BAWACHA watangaza kuchoma vitenge walivyopewa kama zawadi na Rais Samia mwaka jana

BAWACHA watangaza kuchoma vitenge walivyopewa kama zawadi na Rais Samia mwaka jana

Moja Kati ya Akili za Hovyo,,Nadhani ni bora wangekaa kwa kutulia kuliko kuja na hoja kama hiyo kwenye jambo la msingi mnoo kama hilo.
 
Baraza La Wanawake CHADEMA maarufu kama BAWACHA imetoa tamko rasmi kufuatia matendo ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini.

BAWACHA wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari siku ya leo wametangaza kuwa kutokana na kitendo cha Rais Samia kutokuwawajibisha wote waliohusika na mauaji ya Mzee Ali Kibao na wanachama wengine wa CHADEMA waliotekwa, wameamua kuchoma moto vitenge walivyopewa na Rais Samia kwenye tukio la kuadhimisha siku ya mwanamkd duniani mwaka jana.

"Leo tumewaita hapa ili kuonesha hasira zetu dhidi ya Rais Samia kwa kutokuchukua hatua dhidi ya watekaji na wauaji, BAWACHA kanda ya Pwani leo tutaenda kuchoma vile vitenge alivyotupa Samia kama zawadi siku ya wanawake duniani mwaka jana"

Source: Jambo TV
Safi sana
 
Ina maana mwanzo walikubali kuchukua rushwa lakini wamekataa baada kizimkazi kuuwa watanzania?Ilitakiwa waikatae rushwa Toka kipindi hicho.Kingine wakafungue kesi ICC ili kumwajibisha huyu kizimkazi kuueleza umma amewapeleka wapi Hawa watu ambao amewaficha.
4R, haikuwa rushwa
 
Baraza La Wanawake CHADEMA maarufu kama BAWACHA imetoa tamko rasmi kufuatia matendo ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini.

BAWACHA wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari siku ya leo wametangaza kuwa kutokana na kitendo cha Rais Samia kutokuwawajibisha wote waliohusika na mauaji ya Mzee Ali Kibao na wanachama wengine wa CHADEMA waliotekwa, wameamua kuchoma moto vitenge walivyopewa na Rais Samia kwenye tukio la kuadhimisha siku ya mwanamkd duniani mwaka jana.

"Leo tumewaita hapa ili kuonesha hasira zetu dhidi ya Rais Samia kwa kutokuchukua hatua dhidi ya watekaji na wauaji, BAWACHA kanda ya Pwani leo tutaenda kuchoma vile vitenge alivyotupa Samia kama zawadi siku ya wanawake duniani mwaka jana"

Source: Jambo TV
Bado walikuwa navyo tu?
 
Tamko na sababu zilizowapelekea kuweka msimamo wao hadharani hizi hapa kwenye video



Wanaodhani kuwa haya madudu ya tuhuma dhidi ya Samia yatapita kama walivyozoea ni wazi wanakosea.

Walimfunga Chaula na kumpoteza. Sasa waanze project mpya maana ndo kama petroli imetua kwenye moto unaoendelea kuwaka


Utekelezaji ukianza👇👇👇👇👇


 
Kwa mlivyo shindwa hata kuandamana sijui hata kama imewauma.. Kuna wakati nakumbuka DR slaa
 
Hakuna haja ya kuvichoma moto...

Yabebeni na mrudishieni au mkayatupe getini magogoni...

Zawadi za kinafiki na zilizokaa kwa mtindo wa hongo hongo, hazifai. Mrudishieni mwenyewe, kataeni laana hiyo...
 
Tamko na sababu zilizowapelekea kuweka msimamo wao hadharani hizi hapa kwenye video


View attachment 3111307

Wanaodhani kuwa haya madudu ya tuhuma dhidi ya Samia yatapita kama walivyozoea ni wazi wanakosea.

Walimfunga Chaula na kumpoteza. Sasa waanze project mpya maana ndo kama petroli imetua kwenye moto unaoendelea kuwaka
Huyu mama ni akili kubwa. Nimemtunuku PhD ya heshima.
 
Ndipo tulipofikia? 4Rs hazifanyi kazi tena? Suluhisho la hili ni nini wadau?
 
Back
Top Bottom