mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Ubaguzi huo !!Mhaya hatakuja kuwa Rais Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaguzi huo !!Mhaya hatakuja kuwa Rais Tanzania
Msomi yule jamaa. Anaonekana hana mambo ya kiswahili kabisa sema kwa wepesi alionao hatoboi kwa walozi wa CCM.Namkubali sana, very cool guy, humble, down to earth.
Amefanya Nini cha kipekee kwa nafasi alizokwosha tumikia hadi afikiriwe kuwa anaweza kuwa Rais, all in all wananchi titamuua mda ukifika
Zamu ijayo ni kanda ya kati,, mwigulu, Tundu lisu, Nyarandu ama simbachawin.. 😂😂Nimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
The fact to be reckonedNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Waziri mmoja wa Kagame mwezi uliopita alidai Kivu ni sehemu halali ya Rwanda kihistoria ila wakoloni walikosea na kuwatenga na ndugu zao Banyamulenge.Nimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Duh...sawa...nimeacha.Achana na makukumu ya makawa wa raisi bla bla, yeye Maushungi jambo gani kafanya lenye kumtambulisha kwa umma achana na kutaja nyadhifa.
Alionekana kijana mmoja akiweweseka na mandoto ya ajabuNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
[emoji38][emoji38] Mtoto wa mama"......mwanangu Inno...."
Aliyetuambia kuwa alikufa Kwa mfumo wa moyo kutofanya KAZI ndo huyo huyo alituambia kuwa alikufa Kwa corona akiwa na piraa.🤭🤭Kma sio maandazi kivipi JPM alipewa Urais na NEC wakijua kabisa anatumia betri kwenye moyo na hatoboi miaka 5!!?
Eeeh COVID 19 ndio ilisababisha mfumo ugome maana iliongeza presha kwenye mfumo wa kupumuaAliyetuambia kuwa alikufa Kwa mfumo wa moyo kutofanya KAZI ndo huyo huyo alituambia kuwa alikufa Kwa corona akiwa na piraa.🤭🤭
Mtu mmoja alifariki ktk mazingira ya kutatanisha na dhuluma, ndugu waliopanga mazishi kesho yake,Eeeh COVID 19 ndio ilisababisha mfumo ugome maana iliongeza presha kwenye mfumo wa kupumua
Amka ulipolala utakojoaNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Dah,,, kaote upya mkuu.....Nimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
Hata uraisi wa kagera hawezi kupata,labda uraisi wa fm academiaNimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!!
Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.