Bashiru ni dhahabu ya taifa shida mizengwe ya watu wale kutoboa ni ngumu! lile kundi linawaza kesho nani awe waziri, kesho nani awe mkurugenzi kesho nan awe Dc kesho nani awe RC , kesho nan apewe Uraisi, mijitu ya namna hii haiwezi kuwa na ubunifu mda wote yanawaza nani anataka kuwatoa kwenye ulaji na kuwapinga, ubunifu ni zero , tamaa ya madaraka ndiyo imo kichwani.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2502027