Bashiru kusuka au kunyoa - ni baada ya Kinana kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

ila jamaa toka mwendazake aondoke yupo kimya sana hajawahi kuongea anajua msala wake
Hata ungekuwa wewe Bwasheee..... usingeongea.... ni kama unamla demu afu wkt unashusha wangu anakudidimiza dole la mkkundd.... huwezi kutoka hadharani uje kutuambia....
 
Unateseka kutokea wapi? Chattle au Simiyu?
Haya mambo ya kuzozana kikabila nahisi ni psychological comfort kwa wale munaoamini mulionewa kikabila kama Mbowe. Tatizo ni hiyo hali ya kuamini kuna kanda inayoitwa ya kaskazini ambayo sasa akina Kinana wa Arusha hawako pamoja na akina Mbowe wa Kilimanjaro.

Kwa kuwa Kilimanjarto imejidai wao wana chama chao cha kikabila kwa miaka hii ya upinzani na kujiengua kabisa kutoka uongozi wa juu wa CCM, Kilimanjaro itaendelea kulia-lia miaka yote. Leo Nani atasema kanda ya kaskazini wakati Arusha wako ndani ya uongozi wa chama tawala?
 
Bashiru ni chali kama kifo cha mende kamwe haji kunyanyuka!
Humjui Bashiru wewe! Muulize akupe ripoti ya mali za chama cha mapinduzi, uliza aliweza kuingiza wanachama wangapi baada ya miaka mingi watu kuficha jezi zao!
 
Bashiru anahitaji msamaha tuanze ukurasa mpya wa siasa na uongozi huyo mzee ni muadilifu aliyetukuka sijui aliharibu wapi.
 
Siasa haina adui wa kudumu mkuu. Kumbuka huyo huyo Bashiru kesho anaweza kuwa boss wa Kinana
 
Humjui Bashiru wewe! Muulize akupe ripoti ya mali za chama cha mapinduzi, uliza aliweza kuingiza wanachama wangapi baada ya miaka mingi watu kuficha jezi zao!
Amepigwa mateke ripoti haijamsaidia!
 
Ndio maana huwa tuna sema tenda wema kwa kila mtu. Hakuna ajuae kesho yake. Hapo bado rafiki yangu Ally Hapi
 
bashiru alizijua vyema akili za majinun mΓ gufool
 
yaani CCM kama hawampendi Bashiru si wamuue / wamfute uraia aende burundi tuu! maana kila kukicha anaongezewa stress mwisho wa siku atajinyonga yule mzee.
Kwenda Burundi kwake siyo adhabu maana mwenda kwao siyo mtumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…