Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Kutoka Geita adi mwanza bila daraja ni mwendo wa masaa mangapi? Kutoka mwanza mjini adi bukoba bila daraja ni mwendo wa masaa mangapi? Umuhimu wa daraja apo uko wapi? Mwendazake alitumia utashi wake tu maana alikuwa hashauriki.
Najaribu kukuelewa ila nashindwa dah.

Kutoka mwanza to geita ni almost masaa matano bila daraja,daraja likikamilika ni masaa chini ya matatu.
Tofauti ni masaa mawili unajua impact ya muda kweny uchumi?

Nenda kasome

Time Allocation in Economics and the
Implications for Economic Development

Author: Nicoleta CARAGEA
 
He he he mpaka umeamua kuimba kabisa na taarabu hapo mwisho.Btw hebu jifunze matumizi ya herufi h ,hatuandiki 'ata' inaandikwa 'hata' , Alafu ni halafu,ntapiga ni nitapiga [emoji3][emoji3]
Atuandiki sio hatuandiki. Mwanza mna nini nyie washamba by nature?! 🤣
 
Hata mpewe kipau nyuma hamuwezi kuifikia mwanza, never ever. Na usifikiri ukimtaja mwendazake utatunyong'onyesha sahau Hilo maana tunajua fika haitakuja kutokea Kanda yenu mkatoa Rais. Lakini pia nakushauri punguza habari za ukanda na ukabila ongelea MWANZA vs ARUSHA.
 
Hawa jamaa huwaambii kitu kuhusu dagaa na ugali

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Comment hii imeamdikwa na mtu mwenye akili za bangi,mirungi na pombe ya banana,vyote vikiwa kichwani.Daraja la Kingogo-Busisi litawatoeni bandama kwa makasiriko na Mama Samia anapeleka pesa kama kawaida na 2024 tutaanza kulitumia rasmi.
 
Kwaiyo gari kwako ndio maendeleo?! Kweli shamba city munazingua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] vipi kuhusu maisha ya mutu mmoja mmoja mbona umasikini umewajaa pamoja na was lile jitu mwendazake kuwapendelea?
Chuga boy gani wewe unaandika kama umetokea Burundi? 'Mutu' ,kwaiyo'.Hiki kiswahili utakikuta Burundi,Rwanda na DRC.Unatokea wapi katika hizo nchi tatu?
 
'munatabu'.Hebu tueleze kwanza wewe ni wa Burundi,Rwanda au DRC?
 
Kama sio ushabiki, lile daraja huwezi kuliita upumbavu.

Shida ni kwamba hamtembei, muuza matunda utajuaje umuhimu wa miuondombinu mbalimbali nchini?

Mkiuza matunda huko Chuga mnaona hakuna umuhimu wa mengine kufanyika.
Na wakati huo huo kwa ubinafsi walio nao,wamekaa kimya na wanaona wao wanastahili sana kujengewa daraja la mto Wami la kuwapeleka huko kwao lakini Daraja la Busisi hapana .Hawa watu katika kiwango cha ubinafsi hakuna mtu anawafikia.
 
Ushapagawa wewe na mada imeshakuzidi uwezo.
 
Lile jitu lilikuwa jizi miradi mingi sifuri ziliongezwa. Jitu linanunua ndege kwa cash ushaona wapi dunia hii?! Tulikosea sana kama taifa kumpa nchi msukuma. Bahati nzuri Mungu katuhurumia..[emoji3][emoji3][emoji3]
Mada ushakuzidi uwezo hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…