambia, Uganda na Malawi wanazalisha kiasi gani ili uagizaji wetu usiharibu Bei zao za ndani?Hiyo sukari ya Brazil inayoitwa brown sugar ni sukari chafu na takataka za sukari ambazo ni very cheap, kama London wazungu hawali utumbo hivyo Wanigeria na Waafrika ni kujikusanyia tuu bure, the cost ni transport only!.
Sukari yote ya Zambia inapita Dar port!. Tuondoe tuu zuio la ku imports sukari, ya Uganda ipitie Mutukula, ya Zambia ipitie Tunduma, ya Malawi ipitie Kasumulu, ya Kenya ipitie Namanga na Holili, ya Rwanda ipitie Rusumo, Burundi kupitia Mayovu, Msumbiji kupitia Mkenda, it take just a day na sukari itakuwa imejaa Tanzania!.
P
This scandal will never go unpunished and Kizimkazi's reign will be remembered as a failed regime.Hiyo sukari ya Brazil inayoitwa brown sugar ni sukari chafu na takataka za sukari ambazo ni very cheap, kama London wazungu hawali utumbo hivyo Wanigeria na Waafrika ni kujikusanyia tuu bure, the cost ni transport only!.
Sukari yote ya Zambia inapita Dar port!. Tuondoe tuu zuio la ku imports sukari, ya Uganda ipitie Mutukula, ya Zambia ipitie Tunduma, ya Malawi ipitie Kasumulu, ya Kenya ipitie Namanga na Holili, ya Rwanda ipitie Rusumo, Burundi kupitia Mayovu, Msumbiji kupitia Mkenda, it take just a day na sukari itakuwa imejaa Tanzania!.
P
Acha Maneno ya kisiasa haswa kwenye maswala ambayo hata mbumbumbu anayafahamu.sasa umeanza kuchekesha na kujitoa mwenyewe kwenye reli [emoji205]
For your information, shehena ya sukari ya kutosha nchi nzima inapakuliwa bandarini wakati shehena kubwa zaidi iko njiani kukabili upungufu wa sukari nchini [emoji205]
hata hivyo jitihada kubwa zaidi zinaendelea kufanyika kuhakikisha uzalishaji wa ndani unaanza maramoja pale hali ya tabianchi itakapokaa sawa [emoji205]
kwahiyo apo umeongelea suala la afya au afya ya akili ni tatizo πAcha Maneno ya kisiasa haswa kwenye maswala ambayo hata mbumbumbu anayafahamu.
Nilisikia Leo kwenye EFM radio kuna wananchi walipiga simu wanalalamika sukari kuwa haikozi na haina ladha ya sukari!Brazil siyo sukari ni uhundwaji wa chemicals ndiyo maana hata ukiunga inawekwa nyingi sana.
Hakuna nchi (kama Tanzania) wataruhusu mlete sukari kutoka Zambia au Uganda ambapo wanajua hawatapata 10 percentage, hii dunia imebaki na binadamu wachache sana, wengi ni watu waliopo duniani.