Basi la Mwendokasi limeua mtu Kariakoo, Dereva Bodaboda wamshambulia Dereva wa Mwendokasi

Lilikuwa linaona Taa haziruhusu lenyewe likajiona mjanja.


Bodaboda wafyekwe kwa namna hiyo hiyo maana yanaona barabara zote zao peke yao
 
Waweke vizuizi halafu magari yanayotoka upande A kwenda upande B yapite juu ama?
Bila shaka alikuwa na maana ya kuweka uzio pembeni ya barabara kwenye hayo maeneo.

Lilikuwa linaona Taa haziruhusu lenyewe likajiona mjanja.


Bodaboda wafyekwe kwa namna hiyo hiyo maana yanaona barabara zote zao peke yao
Uwe unasoma vizuri mkuu na kuelewa!
Nimesoma taarifa inasema aliyegongwa alikuwa sahihi maana taa zilimruhusu apite, ila gari la mwendokasi ndiyo likaja kumchota.
 
Lilikuwa linaona Taa haziruhusu lenyewe likajiona mjanja.


Bodaboda wafyekwe kwa namna hiyo hiyo maana yanaona barabara zote zao peke yao
Tuwe na ubinadamu kidogo, Nina hakika mtu wako wa karibu akiwa kwenye boda hutataka hii hukumu uliyoitoa iwe juu yake hatakama amefanya hilo kosa.
 
Hao bodaboda Mwenzao akigongwa hata kwa uzembe wake mwenyewe wao wanamshambulia Mwenye Gari.Vipi na wao wakigonga Mtu jamii iwadunde?Na huyo aliyekamatwa ndio awe mfano,ikiwezekana awataje walioshirikiana nao waungane nae.
 
Tuwe na ubinadamu kidogo, Nina hakika mtu wako wa karibu akiwa kwenye boda hutataka hii hukumu uliyoitoa iwe juu yake hatakama amefanya hilo kosa.
Kosa moja barabarani totally linagharimu maisha.

Yule dreva wa Costa ya wana kwaya alisinzia kidogo tu, angalia gharama ya matokeo ya kusinzia kwake kidogo.
 
Watasema billion 200 🤣
Huo mradi walipoufungua vitu kibao vilikuwa havijakamilika
Ila kwa sababu nchi kama ina laana ndy hivyo tena
Mpaka ndani ya vituo tu mabenchi yale ya kukaa hayajawekwa ya kutosha

Ova
 
Kosa moja barabarani totally linagharimu maisha.

Yule dreva wa Costa ya wana kwaya alisinzia kidogo tu, angalia gharama ya matokeo ya kusinzia kwake kidogo.
"Bodaboda wafyekwe kwa namna hiyo hiyo maana yanaona barabara zote zao peke yao"

Hii sentensi umeiongea baada ya boda kukanywagwa na basi na kufa hapo hapo.

Hapa unamaanisha wenye magari wawakanyage wafe. Ni sentensi iliyokosa ubinadamu mkuu. Isome tena utaona mistake.
 
Suala ninaloliona hapa, ni huyu mwanamke kuua watu watatu katika ajira moja. Mtu kuvuka taa nyekundu hakikupi kibali cha kumuua.
 
Kuna siku nipo kwa daladala boda akajichanganya ku overtake bila tahadhari. Aiseee dele wa ile costa akamsogezea chuma ili akajibamize kwenye roli upande wa pili, kwa bahati akamkosa.

Jamaa akaanza kuongea bila aibu, “ana bahati sana, habari yake ingeishia hapa”.
 
waendesha mwendo kasi ni washenzi sana, walishanikosa mara chupu chupu, yoyote anaewatetea hajayaona.
 
Sehemu za kupita njia watu wameweka biashara, hizi huruma za kipuuzi eti watauzia wapi ndo zinamaliza maisha ya watu. Kariakoo kunaboa sana, biashara zimejazana hadi barabarani kanjia kadogo sana kwaajili ya watembea kwa miguu, hapo hatuongei kuhusu uchafu hii nchi watu wanapelekwa kimayai mayai sana
RIP mwamba aliyegongwa🙏
 
Mwamba gani mkuu?
Maana Magufuli ndiyo aliwapa ruhusa waachinga wazae kila engo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…