Battle ya Sativa vs ZCO Faustine Mafwele bado mbichi

Battle ya Sativa vs ZCO Faustine Mafwele bado mbichi

Dogo anamlaum mafwele tu bure nafikir watesi wake ni wengine ila uyo mwafele ye kapokea tu tenda awe makini tu kama kaamua kumwaga unga, angejuwa kosa lake angejuwa watesi wake, mi nnavyoona dogo angeomba msaada kistaarabu,mara amlaumu Maza ata uyo dogo mwingine aliedakwa nae kina mambo fulani hayapo sawa,sio ukosoaji tu
 
Mara nyingi nikiangalia picha ya huyu mtu, kwa jicho la tatu, huyu ameanza kutafunwa na nafsi yake. Damu alizomwaga ni nyingi sana. Hana raha ya kipato anachopata, watoto wake wanalipiwa kwa fedha ya damu za watu masomo yao hayana baraka ya Mungu. Mkewe akivaa akadhani kapendeza ni mavazi ya damu za watu.
Muuaji wa kwanza tangu ulimwengu kuumbwa alikuwa Kaini.
Baada ya Kaini kumuua Abel, Kaini alichimba shimo akamfukia, damu ya Abel ikamlilia Mungu, Mungu akasikia kilio cha Abel. Mungu akamuita Kaini, naye akaitika Mungu akamuuliza yu wapi Abel ndugu yako? Kaini akamjibu ovyo sana Mungu eti kwani mimi ni mlinzi wake?

Majibu ya ovyo ya Kaini kwa Mungu ni dailies ya kufadhaika kwa nafsi ya Kaini. Ndivyo wauaji wanavyofadhaika. Mwisho wataanza kuelezea kwa watu kuhusu maovu waliyotenda na kamwe haitasaidia.
Ana miaka 47 ila kishazeeka na hapo ni mtu wa mazoezi na pesa anayo ya uhakika ila kishachakaa!
 
Mara nyingi nikiangalia picha ya huyu mtu, kwa jicho la tatu, huyu ameanza kutafunwa na nafsi yake. Damu alizomwaga ni nyingi sana. Hana raha ya kipato anachopata, watoto wake wanalipiwa kwa fedha ya damu za watu masomo yao hayana baraka ya Mungu. Mkewe akivaa akadhani kapendeza ni mavazi ya damu za watu.
Muuaji wa kwanza tangu ulimwengu kuumbwa alikuwa Kaini.
Baada ya Kaini kumuua Abel, Kaini alichimba shimo akamfukia, damu ya Abel ikamlilia Mungu, Mungu akasikia kilio cha Abel. Mungu akamuita Kaini, naye akaitika Mungu akamuuliza yu wapi Abel ndugu yako? Kaini akamjibu ovyo sana Mungu eti kwani mimi ni mlinzi wake?

Majibu ya ovyo ya Kaini kwa Mungu ni dailies ya kufadhaika kwa nafsi ya Kaini. Ndivyo wauaji wanavyofadhaika. Mwisho wataanza kuelezea kwa watu kuhusu maovu waliyotenda na kamwe haitasaidia.
Watu kama hao huwa hawana mke wala watoto huwa ni mashoga.
 
Acha uongo mbona kuna Wakili mmoja juzi kafungua kesi ya jinai ya yule "Afande" kule Dodoma? Acha upotoshaji kama hujui uliza ufundishwe!!
Ninajuwa ķuliko wewe. Ukifungua kesi ya jinai lazima DPP atakuwa ni mmoja plaintiff na moja kwa moja yeye ndiye ataendesha kesi. Baada ya hapo atakuja na "nolle prosecui" kama alivyofanya kwenye kesi ya Gekul ya kumuingiza mtu chupa mkunduni
 
Dogo anamlaum mafwele tu bure nafikir watesi wake ni wengine ila uyo mwafele ye kapokea tu tenda awe makini tu kama kaamua kumwaga unga, angejuwa kosa lake angejuwa watesi wake, mi nnavyoona dogo angeomba msaada kistaarabu,mara amlaumu Maza ata uyo dogo mwingine aliedakwa nae kina mambo fulani hayapo sawa,sio ukosoaji tu
Hivi umeelewa ulicho andika au ujala mchana?
 
Ninajuwa ķuliko wewe. Ukifungua kesi ya jinai lazima DPP atakuwa ni mmoja plaintiff na moja kwa moja yeye ndiye ataendesha kesi. Baada ya hapo atakuja na "nolle prosecui" kama alivyofanya kwenye kesi ya Gekul ya kumuingiza mtu chupa mkunduni
Unaona usivyojua!! Kwenye kesi ya jinai hakuna Plaintff mkuu. Hiyo ni ya madai.
 
Back
Top Bottom