BBC: Misinformation on corona virus has spread in Africa

Nilipoona hiyo “As they prepare for a surge in cases..” nikabaki nacheka tu, yaana wamekaa wanaminya makende wakisubiri kwa shauku kubwa kuona number of case ls zikionhezeka kwa kasi? Hahahahah...!!!!
Scentific predictions hizo. Ni kama vile ukiona mlevi anaendesha gari kwa speed ya 160 km/hr kutoka Posta kwenda Airport unaweza kupredict ajali bila kuminya makende.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia wamesema mvuke ukifika kwenye mwili unapoa na unakua ineffective kumuua Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiuma sema

Demeaning our culture helps no one

BBC propaganda is failing so is the mainstream media which was naturally designed to spread agenda za wakubwa

Watuache
 
Ikiuma sema

Demeaning our culture helps no one

BBC propaganda is failing so is the mainstream media which was naturally designed to spread agenda za wakubwa

Watuache
Unaweza kuitaja propaganda ya BBC hapo ni ipi?!

To keep records straight, Britanica wanaeleza propaganda kuwa:-
Propaganda, dissemination of information—facts, arguments, rumours, half-truths, or lies—to influence public opinion.
 
Mbona muanzisha mada haja-msaport na kumpigia makofi? Atoe comment na hapo!!
 
Tupe scientific explanation ya ni vipi Corona virus anakuwa treated kwa mvuke wa majani.

Tafadhali eleza na contents zilizomo na biochemistry ya kumdhuru huyo mdudu.

Usiache kutupa mifano hai ya waliopona Corona kwa tiba hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Mafua ni Bacteria au Virus, tuanzia hapa kwanza

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Magu kuna vitu vingine inabidi tumpuzie tu lakini na swali kwa BBC huko UK wamekufa wangapi?
Niliandika kama 3 weeks ago hili janga hamna mtu mwenye suluhisho kwasasa hadi dawa na chanjo zipatikane.
Wewe, Magu na BBC wote hamna majibu.
Idadi ya vifo UK vipo kwenye site ya WHO, acha uvivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama sio Corona imekuingia kichwani basi minyoo inakuchoma tumboni,

Hapo ulipo hujawahi hata kumshuhudia mgonjwa wa Corona virus anakuaje,

You sound pathetic and fool.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Kwani Mafua ni Bacteria au Virus, tuanzia hapa kwanza

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Hujajibu swali nililokuuliza, unarukia maswali ya wengine!!! Jibu kwanza nililokuuliza, kisha ndo tuje kwenye hilo swali lako!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…