KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
ni jangwaniGerezani au Msimbazi? Enewei naunga mkono hoja barabara ijengewe kingo imebanana sana hapa boda wanapita kama vichaa,Watembea kwa miguu nao wanapita vibaya mno..Jumlisha ule uendeshaji wa Mwendokasi watatuua sana mbwa hawa
nHabari ya mchana wakuu, niko hapa maeneo ya kariakoo kuna ajali imetokea gari ya mwendokasi iliyokuwa inaendeshwa na mwanamke imemgonga mtu na mwili kusagika hapo hapo, inasemekana huyu ni mtu wa tatu anagongwa na kufa hapo hapo na huyu mwanamke.
Mwenye maelezo zaidi kuhusu huyu mwanamke dereva wa mwendokasiatujuze
Habari ya mchana wakuu, niko hapa maeneo ya kariakoo kuna ajali imetokea gari ya mwendokasi iliyokuwa inaendeshwa na mwanamke imemgonga mtu na mwili kusagika hapo hapo, inasemekana huyu ni mtu wa tatu anagongwa na kufa hapo hapo na huyu mwanamke.
Mwenye maelezo zaidi kuhusu huyu mwanamke dereva wa mwendokasiatujuze
dere mwanamke aisee sijawahi kumwaminHabari ya mchana wakuu, niko hapa maeneo ya kariakoo kuna ajali imetokea gari ya mwendokasi iliyokuwa inaendeshwa na mwanamke imemgonga mtu na mwili kusagika hapo hapo, inasemekana huyu ni mtu wa tatu anagongwa na kufa hapo hapo na huyu mwanamke.
Mwenye maelezo zaidi kuhusu huyu mwanamke dereva wa mwendokasiatujuze
Hapana nakupinga. Watu waheshimu sheria za barabara. Huwa najiuliza traffic hawaruhusiwi kuwakamata watembea kwa miguu wanaovunja sheria? Watembea kwa miguu nao wanavunja sheria mno. Huko Kkoo watu hawayaogopi magari kabisa.Iwe barabara inapaswa kuwekewa kingo za kuta za chuma.. Inaingiliwa mno na wapita njia na sometimes bila tahadhari.. Na yule dada ni rough driver
Ila watu wa Dar mwaogopa mvua tu, Magari ahaaa, kwa huyu nina imani ni Bahati mbaya tu. Rest in peace Mtanzania mwenzetu.Habari ya mchana wakuu, niko hapa maeneo ya kariakoo kuna ajali imetokea gari ya mwendokasi iliyokuwa inaendeshwa na mwanamke imemgonga mtu na mwili kusagika hapo hapo, inasemekana huyu ni mtu wa tatu anagongwa na kufa hapo hapo na huyu mwanamke.
Mwenye maelezo zaidi kuhusu huyu mwanamke dereva wa mwendokasiatujuze
Ni yule dada kama dume sio..?Iwe barabara inapaswa kuwekewa kingo za kuta za chuma.. Inaingiliwa mno na wapita njia na sometimes bila tahadhari.. Na yule dada ni rough driver
Kama huyo mama ni rough driver inabidi mwana mme utumie 'rough rider'. Ubaya... Ubaya!Iwe barabara inapaswa kuwekewa kingo za kuta za chuma.. Inaingiliwa mno na wapita njia na sometimes bila tahadhari.. Na yule dada ni rough driver
Hapo ni karibu na Fire ninadhaniSiyo mwenyeji sana mkuu ila ni hapa kwenye mataa, kuna kituo cha kujaza mafuta Total na msikiti wa Makonde, kwenye haya mataa
Kwahio akigonga anapita kama treni auHuyu ni mtu wa 3 anagongwana huyu mwanamama na kupoteza maisha.
Mwingine ni mwanamke amemgonga juzi maeneo haya haya.
Kwahiyo sina chuki na huyu mwanamke hata kidogo