Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Si wakuja hao ndio wanajaa humo wakati ma born town mnawachora tu hapo mjiniNa wakati mama rwakatare anataka kuanzisha mchongo wake,alisaidiwa sana na jamaa mmoja anaitwa D. mwakisambo ,mjanja tu tp fulani
Alikuwa yaani mhuni tu
Aise na kweli kanisa likaja [emoji1]
Hapa mjini tunawaangalia tu watu
Ila wengi fix tu
Sema nchi hii ina wajinga wengi sana
Na hawaishi labda bahari ikauke
Ova
Hivi huyo mama si alishakata moto eeh