Bashiru tunza ahadi yako ya kutokubali uteuzi mwingine wowote

Umeambiwa tuwekee ushahidi wa hoja yako ili tukuamini
Ushahidi ni barua yenye sahihi ya J J Mnyika iliyoko kwa Mahera.

Na kwa sababu ina muhuri wa kupokelewa na serikali na ule wa " SIRI" haiwezi kuwekwa hapa!
 
Wewe ndio mjinga ambaye hujui dhamana aliyonayo Katibu mkuu wa chama chako!

Niishie hapo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ bavicha huyu pesa ya kutosha IPO nilikuwa namtahadharisha tu Bwashee.
Hahahaaaa..... Retired, Mrangi na tindo wanajimudu bwashee.

Bundle za wanafunzi zinawalinda!
 
Reactions: BAK
Jikite kwenye mada , Katibu Mkuu wa Chadema hana na wala hajawahi kuwa na uwezo wa kuteua wabunge wa viti maalum , usiwe bwege kwa kudhani unaweza kudanganya mtu humu , Katiba ya chadema inapatikana hata mitandaoni , isome uelewe
Erythrocyte unajisahau sana ndugu yangu. Kama uliamini Mdee asingefanya usaliti kwa kuvunja katiba ya chama kwanini uendelee kuamini hivyo kwa Mnyika? Bado unawaamini wanasiasa au wakiwa ndani ya CHADEMA tu?
 
Erythrocyte unajisahau sana ndugu yangu. Kama uliamini Mdee asingefanya usaliti kwa kuvunja katiba ya chama kwanini uendelee kuamini hivyo kwa Mnyika? Bado unawaamini wanasiasa au wakiwa ndani ya CHADEMA tu?
Dr Bashiru katuaibisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…