Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,479
- 3,229
Huo ni Moshi linawaka moto au Ukungu??Wakuu mwenye taarifa kamili atujuze maan kuna ndugu yetu tumepewa taarifa kafariki alikuwa humo,
Innalillah wainna ilayhi raajiu'uun
=====
Ajali ya Bus Baraka Classic ikitokea #Newala uelekeo Dar.
Taarifa kamili itatolewa na mamlaka husika.
Pole kwa Abiria wa Baraka, Dereva na Kampuni nzima kwa ajali hii
View attachment 2825442View attachment 2825443View attachment 2825444
Pole kwa majeruhi na familia za wahusika.Wakuu mwenye taarifa kamili atujuze maan kuna ndugu yetu tumepewa taarifa kafariki alikuwa humo,
Innalillah wainna ilayhi raajiu'uun
=====
Ajali ya Bus Baraka Classic ikitokea #Newala uelekeo Dar.
Taarifa kamili itatolewa na mamlaka husika.
Pole kwa Abiria wa Baraka, Dereva na Kampuni nzima kwa ajali hii
View attachment 2825442View attachment 2825443View attachment 2825444
Poleni kwa wafiwa na majeruhiPoleni
Hizi Baraka zinaanguka anguka sana, kulikoni?
Mkuu huo ni moshi wanadai eneo lilipopindukia kulikuwa na nyuki kwahy wakashindwa kutoa msaada wakawasha moto ili kuwafukiza hao nyukiHuo ni Moshi linawaka moto au Ukungu??
kuna mtu wa mtama nimempigia simu anadai ni kama watu 20 wamekufaMkuu huo ni moshi wanadai eneo lilipopindukia kulikuwa na nyuki kwahy wakashindwa kutoa msaada wakawasha moto ili kuwafukiza hao nyuki
kuna mtu wa mtama nimempigia simu anadai ni kama watu 20 wamekufa
kuna mtu wa mtama nimempigia simu anadai ni kama watu 20 wamekufa
Kuna mama mmoja na mwanae wamepanda hiyo baraka kijiji çha lengo taarifa zilizotufikia sio muda mrefu mtoto kafariki na mama kavunjika mikonoHuzuni San mkuu watu wakienda kufunga mizigo ya madukani mwao maan msimu umekubali ila malengo hayajafikiwa
Uzembe wa madereva wake,wao wanawaokota tu kutoka kwenye madaladala!!Poleni
Hizi Baraka zinaanguka anguka sana, kulikoni?