Scentific predictions hizo. Ni kama vile ukiona mlevi anaendesha gari kwa speed ya 160 km/hr kutoka Posta kwenda Airport unaweza kupredict ajali bila kuminya makende.Nilipoona hiyo “As they prepare for a surge in cases..” nikabaki nacheka tu, yaana wamekaa wanaminya makende wakisubiri kwa shauku kubwa kuona number of case ls zikionhezeka kwa kasi? Hahahahah...!!!!
Jamani hiyo sio ile steam ya 100 degrees Celsius. Ni stem kama ile ya kahawa ya moto unayokunywa. Kweli hiyo itachoma pia yako? Hizo ni exaggerationsTumsikilize nani rais wetu au BBC?
Pia wamesema mvuke ukifika kwenye mwili unapoa na unakua ineffective kumuua CoronaKujifukiza mvuke mwilini na kuvuta mvuke wa moto kwenye mapafu we unaona ni vitu vinavyofanana? Mkipewa maneno machafu mtakasirika, maana hao wazungu wameyapotosha hayo maneno out of context kwa makusudi kabisa ili kumfanya Rais wetu aonekana mjinga mbele ya jamii ya kimataifa (wanam-ridicule) maliciously, na wewe unaingia kichwa kichwa tu bila kusima netween the lines, akili zenu huwa mnazificha wapi kabla ya kuja jukwaani?
Inatibu mafua gani, haya yanayopona yenyewe baada ya siku 2Kama hujui kuwa inatibu mafua basi baki na ujinga wako
Minamaanisha pua.Jamani hiyo sio ile steam ya 100 degrees Celsius. Ni stem kama ile ya kahawa ya moto unayokunywa. Kweli hiyo itachoma pia yako? Hizo ni exaggerations
Mimi ninavaa ya kushona.Ninatanguliza kipande cha napkin paper hapo ndanSi wameshajua zinaletwa Afrika, basi hata makohozi ya Corona watatemea hao, kila mtu ashoneshe barakoa yake tu sasa
Basis tumia advice ya Rais Trump ya kuji-inject sanitizer. I'm sure it's far better than inhalation of herb's steamThe issue here is inhalation of a hot steam whether is steam of water or herbs but is called a steam.
Ikiuma semaWalichoandika, wao ni primary source au wametumia reference?! It stopped to be absurd, and something to ignore a moment Rais kutoka nchi ambayo watu wake wengi wana uelewa mdogo, alipoongea hadharani almost kitu kile kile kwamba baadhi ya barakoa zina coronavirus!! Btw, hivi unapuuza vipi post iliyokuwa shared karibu mara 40K?
Hiyo ya kuwa ni African issue/misconception umeisema wewe, walichosema wao ni:-Mnashangaza sana mnaposhabikia kauli kama hizo, na hamtaki kuona watu wanaweka kumbukumbu sawa Hiyo miaka yote mlikuwa mnajifukisha ili kutibu au kuua coronavirus kama alivyodanganya Magufuli kwamba kujifukisha kunaua virus?!
Maajabu haya... yaani hutaki watu kuweka rekodi sahihi eti kisa na "kwao" yamewashinda?!
Jambo kutokuwa geni haina maana ni salama, mfano kuvuta sigara si jambo geniTatizo la kuleta siasa kwenye kila jambo?
Kujifukiza dawa za asili ni jambo geni?
Vipi kuhusu sauna bath?
Akili zenu mmehamishia kwenye ushabiki Wa ccm na chadema hata mnatia kinyaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuitaja propaganda ya BBC hapo ni ipi?!Ikiuma sema
Demeaning our culture helps no one
BBC propaganda is failing so is the mainstream media which was naturally designed to spread agenda za wakubwa
Watuache
Propaganda, dissemination of information—facts, arguments, rumours, half-truths, or lies—to influence public opinion.
Ingekuwa kujifukiza kunaua basi wengi wetu tungeshakufa tangu utoto.
Mwenye akili pekee atanielewa.
Mbona muanzisha mada haja-msaport na kumpigia makofi? Atoe comment na hapo!!Trump yeye kasema ifanyike research kuona kama kumuinject mtu (kuchoma sindano) yenye disinfectant (dettol, sanitizer) kunaweza kusaidia kutibu corona😜😎. Huyu hakawii kushauri tunywe 100ml of dettol 2x3 kwa siku 7
Yaleyale ya kujifukiza ili kuua virus aliyekimbilia ndani ya cells
Tupe scientific explanation ya ni vipi Corona virus anakuwa treated kwa mvuke wa majani.Kwanza nitoe kwenye huo upumbavu wako wa Misukule ya Lumumba sijui uchafu gani, mimi sipo kwenye siasa yoyote, ila alichoshauri Rais ni sahihi sababu binafsi ni muumini wa mvuke so najua tiba ya mvuke,
Kuhusu stay home naona inakufikirisha sana, hii ni argument sasa? Kama huna la ulazima huko nje unaenda kufanya nini? Kaa ndani kwako ucheke na familia yako,
BTW, nipo kwenye lockdown mwezi sasa, na hii stay home ndio tunasisitiziana kuzuia maambukizi,
Sasa punguza jazba ukajua kila mtu yupo kwenye mtazamo wa kisiasa.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Maelezo yamekuwa "aired" through BBC, aliyeongea ni mtaalamu.
Understand: Water vapour, not herb's water vapour!!A pure fact, I wonder why a Phd holder of science can't understand this.!!!!
Ndugu Acha kumtukuza mganga wa kienyeji kama MUNGU hizo sifa ulizompa yafaa Sana kama utampa MUUMBA kumbuka huyo jamaa yako ni mwanadamu na anakoseaMganga wa kienyeji ndiye aliyemtunza mama na Baba yako akawa na akil kuliko wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Mafua ni Bacteria au Virus, tuanzia hapa kwanzaTOO LOW... eti hatred! Yaani nina chuki kisa nimegoma kutetea na kushabikia ujinga?!
Again, hiyo toka zamani mliyokuwa mnajifukisha mvuke, mlikuwa mnafanya hivyo ili kuua coronavirus?!
Swali lipo straightforward... unaruka ruka nini badala ya kujibu?!
Idadi ya vifo UK vipo kwenye site ya WHO, acha uvivu.Magu kuna vitu vingine inabidi tumpuzie tu lakini na swali kwa BBC huko UK wamekufa wangapi?
Niliandika kama 3 weeks ago hili janga hamna mtu mwenye suluhisho kwasasa hadi dawa na chanjo zipatikane.
Wewe, Magu na BBC wote hamna majibu.
Kama sio Corona imekuingia kichwani basi minyoo inakuchoma tumboni,Jibu swali boya wewe!!! Eti nimeacha mada!! Nimeacha mada au umeshindwa kutetea ujinga ulioandika?! NI nani aliyeandika hii post hapa chini:-
How come useme nimeacha mada wakati hapo umeandika mwenyewe, na nilichokuuliza kinahusiana na ulichoandika!! Kama hadi hapo hujajua kwamba wewe ndo mjinga basi utakuwa mpumbavu!
Hujajibu swali nililokuuliza, unarukia maswali ya wengine!!! Jibu kwanza nililokuuliza, kisha ndo tuje kwenye hilo swali lako!!!Kwani Mafua ni Bacteria au Virus, tuanzia hapa kwanza
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.