uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Wewe unaleta habari za ajali tu unatoa kafara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Icho ni kiswahili fasaha kabisaKiswahili kimeparamiwa Mkuu
Ndo iyo iyo, kampuni inaitwa Newforce ila inamiliki gari za Newforce Na Golden deerNew force au golden? Inamaana kuna ajali mbili
Hongera muwekezaji wa kichina kwa uwekezaji huuNdo iyo iyo, kampuni inaitwa Newforce ila inamiliki gari za Newforce Na Golden deer
Ni Kama unavoona kampuni ya Superfeo inamiliki gari za Superfeo Na selous
Yaani unakuta basi lina overtake bila kuwa na uhakika kama kuna gari mbele linakuja tena hapo kitonga, hatari sanaKampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
View attachment 2676190
Siku hizi barabara pana kidogo maeneo yale.Duuhh Kitonga!! Hawajatumbukia kweli?
Ipo namna ambapo hata wewe unawezajikuta umepandaNashangaa sana pamoja na trend za ajali kwa kampuni eti aboria bado wanakimbilia huko tu
Ipi hiyo mkuuIpo namna ambapo hata wewe unawezajikuta umepanda
Wamepatwa na ajali ama wamepata ajali?Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
View attachment 2676190
Hii kampuni imefika mwisho wake katika ulimwengu wa roho ifungwe!Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
View attachment 2676190
Kuupata ni kazi moja kumantaine ni kazi nyingine.Kafara kama zote tu, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅
Asee utajiri unatafutwa kwa shida na taabu sana
😆😆😆WAmep
Wamepatwa na ajali ama wamepata ajali?
Wamepata ajali=walikuwa wanaitafuta na hatimaye wameipata.
Mkuu unapataje faida kwenye comprehensive insurance?New Force katokea kwenye garage ya wachina pale Sayansi, amepiga pesa sana kwenye dili za bima huko ndio alipatia mtaji kianzio.. Mabasi yake yote yako fully insured (comprehensive) kwa hiyo hizo ajali kwake ni faida tupu shida ipo kwa abiria na kama ni njia ya kuachana na hii biashara tutarajie ajali zaidi, maana ajali 12 ndani ya mwezi mmoja sio kitu cha kawaida hata kidogo serikali ilipaswa iwe imeshachukua hatua kitambo
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅Itakuwa ni mda wa kafara, si unajua utajiri wa kukatwa kidole si mchezo.
Ukiona Sauli ile iliyopata ajaliMagari ya Kichina sio salama. Mbona Scania za Sauli hazipati ajali?
Mwaka wao huuKampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali
Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi
Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni
View attachment 2676190