Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
raraa reree nani ambaye hajamjua mwenzie? Maana hao wamesha kutana uso kwa uso.Jamaa hajajua bado adui yake ni nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
raraa reree nani ambaye hajamjua mwenzie? Maana hao wamesha kutana uso kwa uso.Jamaa hajajua bado adui yake ni nani
Bla bla hiziKatika Qur'an, hukumu ya Siku ya Kiama inatajwa kwa uwazi katika sehemu nyingi, ikiweka msisitizo wa matukio yatakayojiri na hali ya watu wakati huo. Siku ya Kiama inaitwa kwa majina tofauti kama "Yaumul Qiyama" (Siku ya Kusimama), "Yaumul Hisab" (Siku ya Hesabu), "Yaumul Fasl" (Siku ya Tofauti), na mengine mengi. Qur'an inaeleza kuwa siku hiyo itakuwa ni siku ya haki, ambapo kila nafsi itahukumiwa kwa matendo yake ya duniani.
Baadhi ya aya zinazozungumzia hukumu ya Siku ya Kiama ni:
1. Surat Az-Zalzalah (99:7-8):
- "Basi atakaye fanya wema wa chembe ya uzito wa chembe atauona. Na atakaye fanya ubaya wa chembe ya uzito wa chembe atauona."
Aya hii inasisitiza kuwa kila kitendo, kiwe kidogo au kikubwa, kitafikishwa kwa hesabu mbele ya Allah, na kila mtu atapata malipo au adhabu kwa matendo yake.
2. Surat Al-Qariah (101:6-9):
- "Ama ambaye mizani yake ya (mema) itakuwa nzito, basi huyo atakuwa katika maisha ya furaha. Na ambaye mizani yake ya (mema) itakuwa nyepesi, basi makao yake yatakuwa Hawiya (jahannamu)."
Hii inafafanua kuwa mizani ya matendo ndiyo itakayoamua hatima ya kila mtu, ama kuingia Peponi au Jahannamu.
3. Surat Al-Haaqqa (69:18-19):
- "Siku hiyo mtafikishwa (kwa Mola wenu) hamna kilichofichwa katika siri zenu. Basi yule atakayepewa kitabu chake kwa mkono wake wa kulia atasema: Haya! Sikilizeni msome kitabu changu!"
Hata Magufuli alituma watu wake chini ya Makonda wakamshindilia Lissu risasi 16, ajabu akafa yeye Magufuli badala ya Lissu. Acha Mungu aitwe MUNGUDah nimpe pole huyu jamaa kwa nyakati ngumu alizopitia sio jambo jepesi.
Sema hapa naona kuna kitu hakipo sawa kwake.Sijui kiasi gani amejipanga kumkabili huyu mtu lakini kwa hesabu nyepesi unaona battle anaweza shindwa tena
Angeweza angemwachia Mungu au kama anataka kuchukua njia za asili hakuwa na sababu ya kuparade hizi taarifa kizembe(labda ni kutoa ufahamu kwa wengine hili wajichunge kama ndio lengo basi sio vibaya lakini kama ni lengo la kupata huruma ya watz niseme hapa uongo kwani watanzania unafiki ni mwingi)
Unajua ni Aibu kwa Jeshi la Police, aibu kwa huyo Mafwele pia Kwa Serikali nzima...!Naamini huyo Mafwele atamtafuta Sativa wakiwa wawili tu wamalize tofauti zao
Hajui kwamba adui yake namba moja ni yeye mwenyewe.Jamaa hajajua bado adui yake ni nani
Ushahidi tafadhali, kwa maana sisi Watanzania tuna roho mbaya halafu tunasingiziaga watu wengine.Huyu jamaa aliyetajwa hapa ni Msukuma lakini deeply kabisa ni Mrwanda.
Ana roho mbaya kama bwana jiwe
Huyu Mafwele hajaanza leo unyama wake. Angalia kwenye thread hii namna raia walivyofurahi alivyohamishwa Arusha miaka hiyo ya 2016Mara nyingi nikiangalia picha ya huyu mtu, kwa jicho la tatu, huyu ameanza kutafunwa na nafsi yake. Damu alizomwaga ni nyingi sana. Hana raha ya kipato anachopata, watoto wake wanalipiwa kwa fedha ya damu za watu masomo yao hayana baraka ya Mungu. Mkewe akivaa akadhani kapendeza ni mavazi ya damu za watu.
Muuaji wa kwanza tangu ulimwengu kuumbwa alikuwa Kaini.
Baada ya Kaini kumuua Abel, Kaini alichimba shimo akamfukia, damu ya Abel ikamlilia Mungu, Mungu akasikia kilio cha Abel. Mungu akamuita Kaini, naye akaitika Mungu akamuuliza yu wapi Abel ndugu yako? Kaini akamjibu ovyo sana Mungu eti kwani mimi ni mlinzi wake?
Majibu ya ovyo ya Kaini kwa Mungu ni dailies ya kufadhaika kwa nafsi ya Kaini. Ndivyo wauaji wanavyofadhaika. Mwisho wataanza kuelezea kwa watu kuhusu maovu waliyotenda na kamwe haitasaidia.
Temana na hilo jitu jeusiii tii lenye sijdah inaonekana licha ya uweusi wake. Ana uhakika likifa kwenye uislamu litabadilika kuwa liarabu ndo maana liko hivyo.Haya matakataka ndo nini
Wewe maQa lio yako yana akili za kijijiniSativa17 ana akili za ushamba
Hakika.Huyu jamaa Mungu amlinde....story yake inaogopesha.
Aibu kubwa imewafikia.Unajua ni Aibu kwa Jeshi la Police, aibu kwa huyo Mafwele pia Kwa Serikali nzima...!
Cha kumfamya huyo Sativo hawana, naona wanapiga Mahesabu siku zote hawajapata majibu..!
Coz isingekua issue yake ya kupigwa Risasi, angeshakamatwa siku nyingi....!