KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Ajali zote za mwendokasi nilizoshuhudia ni kama vile hao madereva wanakuwa wana dhamiria kuua kabisa maana huwa wanakimbia sana hata sehemu ambazo zinaonekana kuwa ni hatarishi......
Kipande cha kutoka gerezani mpaka kufika kituo cha fire huwa ni mshike......mwenda kwa miguu unakuwa macho juu kama nguchiro.....huku mwendokasi kule boda boda waliochanganyikiwa.......hujakaa Sawa umegongana na mmachinga........
Mimi nadhani kuanzia pale gerezani waweke vizuizi mpaka fire.....na pia kuanzia fire mpaka kivukoni waweke vizuizi.........
Kipande cha kutoka gerezani mpaka kufika kituo cha fire huwa ni mshike......mwenda kwa miguu unakuwa macho juu kama nguchiro.....huku mwendokasi kule boda boda waliochanganyikiwa.......hujakaa Sawa umegongana na mmachinga........
Mimi nadhani kuanzia pale gerezani waweke vizuizi mpaka fire.....na pia kuanzia fire mpaka kivukoni waweke vizuizi.........