brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
BAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:
- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
Mkumbushe Dr. Mvungi rip alipogombea Urais alishangaa sana kuwa kwenye kituo cha kupigia kura anapoishi yaani pale UDSM hall 5 aliishia kupata kura kiduchu mno ambazo ni chini hata ya idadi ya wanafamilia wake ambao walipiga kura. Kwa kifupi alishangaa imekuwaje inaonekana hata wanafamilia yake hawakumpigia kura!!!Unaijua hela wewe? Lissu ni mshindi tayari, tatizo niβ¦.
Box la kura (jeusi la kiafrica) ndio kimbembe.
HAYO HAPO MAPOKEZI YA MWAMBA MBOWE KIPENZI CHA WATANZANIA WALIO WENGI(CCM) na CHADEMAKweli kabisa, mganga wa Lissu anaonekana kuwa na uwezo wa kipekee! π
Singida iyoKweli kabisa, mganga wa Lissu anaonekana kuwa na uwezo wa kipekee! π
Vipi utarudi kawe kupambana na Gwajima na Furaha Dominic?Nyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
Babu unaonekana una chuki mbaya sana kwa lissuNyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
Mikoba ya suma wanga π€£Unajipigia promo πππ
Soma ulichoandikaWapi nimesema Wewe ni Mganga wa Kienyeji? πΌπ
PASKALI YUKO SAHIHI, WOTE LISU NA MBOWE WAMEPOKELEWA KWA SHANGWEBabu unaonekana una chuki mbaya sana kwa lissu
Mkuu mganga wa Lissu ni MUNGU Kampa kibali!!!Dah mganga wa Lissu kiboko
Lisu anakubalika na jamii kwa sasaBAVICHA wamelipuka kwa shangwe kubwa baada ya Tundu Lissu ambaye ni Mgombea wa Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakati akiingia kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA leo, ambapo vijana wa CHADEMA kutoka sehemu mbalimbali wamekutana kuamua viongozi watakaoongoza Baraza hilo kwa kipindi kijacho.
Pia, Soma:
- Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
Ukikaa muda mrefu watu wanakuchoka, leo hii CUF, UDP, TLP huwezi jua hata kama kuna uchaguzi maana siyo vyama tena ni NGOs fulaniDah mganga wa Lissu kiboko
Nilijua utatia neno meku .. hizi mambo hasiwezi pita bila wewe kuwa na taarifa. Jo ! wewe ni mtu na nusu.Singida iyo
Zaiko langalanga mkolomboka chini ya JOSEE NYOKALONGO π―π£πΊπΈπ»πͺHuyu chapii mbona anakufuata fuata? Watu dizaini hii ni kupiga zaiko langalanga ahangaike nalo.
Zaiko langalanga mkolomboka chini ya JOSEE NYOKALONGO π―π£πΊπΈπ»πͺHuyu chapii mbona anakufuata fuata? Watu dizaini hii ni kupiga zaiko langalanga ahangaike nalo.
Wananchi wanamtaka Lisu huo ndiyo ukweliNyumbu hizi ndio zao, kulipuka kwa shangwe kumshangilia Lissu, ila siku ya siku, Lissu atashangaa na hata amini!.
P
vijana poyoyo tu hawana loloteMganga wa Lissu ni nyakati tu. Mbowe ameshindwa kusoma alama za nyakati ndiyo maana anatumia nguvu kuuubwa na hadi assist toka dola kumrudisha.
Alisikika delude person mmoja akitokwa na kauli zisizo na ufahamu wa Hali halisiCCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.