BAWACHA kutinga Bungeni tarehe 10/05/2021 kuwatimua Wabunge 19 waliopora nafasi za CHADEMA

Kuita wajumbe wa Baraza kuu la Chadema kuna garama za usafiri na posho kwa wajumbe wakati maandamano posho haiitajiki.
 
Lakini kabla hawajaanza maandamano kwenda Bungeni kudai Mdee na wenzake 19 watoke, wameshaulizia Ruzuku ya wabunge 19 kwa Chadema kama Chama inakwendaga wapi kila mwezi?
 
Kukata rufaa hakutengui maamuzi ya kamati kuu mpaka maamuzi ya rufaa yatoke
 
Lakini kabla hawajaanza maandamano kwenda Bungeni kudai Mdee na wenzake 19 watoke, wameshaulizia Ruzuku ya wabunge 19 kwa Chadema kama Chama inakwendaga wapi kila mwezi?
Hao hawana ruzuku!
 
Kuita wajumbe wa Baraza kuu la Chadema kuna garama za usafiri na posho kwa wajumbe wakati maandamano posho haiitajiki.
🙂 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂 😀
 
Au anafelishwa kimkakati....from within. Politics versus economics
CHADEMA inahitaji reshuffle kwenye department's zake zinahusu operations za chama.
1. Kurugenzi ya operation na mafunzo haina mtu toka 2019.
2. Kurugenzi ya Propaganda Hemed Ally is too soft and passive.
3. Kurugenzi ya Mambo ya nje Munis ni kama hayupo ofisini
4. Kurugenzi ya uchaguzi na bunge inapaswa kurejeshwa haraka na apewe mtu mwenye commitment
 
Si walikata hzi nafasi nakukataa uchaguzi imekuwaje tena
 
Wanaanza na wanaloona ni hot zaidi.
Hilo la ruzuku linajadilika ndani ya vikao lakini la hao covid na kimbunga jobo wameona watumie mbinu hiyo.
Wasikilizwe nchi ni yetu sote
 
Mbona wana wivu ,wabunge wanawahusu nini? Hapo cha maana ni Mnyika kufuata utaratibu otherwise watakula virungu vya polisi Dom
 
Mkuu fanya marekebisho kwenye wasilisho lako. Nilichosikia na kuona kwenye ITV ni kwamba wametaka wale Wabunge 19 wa viti maalum waliojiteua waondolewe Bungeni na fedha zitakazookolewa kutokana na kuondolewa kwa Wabunge hao zitumike kwenye huduma za jamii yaani elimu na afya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…