Basi kampuni ya Newforce limepata ajali Kitonga

Basi kampuni ya Newforce limepata ajali Kitonga

Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali

Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi

Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni

View attachment 2676190
Yaani unakuta basi lina overtake bila kuwa na uhakika kama kuna gari mbele linakuja tena hapo kitonga, hatari sana
 
Hawa jamaa wamezidi ,nahisi wamekosa mshauri hii kampuni inakula uhai wa watu kila siku..
 
WAmep
Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali

Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi

Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni

View attachment 2676190
Wamepatwa na ajali ama wamepata ajali?

Wamepata ajali=walikuwa wanaitafuta na hatimaye wameipata.
 
Kampuni iyo ambayo imemaliza mwezi uliopita kwa mabasi yake 12 kupata ajali na kuua abiria wengi Mwezi huu wa 7 pia wameanza kwa kasi ya ajali

Leo hatimaye wamepata ajali nyingine kitonga na chanzo kikuu ni mwendokasi

Serikali wamegoma kuifungia hii kampuni

View attachment 2676190
Hii kampuni imefika mwisho wake katika ulimwengu wa roho ifungwe!
 
New Force katokea kwenye garage ya wachina pale Sayansi, amepiga pesa sana kwenye dili za bima huko ndio alipatia mtaji kianzio.. Mabasi yake yote yako fully insured (comprehensive) kwa hiyo hizo ajali kwake ni faida tupu shida ipo kwa abiria na kama ni njia ya kuachana na hii biashara tutarajie ajali zaidi, maana ajali 12 ndani ya mwezi mmoja sio kitu cha kawaida hata kidogo serikali ilipaswa iwe imeshachukua hatua kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unapataje faida kwenye comprehensive insurance?
 
Back
Top Bottom