Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani point yako ni ipi hapa mkuu?Wewe kila siku upo hapo hapo unamsubilia huyo mama agonge mtu
USSR
Maeneo ya Msimbazi Polisi kuelekea Fire.Aisee, Kariakoo maeneo gani?
Anatakiw kichaa mmoja aje aweke utaratibu wa kuwanyoosha. Kwanza wanawazibia rizik wenye frem.. hiki kilio lilikuw cha siku nyingi.Tatizo ni wale machinga waliojazana pembezoni mwa barabara halafu wanajiona wana haki kuliko watembea kww miguu,, nchi ya kifala hii
We phala sana🤣
Duh🥺🥺🥺Pale taa zilikuwa zimeruhusu mkuu watu wapite, sasa huyu mwanamama katoka huko na mwendokasi mazima kamzoa mshikaji, amembuluza karibia mita mia kasoro mbele.
Sasa sijui umenipinga au umekubaliana na mimi?Hapana nakupinga. Watu waheshimu sheria za barabara. Huwa najiuliza traffic hawaruhusiwi kuwakamata watembea kwa miguu wanaovunja sheria? Watembea kwa miguu nao wanavunja sheria mno. Huko Kkoo watu hawayaogopi magari kabisa.
Hahahah😀 abiria wa Mbezi Kkoo na Mbezi Ferry wanamjua vema na kwa baadhi ya ruti za Kibaha..Kama huyo mama ni rough driver inabidi mwana mme utumie 'rough rider'. Ubaya... Ubaya!
Ehh kumbe anqjulikana kwa uendeshaji wake?.Iwe barabara inapaswa kuwekewa kingo za kuta za chuma.. Inaingiliwa mno na wapita njia na sometimes bila tahadhari.. Na yule dada ni rough driver
Ni kero kubwa mno, kuongeza msongamano usio wa lazima, wizi, kelele, bei kubwa ya bidhaa, kukosekana utulivu, mtu kuingia kufanya manunuzi unawaza km unaenda vitani vileAnatakiw kichaa mmoja aje aweke utaratibu wa kuwanyoosha. Kwanza wanawazibia rizik wenye frem.. hiki kilio lilikuw cha siku nyingi.
Nitafutie namba zakeApigwe miti 🤣
Waweke vizuizi halafu magari yanayotoka upande A kwenda upande B yapite juu ama?Ajali zote za mwendokasi nilizoshuhudia ni kama vile hao madereva wanakuwa wana dhamiria kuua kabisa maana huwa wanakimbia sana hata sehemu ambazo zinaonekana kuwa ni hatarishi......
Kipande cha kutoka gerezani mpaka kufika kituo cha fire huwa ni mshike......mwenda kwa miguu unakuwa macho juu kama nguchiro.....huku mwendokasi kule boda boda waliochanganyikiwa.......hujakaa Sawa umegongana na mmachinga........
Mimi nadhani kuanzia pale gerezani waweke vizuizi mpaka fire.....na pia kuanzia fire mpaka kivukoni waweke vizuizi.........
Kwamba alienda na basi la mwendo Kasi kununua nyanya na karoti kule shimoni?Nilimuona na hilo gari akinunua mazagazaga kule shimoni, nikashangaa sana.
So sadAliburuzwa na gari nyanganyanga hata picha sijaweza kuchukua mkuu.