Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
Ndugu akiumwa hoi, anategemea kusaidiwa kwa mikono yake au kwa ile ya nduguze?? We, humans, are interdependent. Our survival is interwoven.hawakumbuki maneno ya wahenga, "mtegemea cha nduguye hufa maskini"
Ninae dada yangu ndio mkubwa kwetu. Anamsaidia sana mama tena bila kukumbushwa au kulazimishwa. Kiufupi ana msaada hata kwa sisi wadogo zake..sio mchoyo. Hata kama anacho kidogo atakugaia hicho hicho. Aishi maisha marefu dada yangu.
TekuGraduation ya chuo gani?
Bila kumsikia Martha mwenyewe haya ni majungu Tu.
Halafu niwaambie kama huna msimamo ndugu wanakupanda kichwani ,unaweza kuta nusu ya pesa zako zinaishia Kwa ndugu ,na ndugu shida haziishi.
Halafu hawa wazazi baadhi huwa hawaridhiki yaani kwakuwa alikuzaa na Una kipato basi anahisi kila kitu chako ni chake.
Nashukuru wazazi wangu wote wawili siyo ving'ang'anizi yaani , kwanza hata kama wanashida huwa wanaomba Kwa aibu mno.ni Mimi tu nitambue mahitaji Yao.
Lakini kuna familia ukiwa nacho watataka uwalipe Mshahara,tena kama mama hajielewi ndiyo Kwanza atakusagia kunguni
Hilo lipo wazi ni pesa za masharti hizo, Upendo lazima uanzie nyumbani kwanza ndio usambae sehemu nyingine. Siri sasa zinaanza kufichuka.Mambo yako wazi, hakuna asiyetaka kumsaidia mzazi, ukiona hivyo ujue "pesa ya masharti "
Hizo sadaka unazosema ni za kishirikina, uwape magari na kuwafungulia biashara watu baki wakati nyumbani kwako kunafuka moshi, ukiumwa na kuzidiwa ndugu zako ndio wa kwanza kukuhudumia na kukufulia chupi. Mama yako hata baiskeli hana.Huyo -Beatrice Kama anatoa nyimbo anapata Views mil 7 je yeye binafsi hawezi kumuhudumia mama yake ?
Na kuhusu Martha kununulia watu Magari na kuwafungulia biashara je haifai?
Katika sadaka zinazoleta nguvu huwa ni zile unawapa watu kitu kikubwa ambao hawana uhusiano na wewe wowote .
Hivyo Martha katika utohaji yupo sahihi.
Ni vizuri huyo ndugu yake angeangalia anakwama wapi na ajaribu kujiwekeza kimkakati ili afanikiwe.
Huyo -Beatrice Kama anatoa nyimbo anapata Views mil 7 je yeye binafsi hawezi kumuhudumia mama yake ?
Na kuhusu Martha kununulia watu Magari na kuwafungulia biashara je haifai?
Katika sadaka zinazoleta nguvu huwa ni zile unawapa watu kitu kikubwa ambao hawana uhusiano na wewe wowote .
Hivyo Martha katika utohaji yupo sahihi.
Ni vizuri huyo ndugu yake angeangalia anakwama wapi na ajaribu kujiwekeza kimkakati ili afanikiwe.
Hizo sadaka unazosema ni za kishirikina, uwape magari na kuwafungulia biashara watu baki wakati nyumbani kwako kunafuka moshi, ukiumwa na kuzidiwa ndugu zako ndio wa kwanza kukuhudumia na kukufulia chupi. Mama yako hata baiskeli hana.
Fungua akiri wewe, huo ndio utajiri ambao unayeyukaga gafla tu pindi ukikosea masharti.
Watu wakitaka kukupa lawama watakuzushia kuwa una pesa nyingi 😅 sasa sijui wanapimajeHata mm ndugu zangu wanajua Nina pesa ila kiuhalisia ni kapuku tu🤣🤣
Kausafir kanawadanganya
Dah watu mna maneno 🤣 mbona mpevuVipi, ana ndoa au ni gumegume tu, single mother mpevu?
Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake
Tazama Video hizi kwa utulivu
Kama Martha kagoma kumsaidia mama pambana dada ww ndo umsaidie mama sio lazimaa yeyeMdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake
Tazama Video hizi kwa utulivu
View attachment 3178592
View attachment 3178593