Mkitanguliza mbele masilahi mapana ya Raia, sidhan kama mnaweza kuitisha waandishi wa habari na vihoja uchwara kumjibu Bashiru.
Ni Kwamba Bashiru ni Kiongozi, Udaktari wake ni wa uhakika , Kichwa chake kakijaza mema, busara na Hekima kiasi kwamba anachowaza ni WANANCHI TU.
Maajabu Kuna Chawa ,shule ndogo, akili kiduchu wenye utupu kichwan, kwakua tu ni machawa , basi yanalazimika kusema neno ili Matumbo yao yashibe .
Hii ni akili kubwa wajuaji aki @hbashe, Pascal Mayalla mana wanafiki kiwango cha @zitt njoo na majibu.