Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Kamuulize hayo mwalimu wako,Tupe scientific explanation ya ni vipi Corona virus anakuwa treated kwa mvuke wa majani.
Tafadhali eleza na contents zilizomo na biochemistry ya kumdhuru huyo mdudu.
Usiache kutupa mifano hai ya waliopona Corona kwa tiba hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamuulize hayo mwalimu wako,Hujajibu swali nililokuuliza, unarukia maswali ya wengine!!! Jibu kwanza nililokuuliza, kisha ndo tuje kwenye hilo swali lako!!!
Unakasirika haraka sana, that's not JF-likeYaan hata sielewi unachokiongea nini, umeacha mada unaanza kuropoka kama umekunywa maji ya chooni,
Nakupuuza sina muda wa kuargue na waathirika wa ujinga.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Naona unaanza matusi badala ya kujibu... acha kujifanya unaweza shari kima wewe!!Kama sio Corona imekuingia kichwani basi minyoo inakuchoma tumboni,
Hapo ulipo hujawahi hata kumshuhudia mgonjwa wa Corona virus anakuaje,
You sound pathetic and fool.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Huna jibu, ndo maana umeamua kukimbilia matusi!!!Kamuulize hayo mwalimu wako,
Sie tunajifukiza yetu yanatuendea nyie endeleeni kubweka kwenye mitandao kama mbwa koko tu.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Nimegundua huwezi mijadala, kichwa kinapata moto haraka sana.Kamuulize hayo mwalimu wako,
Sie tunajifukiza yetu yanatuendea nyie endeleeni kubweka kwenye mitandao kama mbwa koko tu.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Hana ubavu wa kukujibu huyo... nimemuuliza swali la kawaida sana, tena kwa hoja aliyoanzisha mwenyewe! Badala ya kujibu, anakimbilia matusi; kujifanya kapinda!!Tupe scientific explanation ya ni vipi Corona virus anakuwa treated kwa mvuke wa majani.
Tafadhali eleza na contents zilizomo na biochemistry ya kumdhuru huyo mdudu.
Usiache kutupa mifano hai ya waliopona Corona kwa tiba hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Don't waste my time.... Genre are enough literature out there na nyingine ziko Google kuhusu western media role kwenye propaganda na advancement ya agenda zaoUnaweza kuitaja propaganda ya BBC hapo ni ipi?!
To keep records straight, Britanica wanaeleza propaganda kuwa:-
Hili sio jibuKamuulize hayo mwalimu wako,
Sie tunajifukiza yetu yanatuendea nyie endeleeni kubweka kwenye mitandao kama mbwa koko tu.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Wasingefanya chochote wangepukutika mamilioni wacha siasa.Kama wao wanajua mbona wamepukutika vyakutosha na wanaendelea pukutika wacha tufanye tunavyojua
kilicho akilini kitumie
Huyo maza inabidi apigwe mtungo hiyo kazi tunampa Nguseroh/aka John stephano na wauni wenzie wachache....Kuna wazungu Fulani na waimba mapambio walikuwa wanasema wiki mbili zijazo hali itatisha
Leo ni ijumaa lakini tunadunda tu kama kawaida wiki ya pili inaisha wagonjwa hata 1000 hawajafika
.
Kuna Mrs Billgate yeye aliongea kuwa tutakuwa tunaokota maiti mitaani lakini wiki ya pili inaisha hali iko kawaida.
Hao Bbc washenzi tu maana hawana jipya zaidi ya kutaka Waafrika tufe kama takataka tuokotwe na walivyo na akili finyu walifikiri tutaendelea kuwaza upuuzi wao. Sasa Afrika hii siyo ile.
Wanajitaidi kutupumbuza tuzarau vyetu ili watuuzie dawa na waje kwenye chanjo. Looh baridi kali ulaya hiyooo watakufa kama kuku wakideli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weeee sijakutukana mimi, wewe kaka mbona kama umechizika? Ndio upo hivi siku zote au hii mada imekushika kalio, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hana ubavu wa kukujibu huyo... nimemuuliza swali la kawaida sana, tena kwa hoja aliyoanzisha mwenyewe! Badala ya kujibu, anakimbilia matusi; kujifanya kapinda!!
Tatizo ni kwamba baadhi yetu tunaamini Kwamba their approach is hold standard... Which is notWasingefanya chochote wangepukutika mamilioni wacha siasa.
Look at him... sawa na wapiga makofi wengine, mkiulizwa swali kwa hoja mlizoleta wenyewe mnashindwa kujibu na badala yake mnakimbilia shombo na matusi!!Don't waste my time.... Genre are enough literature out there na nyingine ziko Google kuhusu western media role kwenye propaganda na advancement ya agenda zao
If you are smart unaweza pia kusoma story za vaccines na many studies
We too many journals now and some hauhitaji kulipia
Sina muda WA kubishana na puppets
Of course, ku-argue na mtu hopeless kama wewe ni kujidhalilisha, so consider you're finally being ignored for good!Weeee sijakutukana mimi, wewe kaka mbona kama umechizika? Ndio upo hivi siku zote au hii mada imekushika kalio, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tangu jana nakwambia tuliza munkari ukiwa kwenye mijadala maana unajidhalilisha tu.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Najua, I was being sarcastic.
Mkuu narudia tena, wasingefanya lolote kama sisi, wangekufa kwa malaki na mamilioni.Tatizo ni kwamba baadhi yetu tunaamini Kwamba their approach is hold standard... Which is not
Covid has caught everyone by a surprise, ndio maana kila siku runapokea miongozo mipya ya kupambana nayo
Ukiappeoach Covid kiugonjwa-ugonjwa itakua jamii na kudumaza nchi
As we debate here, hakuna single model ya vita shidi ya Covid which has prove to be the best solution.... Context plays a big role