Kama Ndugai anavyotaka kujua kikao kilichokaa na katiba iliyowafukuza ndivyo angedai wakati wa kuwapokea bungeni. Ni kikao gani kilikaa kuwateua, katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu uteuzi, na nani anapelekwa majina kwa tume ya uchaguzi! Sasa tatizo nyie mme-engage gear ya reverse! Mnataka muamzie kwenye rufaa ya kuwafukuza, muende kwenye kufukuzwa, muende kwenye majina kwenda kwa tume, muende kwenye vikao vya kuteua wabunge, muende kwenye matangazo ya ushindi wa uchaguzi mkuu, muende kwenye wizi wa kura, muende kwenye uchaguzi, muende kwenye rafu za kampeni! This is rubish!!!!
Unachotakiwa kuelewa ni kwamba enzi za Jiwe, Polepole, Bashiru, Mahere na Biswalo zimekwisha. Na kama Ndungai angekuwa ndani ya orbit ya Mama Samia tayari angekuwa kama alivyosema Nyerere na wazanaki wanavyosema kuwa angeishakwenda na MAZI GA NYANJA! yaani angeishabaki na ulinzi wa ile fimbo yake anayowapigia wanaompinga kwenye kampeni za uchaguzi wa ndani wa CCM tu!
Edy Muffy alisema- "TIME MUST, AND ALWAYS DO CHANGE MY FRIEND" SO don't let your brain stand still, be dynamic, change with time or else you will be left behind!