Hii ni akili kubwa wajuaji aki @hbashe, Pascal Mayalla mana wanafiki kiwango cha @zitt njoo na majibu.Mkitanguliza mbele masilahi mapana ya Raia, sidhan kama mnaweza kuitisha waandishi wa habari na vihoja uchwara kumjibu Bashiru.
Ni Kwamba Bashiru ni Kiongozi, Udaktari wake ni wa uhakika , Kichwa chake kakijaza mema, busara na Hekima kiasi kwamba anachowaza ni WANANCHI TU.
Maajabu Kuna Chawa ,shule ndogo, akili kiduchu wenye utupu kichwan, kwakua tu ni machawa , basi yanalazimika kusema neno ili Matumbo yao yashibe .
Ifike hatua hii forum iwe ya kuleta fikra pana za kufikirisha na siyo hisia! Mhe. Rais Samia amejipambanua ni mwanademokrasia ndiyo maana hadi Mdude Chadema huwa anavuka mipaka lakini hafanywi kitu. Dk. Bashiru ni mbunge wa CCM, anamtii na kumheshimu Mwenyekiti, Rais, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu Dk. Samia. Sasa hizi hisia za kumjibu anajibiwa nini? #Tujengeni taifa, tuache maneno mengi.🙏🙏🙏Mkitanguliza mbele masilahi mapana ya Raia, sidhan kama mnaweza kuitisha waandishi wa habari na vihoja uchwara kumjibu Bashiru.
Ni Kwamba Bashiru ni Kiongozi, Udaktari wake ni wa uhakika , Kichwa chake kakijaza mema, busara na Hekima kiasi kwamba anachowaza ni WANANCHI TU.
Maajabu Kuna Chawa ,shule ndogo, akili kiduchu wenye utupu kichwan, kwakua tu ni machawa , basi yanalazimika kusema neno ili Matumbo yao yashibe .
Ekari 600Bashiru kalima ekari ngapi za mahindi!?
Hawa Chawa hawa bila idara tafuta dawa kuwamaliza wataliingiza Taifa mferejini hawa Chawa ni hatari kuliko hata viroboto... Ila Mwalim aliwahi sema Mtu mwenye akili akikwambia jambo lakijinga ukalikubali anakudharau. Najuwa Hata Rais anajuwa Bashiru sio wa level yao ila kwakuwa wamesha jiita Chawa Wacha wajiachie ila huyo ndie yule ajaye wajiandae kisaikolojia siku yakeMkitanguliza mbele masilahi mapana ya Raia, sidhan kama mnaweza kuitisha waandishi wa habari na vihoja uchwara kumjibu Bashiru.
Ni Kwamba Bashiru ni Kiongozi, Udaktari wake ni wa uhakika , Kichwa chake kakijaza mema, busara na Hekima kiasi kwamba anachowaza ni WANANCHI TU.
Maajabu Kuna Chawa ,shule ndogo, akili kiduchu wenye utupu kichwan, kwakua tu ni machawa , basi yanalazimika kusema neno ili Matumbo yao yashibe .
Hivi jamani kweli kweli hamjuwi nani analeta njaa na kila siku anajimwamba fayi hafungi mipaka Yani uzeeni mpaka magunzi alafu tutasalimiana. Hongera Mh Bashiru"Njaa inadhalilisha heshima na uhuru wa nchi, inatweza utu wa binadamu kwahiyo tatizo la mfumuko wa bei za vyakula ni tatizo ambalo tutake tusitake lazima tuongeze kiwango cha ubunifu kukabiliana nalo, hakuna ukomo wa ubunifu, wananchi wanakibiliana na tatizo hili.
"Nilikuwa nazungumza na wananchi mmoja amesema chakula cha asubuhi na mchana kinaunganishwa kwenye saa 5 na 6, mlo wa usiku unaunganishwa kati ya saa 11 na 12, hawasubiri kujadili mambo ya Ukraine na tabianchi, wameanza kuchukua hatua.
View attachment 2501912
Hana lolote ni reject tuuKuna mtu akivaa suti na kusimama kuongea unasema hapa kuna mtu. Hongera Bashiru.
Bashiru amemaliza kila kitu!Mkitanguliza mbele masilahi mapana ya Raia, sidhan kama mnaweza kuitisha waandishi wa habari na vihoja uchwara kumjibu Bashiru.
Ni Kwamba Bashiru ni Kiongozi, Udaktari wake ni wa uhakika , Kichwa chake kakijaza mema, busara na Hekima kiasi kwamba anachowaza ni WANANCHI TU.
Maajabu Kuna Chawa ,shule ndogo, akili kiduchu wenye utupu kichwan, kwakua tu ni machawa , basi yanalazimika kusema neno ili Matumbo yao yashibe .
Kazi imeanza.Mkitanguliza mbele masilahi mapana ya Raia, sidhan kama mnaweza kuitisha waandishi wa habari na vihoja uchwara kumjibu Bashiru.
Ni Kwamba Bashiru ni Kiongozi, Udaktari wake ni wa uhakika , Kichwa chake kakijaza mema, busara na Hekima kiasi kwamba anachowaza ni WANANCHI TU.
Maajabu Kuna Chawa ,shule ndogo, akili kiduchu wenye utupu kichwan, kwakua tu ni machawa , basi yanalazimika kusema neno ili Matumbo yao yashibe .
Reject tena mbayaHana lolote ni reject tuu
Angeshauri hayo enzi za jiwe.Gicho chakula kil8chohifadhiwa,kiligawiwa wapi,au kuingizwa kwenye mxunguko lini?
Ebu wasikilize watu wenye kutumia vichwa vyao vizuri??
[emoji116][emoji116]
Kwa nini siyo CCM?Nasikia anajipanga ili 2025 agombee uraisi kupitia ACT wazalendo.
voicer unadhani huyu anasema hapa leo ugumu wa maisha kwa sababu hatimaye amezikumbuka hoja za Mpina, Gambo au wewe za mwaka juzi?"Njaa inadhalilisha heshima na uhuru wa nchi, inatweza utu wa binadamu kwahiyo tatizo la mfumuko wa bei za vyakula ni tatizo ambalo tutake tusitake lazima tuongeze kiwango cha ubunifu kukabiliana nalo, hakuna ukomo wa ubunifu, wananchi wanakibiliana na tatizo hili.
"Nilikuwa nazungumza na wananchi mmoja amesema chakula cha asubuhi na mchana kinaunganishwa kwenye saa 5 na 6, mlo wa usiku unaunganishwa kati ya saa 11 na 12, hawasubiri kujadili mambo ya Ukraine na tabianchi, wameanza kuchukua hatua.
View attachment 2501912
Watawala waliweka pamba masikioni wakati wananchi wanapiga kelele kufungwa mipaka kwakuzuia kuuaza chakula nje ya nchi ...suala la chakula ni suala la National security....we rather be proactive than being reactive ,,hili tatizo tumelitengeneza wenyewe .....we must learn from the mistakes------Mh....Watu mnapita na ku like post ila hamchangii?
Okay mi mchango wangu ni, vyakula kupanda bei ni kutokana na ukame wa mwaka jana.
Japo serikali ilihifadhi chakula kingi kwenye maghala hadi maximum yake ya tani laki 2 bado chakula hicho hakikutosha
Swala hili halina suluhu ya muda mfupi, suluhu ya uhakika ni kutengeneza mifumo ya kilimo cha umwagiliaji ambayo itachukua muda na gharama
Ama kama tuagize mahindi ya bei rahisi kutoka Brazil na Argentina? Tukifanya hivyo jua wakulima wetu mahindi yao hayatauzika
Tunaenda virse- versa mkuu Germany style ukiongoza ikipigwa nyuma-geuka wa kwanza anakua wa mwishoKuna jambo sijawahi kulielewa nchi hii na hili limekuwa linatokea mara kwa mara. Kama tuko kwenye kipindi ambacho watu hawana pesa, bidhaa si zinatakiwa zipungue bei na si kuongezea? Watu wakiwa hawana pesa, inamaanisha wanunuzi wa bidhaa wanapungua, na hilo linafanya wauzaji kupunguza bei.
Nini huwa kinatokea kinafanya hii kanuni ya uchumi isiwe inafanya kazi?