Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

Mbona watanzania hawajawahi kukataa chochote wanacholetewa , kwanini msiwaambie ukweli tu kwamba mabehewa yatakayokuja ni ya kawaida badala ya kuwapiga fix ?
Hapana.

Kama "mabehewa yanayokuja" muonekano wake ni sawa na hiyo picha iliyowekwa hapo, (picha #2), hayo yatakuwa siyo "mabehewa ya kawaida" hata kidogo!
Hata yale ya 'mete gauge' mbona yatakuwa ni bora zaidi kwa mwonekano wake kuliko haya!

Bado siamini kwamba hiyo picha ndiyo mabehewa yatakayotumika kwenye SGR.
 
mmepigwaaa!! hayo mlioletewa ya mwaka 47..wameya renovate kwa rangi na viti. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake...hamsikiii.
 
Hiyo oda ilishatolewa na mwendazake muda mrefu tu. Usimsingizie Samia
 
Machadema yalaaniwe kwakweli hawa ndio wanasababisha tunaletewa mabehewa ya kwenye sinema za kihindi

Una tatizo kwenye ubongo wako. Unakaribia kuwa mwehu. Naona nchi imewashinda mmeamua kuwageukia CHADEMA. Bajeti ya kwenu, pesa mnazo nyie mnunue mabehewa mabovu wenyewe halafu lawama kwa CHADEMA. Kweli Tanzania vichaa wengi.
 
Machadema yalaaniwe kwakweli hawa ndio wanasababisha tunaletewa mabehewa ya kwenye sinema za kihindi

Ulaniiwe mwenyewe Mwehu usiye na haya. CHADEMA wangefanya Nini?. Unamlaumu CHADEMA aliyepo nje, halafu unawasifu CCM wwalionunua mabehewa mabovu. Kwa Hali hii Tanzania tutapiga mark time.
 

Hayo mabehewa hayatapata wateja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…