Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huu ni ulafi sasaUkipata nafasi itumie vyema.
Safi sanaBaraza La Wanawake CHADEMA maarufu kama BAWACHA imetoa tamko rasmi kufuatia matendo ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini.
BAWACHA wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari siku ya leo wametangaza kuwa kutokana na kitendo cha Rais Samia kutokuwawajibisha wote waliohusika na mauaji ya Mzee Ali Kibao na wanachama wengine wa CHADEMA waliotekwa, wameamua kuchoma moto vitenge walivyopewa na Rais Samia kwenye tukio la kuadhimisha siku ya mwanamkd duniani mwaka jana.
"Leo tumewaita hapa ili kuonesha hasira zetu dhidi ya Rais Samia kwa kutokuchukua hatua dhidi ya watekaji na wauaji, BAWACHA kanda ya Pwani leo tutaenda kuchoma vile vitenge alivyotupa Samia kama zawadi siku ya wanawake duniani mwaka jana"
Source: Jambo TV
Kama nataka kuwapa wahitaji bora nichukue cha kwangu cha urafiki niwape kuliko kutoa hichoIshara nzuri ila wangewapatia wahitaji kuna watu hawana ata cha kujifunika usiku hii nchi.
4R, haikuwa rushwaIna maana mwanzo walikubali kuchukua rushwa lakini wamekataa baada kizimkazi kuuwa watanzania?Ilitakiwa waikatae rushwa Toka kipindi hicho.Kingine wakafungue kesi ICC ili kumwajibisha huyu kizimkazi kuueleza umma amewapeleka wapi Hawa watu ambao amewaficha.
Itakuwa sio sahihi kwani Itakuwa ni kusambaza upendo ambao msingi wake ni unafiki kwasababu hivyo vitenge vilitolewa kinafikiIshara nzuri ila wangewapatia wahitaji kuna watu hawana ata cha kujifunika usiku hii nchi.
Bado walikuwa navyo tu?Baraza La Wanawake CHADEMA maarufu kama BAWACHA imetoa tamko rasmi kufuatia matendo ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini.
BAWACHA wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari siku ya leo wametangaza kuwa kutokana na kitendo cha Rais Samia kutokuwawajibisha wote waliohusika na mauaji ya Mzee Ali Kibao na wanachama wengine wa CHADEMA waliotekwa, wameamua kuchoma moto vitenge walivyopewa na Rais Samia kwenye tukio la kuadhimisha siku ya mwanamkd duniani mwaka jana.
"Leo tumewaita hapa ili kuonesha hasira zetu dhidi ya Rais Samia kwa kutokuchukua hatua dhidi ya watekaji na wauaji, BAWACHA kanda ya Pwani leo tutaenda kuchoma vile vitenge alivyotupa Samia kama zawadi siku ya wanawake duniani mwaka jana"
Source: Jambo TV
Dah haya maneno alishawahi kuongea mzee mmoja na hata haikupita mwaka tukayashuhudiawanawake wenye roho ya kuchoma nguo moto ni wanawake hatari katika jamii
Nguo najisiwanawake wenye roho ya kuchoma nguo moto ni wanawake hatari katika jamii
Huyu mama ni akili kubwa. Nimemtunuku PhD ya heshima.Tamko na sababu zilizowapelekea kuweka msimamo wao hadharani hizi hapa kwenye video
View attachment 3111307
Wanaodhani kuwa haya madudu ya tuhuma dhidi ya Samia yatapita kama walivyozoea ni wazi wanakosea.
Walimfunga Chaula na kumpoteza. Sasa waanze project mpya maana ndo kama petroli imetua kwenye moto unaoendelea kuwaka