Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Nakumbuka sana jamaa alikuwa na kabisa kabisa nadhani na kingereza chake halafu kuna jamaa mkalimani wakeHahahaa mkuu umenikumbusha enzi hizo nikiwa na Tv( nina miaka 6siangalii tv)
Kale kazee na vingereza vyake.
Za kutosha, jongea.Mzee kule Uzi wetu vipi umeshashusha mzigo nikacheki?
yaan wanamuamini hata baada ya kuvuja video akimkatia uno kondoo!!!Itasaidia watu wasitapeliwe zaidi , hasa Wanawake ambao kimaumbile huamnini haraka mazingaombwe kama yale ya Kawe
Eeh ana mkalimani wa kiume na wa KikeNakumbuka sana jamaa alikuwa na kabisa kabisa nadhani na kingereza chake halafu kuna jamaa mkalimani wake
TD Jakes ana skendo balaa. Kuna kashfa zake za ushoga wake na P Diddy
Mpaka sasa bado anapiga hizo mishe?Eeh ana mkalimani wa kiume na wa Kike
Sina hakika maana nina muda mrefu sana siangalii hao matapeliMpaka sasa bado anapiga hizo mishe?
Hivi mtu gani mweusi kaacha legacy imenyooka bila kuharibiwa hapo mbele?!
Kweli mapepo yamewatawala mpaka mnamnanga marehemu!
Utasubir sana sio muumini wa.Mwamposa lakini nakuhakikishia km wasemayo ni kweli watoe ripoti mwamposa akiwa hai
Mimi sio mlokole na infact nimuumini wa Logic zaidi kuliko believes ila T.B Joshua kwangu alikua mtu noble sana.Breaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!
Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters wameelezea matukio aliyofanya ambayo yanatarajiwa kupostiwa na BBC katika video
View attachment 2864719
Tizama kipande hiki cha BBC wakihoji watu waliokumbwa na unabii feki wa TB Joshua....
Hii inashangaza!!! [emoji33][emoji2196][emoji2196][emoji2196][emoji100]
[emoji342] Video Credit: BBC
View attachment 2864718
TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.
Kwanini walisubiri afe kwanza? Sisi tataamini vipi story ya upande mmoja?
Ivi yule mama mweupe anaetoa miujiza n mke wake?,mbona na yeye kama anafanya utapel ivi?TV yake inayoitwa Emmanuel TV bado hipo
Hao wote ni wajanja wasaka hela kwa wajingaSasa mtu kama mwamposa anaanza watu tunamuona
Kaunga unga leo huyo hapo
Mwamposa alianzia kikanisa chao walikuwa kinondoni mitaa nyuma ya chichi hotel,tena walikuwa 3
Wakazinguana yeye akatoka hapo
Akaenda Vatican sinza alipotoka hapo
Kawe
Ova
Gwajima yuko hai na anadai anafufua wafu. mbona wagalatia bado wanajaa kanisani kwake na kutoa fungu la 10 kwa huyo tapeli?Walikuwa wapi miaka yote jamaa akiwa hai...!!!
Zipo nyingi youtube kwa miaka sasa.Breaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!
Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters wameelezea matukio aliyofanya ambayo yanatarajiwa kupostiwa na BBC katika video
View attachment 2864719
Tizama kipande hiki cha BBC wakihoji watu waliokumbwa na unabii feki wa TB Joshua....
Hii inashangaza!!! π±π΄πΏββοΈπ΄πΏββοΈπ΄πΏββοΈπ¨
πΊ Video Credit: BBC
View attachment 2864718
TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.