Bashe, Tofauti ya Sukari Kutoka Brazil vs itokayo Zambia na Uganda ni ipi?

Mpaka mo afikishe mzigo. Watu wanaenda na biti mzee
 
Namaanisha waruhusu hiyo ya Zambia na Malawi na Uganda ishindane bei na ya Brazil. Kama nchi hizo hazina ya kutosha kutuuzia itajulikana. Kwa nini wachague kuipa Brazil monopoly ya kutuuzia sukari?
HATUHITAJI DATA HATUHITAJI SUKARI CHAFU TUNATAKA SUKARI.TUMESHUTUKA MPANGO WENU CHAFU.ETI KUWALINDA WAWEKEZAJI WA NDANI MBONA HAMKULINDA WA NGANO MNAAGIZA UNGA WA NGANO NJE
Haimaanishi ndiyo itatokea. Utabaki kupiga kelele lakini haiwezi kutokea. Kwani Hamna mafuso? Kachukueni hizo sukari Zambia au Uganda.
Go ahead! Kumbaf!
 
Haimaanishi ndiyo itatokea. Utabaki kupiga kelele lakini haiwezi kutokea. Kwani Hamna mafuso? Kachukueni hizo sukari Zambia au Uganda.
Go ahead! Kumbaf!
Serikali haijaruhusu kwenda huko. Inataka tukanunue Brazil. Watu wa Mbeya na Songwe wanatumia sana sukari ya Malawi na Zambia, ila ni "magendo."
 
Ndege zetu mpya kabisa zimepaki,

Tuchukue ndege Moja mpya itue pale Lusaka Zambia ipakie shehena ya kutosha sukari iwe mtaani ndani ya siku 7 tu.
Wazo zuri Ila ni hasara kwa mafuta ya ndege
Cost itakuwa juu na Bei juu
 
Kwani Sukari ya Kilombero na viwanda vingine hapa Tanzania vinatengeneza sukari gani kama si brown sugar kwa matumizi ya nyumbani? Si kweli kwamba ni sukari chafu ila inakuwa haijaondolewa molasesi yote. Kiufupi brown sugar ina madini ya kutosha ya kasium, potasium na iron kuliko white sugar, na ni nzuri kwa chai. Si kweli kuwa sukari yote ya Zambia inaagizwa toka nje, kumbuka kampuni ya ILOVO inaoperate pia Zambia, Malawi, Tanzania na nchi nyingine kadhaa. Hapa boda za malawi na Zambia mpaka wiki mbili hadi tatu zilizopita sukari ilikuw ni Tsh 2800 kwa kilo, na tulinunua kwa matumizi ya nyumbani bila shida yoyote.
 
Mtu anaitwa Bashe sijui basha unategemea nn?
 
Elewa kuwa anayeagiza sukari sio serikali bali ni viwanda vilevile vinavyozalisha sukari nchini ndivyo vimepewa kazi hiyo kwahiyo wananunua penye unafuu wa bei, sukari ya africa mara nyingi ni ya miwa ambayo ni bei ghari lkn ya Brazil ni sukari ya viazi mviringo bei yake ni sawa na bure.
 
Hii sukar ya brazil ni kweli haikolez chai?
 
Tatizo la sukari ni siasa za kipumbavu na rushwa za 10%, CCM ni majanga matupu, hata umeme ni hivyo hivyo tuu, Bashe nilikuwa nafikiri ana akili lakini hili swala la sukari limeweka wazi ujinga wake ni mtupu kanisa, hafai kabisa Hana akili na inawezekana ni mla rushwa tuu
 
Siasa tupu na rushwa, kwanini wenye viwanda ndio wapewe uwezo wa kuagiza, acha yeyote mwenye uwezo aagize na soko litaamua na wababaishaji wote watakimbia
 
Well said. But people in high places are not blessed with common sense.
 
Makonda mbona hili li sukari analifumvia macho?
 
Mzee umegonga!!!
Mbona chumvi na viberiti vinapatikana kwa njia hivyo Mzee Pasco aliyo ielezea na hakuna shida!!!

Tuna viongozi wanao tuongoza siyo wabunifu kabisa

Wana akili za Kukariri
 
Sukari ya viazi mviringo😀😀😀

Ndomana haikozi hata utie vijiko 5,

Pia Kuna watu wanalalamika nguvu za kiume kupungua sababu za sukari fake na GMO zingine.

Sukari ya Zambia Si ghali, Sema wanahofia hawatapata supper profit ukilinganisha na fake ya Brazil.

Uzalendo Mzigo wa viongozi, utaligharimu Taifa.
 
Una uhakika na hili la sukari ya brazil kutokana na viazi mviringo? Nisaidie chanzo cha hii habari yako, kwani sijawahi kutana nayo popote, na kama inawezekana hiyo sukari itakuwa bei juu sana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…