BAWACHA watangaza kuchoma vitenge walivyopewa kama zawadi na Rais Samia mwaka jana

Toka mwaka jana wanavivaa sasa vimechakaa ndio wanaamua kuvichoma moto? Ama kweli nyumbu ni nyumbu tu!
 
Ndivyo inavyokuwa duniani kote kilichonunuliwa kwa Kodi za wananchi ni lazima kiheshimiwe

Bawacha acheni Ujinga

Mlale unono 🐼
 
Yule kijana wa Mbeya alichoma picha ya Samia aliyoichora kwa mkono wake, lkn akaadhibiwa na mahakama.

Namsubiri kuona hili la bawacha kuchoma kanga alizonunua Samia.
 
Hakuna haja ya kuvichoma moto...

Yabebeni na mrudishieni au mkayatupe getini magogoni...

Zawadi za kinafiki na zilizokaa kwa mtindo wa hongo hongo, hazifai. Mrudishieni mwenyewe, kataeni laana hiyo...
Ubebe upeleke getini watakufungulia kesi ya uhujumu uchumi
 
Ukipona ujuha utaelewa kuwa wanaojenga mazingira mabaya ya siasa kati ya CHADEMA na CCM ni nani. Kutekwa na kuuliwa kufunguliwa kesi za uongo kama ya uhaini ambayo adhabu yake ni kifo au kiungo cha maisha, kuzuiliwa kufanya siasa, kuporwa na kufungiwa akaunti, wizi wa kura nk.

Bado unaona CHADEMA ndio wakosa?
 
Ndivyo inavyokuwa duniani kote kilichonunuliwa kwa Kodi za wananchi ni lazima kiheshimiwe

Bawacha acheni Ujinga

Mlale unono 🐼
Hivyo vitenge vya mnafiki aliyesema mnafanya drama kujiteka, na kifo cha mzee Ali Kibao akasema ni kama vifo vingine vitenge vyake havifai hata kupigia deki. VICHOMWE TU!
 
Tuliza mshono we subiri miezi tisa ukamtoe huyo anaekusababisha uteme Teme mate hovyo kama Kobra koko
 
Tuliza mshono we subiri miezi tisa ukamtoe huyo anaekusababisha uteme Teme mate hovyo kama Kobra koko
Nini' zaidi BAWACHA mnaweza kusema zaidi ya ujinga ujinga kama huu?!!!!! Mtapigwa double penetration mbele na nyuma, shenzzzzzy!
 
Amewapuuza wakati kajitetea kuwa hajawahi kuua, na kupitia Chatanda wametangaza kula sahani moja na wapinzani?
 
Ukipona ujuha utaelewa
Tuliza makasiriko. na Mipasho.
😭
Bado unaona CHADEMA ndio wakosa?


Ndio, sio tu naona, lakini ni uhalisia.

CHADEMA wanatengeneza mazingira magumu sana ya kisiasa. Yaani sio kwa CCM tu, bali nchini.
 
Halafu wengi ni vimada wa Mbowe Nkuruzinza
 
Kuna yule aliyepotwezwa kwa kuchoma picha.

Ngoja tuone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…