Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
Hivi inakuaje mwanaume unakua mwoga mwoga!? hua inatokeaje hapo?? ..sorry ..ww ni Ke au MeAsiyefundwa na mame hufundwa na ulimwengu ndivyo impasayo sativa17, anayoyataka atayapata.
Maneno mingi kazi kidogo
Atapata anachotaka aendelee na kelele zake hao wanaompa kichwa ni vibwengo tu hamna kitu.
Wadiz
Risasi ingie kichwani ubaki mzima!!? Kawadanganye wajinga wenzake.4. CT - Scan ya fuvu baada ya risasi
View: https://x.com/Sativa255/status/1834088999079596417?t=whyMQivBv_iOV6VDnz5mFA&s=19
Hajui kuchagua vita za kupigana.Asiyefundwa na mame hufundwa na ulimwengu ndivyo impasayo sativa17, anayoyataka atayapata.
Maneno mingi kazi kidogo
Atapata anachotaka aendelee na kelele zake hao wanaompa kichwa ni vibwengo tu hamna kitu.
Wadiz
NimekupendaSijui kwanini watu waoga huwa wanakasirika kuwaona wenye ujasiri wakidai haki zao...
Wewe kama mwoga, tulia acha afanye anachofanya maana ogopa mtu ambaye hata risasi alipigwa lakini bado haogopi kusema.
Kama wewe unaogopa, unakaa pembeni tu huna haja ya kuleta maneno mengi.
We MQundu basi una akili wewe..Sativa17 ana akili za ushamba
🧕🏿 must goTumechoka kutishwa
Sasa kwa nini nyinyi msiende Mahakamani mkamfungulie kesi ili tujue nani ni mkweli?Mwambie Faustine Mafwele aende kesho Mahakamani akadai kuchafuliwa, I bet hawezi kufanya hivyo hata ukimshikia bastola. Mafwele is behind these insane kidnappings and killings
Umeandika utumbo wa bataAsiyefundwa na mame hufundwa na ulimwengu ndivyo impasayo sativa17, anayoyataka atayapata.
Maneno mingi kazi kidogo
Atapata anachotaka aendelee na kelele zake hao wanaompa kichwa ni vibwengo tu hamna kitu.
Wadiz
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Nchi yangu Tanzania
Waoga haoooNchi yangu Tanzania
Mahakamani sio twitter,na yule ni polisi mzoefu hafanyi mambo kwa hisia,dogo analeta hisia nyingi,zinaweza mghalimu.Mwambie Faustine Mafwele aende kesho Mahakamani akadai kuchafuliwa, I bet hawezi kufanya hivyo hata ukimshikia bastola. Mafwele is behind these insane kidnappings and killings
Wanaroho mbaya wasenge haoKamalamo mfwele ni wakerewe
Mlimtesa sana mtawajibika tu, vitisho havisaidii na sasa mnatulikana na bado mtatajana wote.Asiyefundwa na mame hufundwa na ulimwengu ndivyo impasayo sativa17, anayoyataka atayapata.
Maneno mingi kazi kidogo
Atapata anachotaka aendelee na kelele zake hao wanaompa kichwa ni vibwengo tu hamna kitu.
Wadiz