BBC waendeleza ubeberu: Eti Tanzania nchi ya 23 kijeshi Afrika, Uganda ya 14 na Kenya ya 12

BBC waendeleza ubeberu: Eti Tanzania nchi ya 23 kijeshi Afrika, Uganda ya 14 na Kenya ya 12

Trust me! Hakuna taifa lolote ulimwenguni linaweza kuanika silaha zake zote za kivita hadharani. Mambo mengi ya kijeshi karibia kila taifa ufanywa kuwa siri

La pili ni kuwa Umeongelea jambo la Ethiopia na Tigray sio? sasa jambo ambalo ni hidden ni kuwa vita hii iko kisiasa sana kama sio hivo Ethiopia kukomboa lile jimbo ni suala la sekunde tu.
lakin wakuu ikumbukwe kuwa hata izo siraha huwa tunaagiza kwao na huwenda wanakuwa list ya zinazo ingia na latest
 
Hii ni kauli ya kibiashara
Ukinunua silaha kwao unakuwa promoted
 
Kama vipi Tanzania ipigane vita ya kirafiki na Congo tuone nan atashindA
 
Tz bado sema wengi wenu umu ndani mnabisha kimihemko
 
JWTZ huwa mnawabeba tuu ila ni jeshi bovu kinoma wala hawajaonewa kwa hiyo tathmini.
 
Ukitaka kujua Tanzania ni ya ngapi kamuulize Idi Amin na Kaburu among others. Kenya ni koloni la Uingereza. Maybe, wanataka kutumia namba yao kuwapa makoloni yao. Kesho utaambiwa hata Rwanda inatuzidi wakati wao na Uganda tumeatengeza
Speaking of the past. But miaka imeenda na majirani zetu wame invest sana sana kuendeleza majeshi yao. Lazima watuzid kama sisi hatukuwekeza. hatuishi enzi za uhuru tena.
War has changed.
 
bora wangeweka hata rwanda maana tumeiona kwa macho kazi yao sehemu mbalimbali hapa afrika wakaziondoa drc na kenya hapo hamna majeshi kuna vikundi vya wala rushwa tu
 
Believe me, tunajifariji tunapojisifiaga kuwa jeshi letu ni miongoni mwa majeshi yenye nguvu Afrika. Jeshi letu lacks professionalism, liko kisiasa sana. Basi tu watu wengi hawajui kuhusu madudu ya hili jeshi.

Nyerere alishawahi sema kuwa jeshi letu ni the most politicized institution in Tanzania, tena walilifanya liwe hivyo kwa makusudi kabisa. Mpaka leo liko hivyo, halijabadilika.

We have a weak army. Anaebisha basi haijui vizuri JWTZ.
Umemaliza mkuu...halina ubishi hilo tinalijua
 
Believe me, tunajifariji tunapojisifiaga kuwa jeshi letu ni miongoni mwa majeshi yenye nguvu Afrika. Jeshi letu lacks professionalism, liko kisiasa sana. Basi tu watu wengi hawajui kuhusu madudu ya hili jeshi.

Nyerere alishawahi sema kuwa jeshi letu ni the most politicized institution in Tanzania, tena walilifanya liwe hivyo kwa makusudi kabisa. Mpaka leo liko hivyo, halijabadilika.

We have a weak army. Anaebisha basi haijui vizuri JWTZ.
Mwanajeshi haruhusiwi kuwa mwanachama wa Chama chochote Tanzania.elezea namna gani jeshi letu linavyoendeshwa kisiasa
 
Napinga tanzania haiwezi kushika namba nzuri hivyo huwa tunashika mkia kwenye mambo mengi
 
Sema hoja uliyotumia kuwapinga ndio imenishangaza na mimi

Kwamba nchi ikiwa haipigani vita inaonekana ina jeshi imara sio? sidhani kama ni kweli

Uimara wa jeshi wanazingitia ubora wa mafunzo ya wanajeshi, vifaa(dhana) za kivita za nchi husika, budget kwenye jeshi la nchi husika n.k
Nakuunga mkono and probably jeshi letu lisingeweza kupitia madhila wanayopitia nchi ingine.

Jeshi letu kwa namba waliopo wanastahili.
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
hapo hapo hamna nchi inayotupita kwa nguvu za kijeshi, uharo kenya hahahahaha wanaotukaribia ni Egypt, south africa
 
Hawakutoa. Wameanza USA, China, Russia, France 9. Uturuki na n 10 ujerumani.

Wakaja Africa wakataja weeeeeee mpaka 10 wakarukia Kenya, Uganda na Tanzania. Bila kutaja mataifa mengine.
uchina haiwezi kuipita urusi kwa nguvu za kijeshi
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Ni ya kwanza duniani. Umefurahi sasa?
 
We ukiona yale ma MIG ya kizamani yaliyopo Mwanza unadhani tuna jeshi bora? No. Majirani zetu wamewekeza sana kwenye defence za uhakika na wanashiriki kwenye mazoezi yanayowaweka uptodate. Kwetu I am not sure kama kuna vit u kama hivyo
 
Back
Top Bottom