Battle ya Sativa vs ZCO Faustine Mafwele bado mbichi

Bla bla hizi
 
Hata Magufuli alituma watu wake chini ya Makonda wakamshindilia Lissu risasi 16, ajabu akafa yeye Magufuli badala ya Lissu. Acha Mungu aitwe MUNGU
 
Naamini huyo Mafwele atamtafuta Sativa wakiwa wawili tu wamalize tofauti zao
Unajua ni Aibu kwa Jeshi la Police, aibu kwa huyo Mafwele pia Kwa Serikali nzima...!

Cha kumfamya huyo Sativo hawana, naona wanapiga Mahesabu siku zote hawajapata majibu..!

Coz isingekua issue yake ya kupigwa Risasi, angeshakamatwa siku nyingi....!
 
Huyu Mafwele hajaanza leo unyama wake. Angalia kwenye thread hii namna raia walivyofurahi alivyohamishwa Arusha miaka hiyo ya 2016
 
Unajua ni Aibu kwa Jeshi la Police, aibu kwa huyo Mafwele pia Kwa Serikali nzima...!

Cha kumfamya huyo Sativo hawana, naona wanapiga Mahesabu siku zote hawajapata majibu..!

Coz isingekua issue yake ya kupigwa Risasi, angeshakamatwa siku nyingi....!
Aibu kubwa imewafikia.
Sasa hawana namna nyingine zaidi ya kumuomba msamaha na kumhnga maburungutu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…