Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Kwakifupi, kwa huyu Rais tuliyenaye, Watanzania wote tumeingizwa cha kike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cartel ndo wanufaikaji wakubwaHakuna mkulima anafaidika na hizi bei hakuna! Kwanza hawana mazao sasa hivi.
Sisi tulioko huku field tunajua.
Nataka nikwambie Sali kwa dini yako hujuwi kinacho tokea.Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.
Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
SawaKalime na wewe! Kama huwezi kulima endelea kununua kwa bei juu!
Wewe nabii Koko unajuwa nini? Mimi niko Mbeya na kazi yangu ni kilimo!! Acha kutisha watu ili kupata umaarufu wa mtandao.Nataka nikwambie Sali kwa dini yako hujuwi kinacho tokea.
Sawa Chawa umeshindaWewe nabii Koko unajuwa nini? Mimi niko Mbeya na kazi yangu ni kilimo!! Acha kutisha watu ili kupata umaarufu wa mtandao.
Mvua zinanyesha na mazao yataota kama kawa kwa mikoa yote ya wakulima. Mwezi wa 4 hapa bei zitateremka. Hapa hafi mtu labda ufe wewe TumainiEl kwa uvivu wako
Sawa Chawa endelea kuupiga mwimbiAcha roho ya korosho ni wakati wa sisi wakulima kunufaika na ongezeko la bei kwa bidhaa za mazao. Hakuna kukopwa kama huko nyuma malipo ni taslimu.