BBC imepanga kutoa video inayoonesha Unabii Feki wa TB Joshua

BBC imepanga kutoa video inayoonesha Unabii Feki wa TB Joshua

Kwa hiyo hao Sahara ndio wasemaji wa BBC? Kwanini BBC wasiseme wenyewe kama wenyewe?
Hao sahara wameripoti kama nilivyoripoti mimi.... Lakini BBc wameshaachilia teaser ya video..... Au ujaiona hapo, au unakaza Fuvu
 
Hivi kweli mtu unapokea muujiza wa pesa kwenye MPESA na hujiulizi?
 
Ripoti inahuzunisha sana. Wamehojiwa wadada wazuri waliokuwa wanananiliu na nabii kwa kulazimishwa na wakipata mimba zinatolewa. Inadaiwa mwingine alitolewa mimba 5. Halafu ni kama walikuwa kizuizini wanajaribu kutoroka lakini wapi. Kwa upande wa miujiza fake hata hapa bongo ipo kwa baadhi ya watumishi ambao hawataki kumtafuta Bwana na nguvu zake.
 
Gwajima yuko hai na anadai anafufua wafu. mbona wagalatia bado wanajaa kanisani kwake na kutoa fungu la 10 kwa huyo tapeli?

Heri ya mwaka mpya mkongwe...

Upo sahihi, lakini habari kama hizi zingekuwa na mashiko zaidi endapo zingetolewa kipindi muhusika akiwa hai naye tusikie utetezi wake...

Pamoja na kwamba SCOAN imepoteza ule umaarufu wake, kuzitoa habari hizi kwa sasa tutakuwa na maelezo ya upande mmoja tu...
 
Dini Iliyo Safi isiyo na taka Mbele Za Mungu Baba Ni kwenda kusaidia yatima viwete katika dhiki Yao YAKOBO 1:27

KWA MAANA KRISTO ALIFANYIKA MSAADA IMETUPASA KUSAIDIANA SISI KWA SISI KATIKA DHIKI ZETU NA KUPENDANA.
 
Umeandika ushuzi wa hali ya juu dogo. Tuliza kijambio hiko. 😀😃😄😁😆😅
I'm pretty sure you're one of those scatterbrains who've been heavily indoctrinated with religious teachings from the so called prophet and here you're trying to defend his irrational beliefs and moral misdeeds. Shame on you. Jinga kabisa. Na ulivyo mjinga unadhani hapa JF wote ni watoto.
 
Breaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!

Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters wameelezea matukio aliyofanya ambayo yanatarajiwa kupostiwa na BBC katika video
View attachment 2864719

Tizama kipande hiki cha BBC wakihoji watu waliokumbwa na unabii feki wa TB Joshua....
Hii inashangaza!!! 😱🚴🏿‍♀️🚴🏿‍♀️🚴🏿‍♀️💨

📺 Video Credit: BBC
View attachment 2864718

TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.

Pia soma: UCHUNGUZI WA BBC: TB Joshua aliwanyanyasa na kuwabaka wafuasi wake
Hatuna budi kuwa wafuasi wa Yesu Kristo, si wanadamu na dini zao hata kama ni za kikristo. Kamwe tusiwe wafuasi wao hata kama wana majina makubwa mno ya kidini na miujiza mingi, kwa kuwa Mchungaji Mwema ni Yesu pekee. Yesu tu atosha, wengine futilia mbali kabisa!
 
BBC waache unafiki, abrakadabra ziko nyingi hata kwenye dini zenye watu wengi, mbona huko hawachokonoi? Akina Rushdie walithubutu kuchimbua ushetani ulioko kwenye dini fulani kubwa duniani wakaishia kutangaziwa kifo popote walipo na juzijuzi huyo mwandishi wa kitabu hicho nusura wapoteze maisha yake huko alikokimbilia tangu miaka mingi. BBC wanaona hakuna madhara watayopata toka kwa wafuasi wa TB Joshua na yeye hayupo duniani kuwajibu ndio wanajitia wazimu kuchokonoa imani hiyo. Hebu wajaribu kuchokonoa ile imani ya dini ile machachari kama wataacha kuona rangi zote. Kila dini ina abrakadabra zake na watu wanaamini
Mbona BBC wanachokonoa RC na ushoga kwa kuanika makasisi wao?
 
Mimi ninachojiuliza kwa nini wamesubiri kuitoa wakati ameshafariki
Walikamilisha lini uchunguzi wao?
Fuatilia kisa cha Jimmy Savile utanue ubongo wako.
 
Inategemea wamepata habari lini. Kuna vitu/siri nyingine hujulikana baada ya mtu kufariki. Mimi huyu hata kabla hajafariki nilishajua ni mwongo. Kuna siku aliponya mtu kasema am,etoka Tanzania huku anazungumza ikiingereza kila cha ki-nigeria
Sahihi, kuna visa vingi sana duniani kama vya Jimmy Savile
 
Kwa babu wa kikombe yumoo.

Kwa TB Joshua yumoo.

Jamaa alikuwa na akili ya kuchotwa kirahisi sana huyu.
Aliahidi kumjengea barabara mzee wa Upako ya kwenda kanisani kwake!
 
Breaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!

Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters wameelezea matukio aliyofanya ambayo yanatarajiwa kupostiwa na BBC katika video
View attachment 2864719

Tizama kipande hiki cha BBC wakihoji watu waliokumbwa na unabii feki wa TB Joshua....
Hii inashangaza!!! 😱🚴🏿‍♀️🚴🏿‍♀️🚴🏿‍♀️💨

📺 Video Credit: BBC
View attachment 2864718

TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.

Pia soma: UCHUNGUZI WA BBC: TB Joshua aliwanyanyasa na kuwabaka wafuasi wake
Inayoitwa dini ya Kikristo ni Utapeli.
 
T
Breaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!

Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters wameelezea matukio aliyofanya ambayo yanatarajiwa kupostiwa na BBC katika video
View attachment 2864719

Tizama kipande hiki cha BBC wakihoji watu waliokumbwa na unabii feki wa TB Joshua....
Hii inashangaza!!! 😱🚴🏿‍♀️🚴🏿‍♀️🚴🏿‍♀️💨

📺 Video Credit: BBC
View attachment 2864718

TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.

Pia soma: UCHUNGUZI WA BBC: TB Joshua aliwanyanyasa na kuwabaka wafuasi wake
Tuliza kichwa. Unajua lengo la kuanzishwa kwa BBC? Fuatilia kisha uje tena hapa utuambie kama wanachofanya ni tofauti na lengo lao.

Kimsingi Waafrika tuamke!! Tuache kubabaikia vyombo vya Propaganda za wazungu kwa Waafrika
 
Back
Top Bottom