BBC imepanga kutoa video inayoonesha Unabii Feki wa TB Joshua

BBC imepanga kutoa video inayoonesha Unabii Feki wa TB Joshua

Utasubir sana sio muumini wa.Mwamposa lakini nakuhakikishia km wasemayo ni kweli watoe ripoti mwamposa akiwa hai

Watato tu. Tena muda sio mrefu. Kule Kenya huu ujinga ulipungua baada ya makala ya jicho pevu kuwa weka wazi Hawa matapeli. Sisi huku bado tunawachekea
 
Walikuwa wapi miaka yote jamaa akiwa hai...!!!
 
Breaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!

Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters wameelezea matukio aliyofanya ambayo yanatarajiwa kupostiwa na BBC katika video
View attachment 2864719

Tizama kipande hiki cha BBC wakihoji watu waliokumbwa na unabii feki wa TB Joshua....
Hii inashangaza!!! [emoji33][emoji2196][emoji2196][emoji2196][emoji100]

[emoji342] Video Credit: BBC
View attachment 2864718

TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.
Mimi sio mlokole na infact nimuumini wa Logic zaidi kuliko believes ila T.B Joshua kwangu alikua mtu noble sana.
Jamaa alikua mtoaji sana, habagui dini. Ametembelea nchi zenye ukristo na uislam mkali na amesaidia taasisi na orphanage nyingi sana duniani, wanafunzi kwa wazee wamebenefit sana na huyu mtu.
Heshima yangu kwake kamwe haiwezi kushuka.
 
Kwanini walisubiri afe kwanza? Sisi tataamini vipi story ya upande mmoja?

Mbona hizo stori zilikuwepo akiwa hai na watu wake wakapinga. Hata mtumishi fake Jim Jones ujinga wake ulikulikna baada ya kujiua
 
Sasa mtu kama mwamposa anaanza watu tunamuona
Kaunga unga leo huyo hapo
Mwamposa alianzia kikanisa chao walikuwa kinondoni mitaa nyuma ya chichi hotel,tena walikuwa 3
Wakazinguana yeye akatoka hapo
Akaenda Vatican sinza alipotoka hapo
Kawe

Ova
Hao wote ni wajanja wasaka hela kwa wajinga
Mwingine huyu hapa
Utakuta waumini wasomi na wasiosoma
Wanaambiwa piteni kwenye mlango wa Mafanikio 2024
Halafu yeye anawasanifu huku akila apple
Aiseee wajinga wengi sana
Kwa haya afrika kutengeneza ndege au kwenda mwezini tusahau
Screenshot_20240106_130649_WhatsApp~2.png
 
Breaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!

Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters wameelezea matukio aliyofanya ambayo yanatarajiwa kupostiwa na BBC katika video
View attachment 2864719

Tizama kipande hiki cha BBC wakihoji watu waliokumbwa na unabii feki wa TB Joshua....
Hii inashangaza!!! 😱🚴🏿‍♀️🚴🏿‍♀️🚴🏿‍♀️💨

📺 Video Credit: BBC
View attachment 2864718

TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.
Zipo nyingi youtube kwa miaka sasa.

Hii ya BBC itakuwa mojawapo tu, sema kwa vile wana jina kubwa.
 
Back
Top Bottom