Wapi nimetaja Chadema Bwashee!
Nachokiona kama usimamizi wa mali za serikali ni wakusuasua tutarajie majanga makubwa katika miradi yote inayoendelea pamoja na yote siamini kama mabehewa haya yaliyoletwa yana ubora kiasi gani kwa ajiri ya matumizi ya SGR.
Serikali tangu asubuhi mzigo unatolewa kwenye meli na watu miluzi imekuwa mingi hata kauli ya serikali hamna[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2425101
halafu kutoka chuga yakapakiwa kwenye meli kuja Dar au sio!Watu wamepiga cha juu wakaenda hapo arusha wakatengeneza mabehewa ya kontena za maersk.
Wewe unafahamu yamefikaje hapo bandarini? Uliona meli ikiyashusha?halafu kutoka chuga yakapakiwa kwenye meli kuja Dar au sio!
Umenifurahisha sana.Watu wamepiga cha juu wakaenda hapo arusha wakatengeneza mabehewa ya kontena za maersk.
Yah tena ile mijusi inayopiga push-upHayo ni ya majribio yanakuja yenyewe yako kama mjusi
ilo skilepa hapanaMwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2424970View attachment 2424971
kumbe ni mabehewa ya mifugo😂😂kweli kabisa lakini siyo safari kwa kutumia mabehewa ya mifugo yaliyoboreshwa kama hili