UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Toka mwaka jana wanavivaa sasa vimechakaa ndio wanaamua kuvichoma moto? Ama kweli nyumbu ni nyumbu tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Huwa nikiona post zako namkumbuka Profesa Ndumilakuwili.
je havina picha ya utukufu?Ndivyo inavyokuwa duniani kote kilichonunuliwa kwa Kodi za wananchi ni lazima kiheshimiwe
Bawacha acheni Ujinga
Mlale unono 🐼
Ubebe upeleke getini watakufungulia kesi ya uhujumu uchumiHakuna haja ya kuvichoma moto...
Yabebeni na mrudishieni au mkayatupe getini magogoni...
Zawadi za kinafiki na zilizokaa kwa mtindo wa hongo hongo, hazifai. Mrudishieni mwenyewe, kataeni laana hiyo...
Ukipona ujuha utaelewa kuwa wanaojenga mazingira mabaya ya siasa kati ya CHADEMA na CCM ni nani. Kutekwa na kuuliwa kufunguliwa kesi za uongo kama ya uhaini ambayo adhabu yake ni kifo au kiungo cha maisha, kuzuiliwa kufanya siasa, kuporwa na kufungiwa akaunti, wizi wa kura nk.Hii inadhihirisha ninayoyasema.
CHADEMA si chama cha Siasa, bali ni Genge la wanaharakati.
Wakumbuke tu hii ni mbegu gani za upinzani wanazopanda. Mazingira ya hovyo ya siasa.
Nasema hivyo kwasababu ipo siku, 2040's huko pakatokea uwezekano wa Chama ama Vyama mbadala kushika Dola.
Patakalika?
Haya🔥
Wacha wajenge tu haya Mazingira. Watakuja kujuta.
=========
Hebu fikiria tu kwa sekunde, watu wengine waanze kuchoma moto picha, vitenge , kanga zenye picha za Wanachadema?
Kutakalika?
Suala hili linahatarisha Usalama wa Taifa ma Raia wake.
Hivyo vitenge vya mnafiki aliyesema mnafanya drama kujiteka, na kifo cha mzee Ali Kibao akasema ni kama vifo vingine vitenge vyake havifai hata kupigia deki. VICHOMWE TU!Ndivyo inavyokuwa duniani kote kilichonunuliwa kwa Kodi za wananchi ni lazima kiheshimiwe
Bawacha acheni Ujinga
Mlale unono 🐼
Tuliza mshono we subiri miezi tisa ukamtoe huyo anaekusababisha uteme Teme mate hovyo kama Kobra kokoUmeShaambiwa ni BAWACHA Sasa akili hizo watatoa wapi?!!
BAWACHA ni jamii ya nyumbu awafugao mbowe Sasa km ni nyumbu unafikiri watakuwa na chembe yoyote ya akili?!!!
Sawa, enhe, hilo litasaidia nn?!!! Samia ana shida na hizo khanga?!!! Kama wamemuimbia nyimbo ya kumkatili kabisa kuwa eti ni muuaji mkubwa kuwahi kutokea Tanzania hii na Bado akawapuuza, atadhulika nini' na huo ujinga wa kuchoma hivyo vitambaa?!!!!
Nini' zaidi BAWACHA mnaweza kusema zaidi ya ujinga ujinga kama huu?!!!!! Mtapigwa double penetration mbele na nyuma, shenzzzzzy!Tuliza mshono we subiri miezi tisa ukamtoe huyo anaekusababisha uteme Teme mate hovyo kama Kobra koko
Amewapuuza wakati kajitetea kuwa hajawahi kuua, na kupitia Chatanda wametangaza kula sahani moja na wapinzani?UmeShaambiwa ni BAWACHA Sasa akili hizo watatoa wapi?!!
BAWACHA ni jamii ya nyumbu awafugao mbowe Sasa km ni nyumbu unafikiri watakuwa na chembe yoyote ya akili?!!!
Sawa, enhe, hilo litasaidia nn?!!! Samia ana shida na hizo khanga?!!! Kama wamemuimbia nyimbo ya kumkatili kabisa kuwa eti ni muuaji mkubwa kuwahi kutokea Tanzania hii na Bado akawapuuza, atadhulika nini' na huo ujinga wa kuchoma hivyo vitambaa?!!!!
Tuliza makasiriko. na Mipasho.Ukipona ujuha utaelewa
😭kuwa wanaojenga mazingira mabaya ya siasa kati ya CHADEMA na CCM ni nani. Kutekwa na kuuliwa kufunguliwa kesi za uongo kama ya uhaini ambayo adhabu yake ni kifo au kiungo cha maisha, kuzuiliwa kufanya siasa, kuporwa na kufungiwa akaunti, wizi wa kura nk.
Bado unaona CHADEMA ndio wakosa?
Halafu wengi ni vimada wa Mbowe NkuruzinzaUmeShaambiwa ni BAWACHA Sasa akili hizo watatoa wapi?!!
BAWACHA ni jamii ya nyumbu awafugao mbowe Sasa km ni nyumbu unafikiri watakuwa na chembe yoyote ya akili?!!!
Sawa, enhe, hilo litasaidia nn?!!! Samia ana shida na hizo khanga?!!! Kama wamemuimbia nyimbo ya kumkatili kabisa kuwa eti ni muuaji mkubwa kuwahi kutokea Tanzania hii na Bado akawapuuza, atadhulika nini' na huo ujinga wa kuchoma hivyo vitambaa?!!!!
Kuna yule aliyepotwezwa kwa kuchoma picha.Baraza La Wanawake CHADEMA maarufu kama BAWACHA imetoa tamko rasmi kufuatia matendo ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini.
BAWACHA wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari siku ya leo wametangaza kuwa kutokana na kitendo cha Rais Samia kutokuwawajibisha wote waliohusika na mauaji ya Mzee Ali Kibao na wanachama wengine wa CHADEMA waliotekwa, wameamua kuchoma moto vitenge walivyopewa na Rais Samia kwenye tukio la kuadhimisha siku ya mwanamkd duniani mwaka jana.
"Leo tumewaita hapa ili kuonesha hasira zetu dhidi ya Rais Samia kwa kutokuchukua hatua dhidi ya watekaji na wauaji, BAWACHA kanda ya Pwani leo tutaenda kuchoma vile vitenge alivyotupa Samia kama zawadi siku ya wanawake duniani mwaka jana"
Source: Jambo TV
Ni wachokonozi. Wamenyimwa kuandamana kinyume na katiba ya nchi.
Kwanini? It’s a part of protesting.Wamechemka!