Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

Kila kitu mnakozoa na tena pengine ni picha tu mmeona na ss tulioko kwenye tukio kbsa acheni ujinga
 
Hujui unalozungumzia mkuu.
SGR ya Kenya kupata hasara si kwa sababu abiria hawasafiri kwa hiyo SGR.

Sasa hapa unajipa ujuaji usiokuwa na kichwa wala miguu!
 
Mwanzo tuliahidiwa hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]Picha namba 1
Tumeletewa haya mabox Picha namba 2
Ni huzuni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

View attachment 2424970View attachment 2424971
Sasa,
Yaani kwa mfano naenda Dodoma niache kupanda BM bus nikapande hili banda la nguruwe lililoboreshwa?
Ulaya waneamua kutuzawadia zile behewa zilizowabeba wayahudi kwenye ile picha ya sobibo kama uliwahi kuiangalia utayakumbuka haya mabehewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…