Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Kalime na wewe! Kama huwezi kulima endelea kununua kwa bei juu!
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Nataka nikwambie Sali kwa dini yako hujuwi kinacho tokea.
 
Nataka nikwambie Sali kwa dini yako hujuwi kinacho tokea.
Wewe nabii Koko unajuwa nini? Mimi niko Mbeya na kazi yangu ni kilimo!! Acha kutisha watu ili kupata umaarufu wa mtandao.

Mvua zinanyesha na mazao yataota kama kawa kwa mikoa yote ya wakulima. Mwezi wa 4 hapa bei zitateremka. Hapa hafi mtu labda ufe wewe TumainiEl kwa uvivu wako
 
Wewe nabii Koko unajuwa nini? Mimi niko Mbeya na kazi yangu ni kilimo!! Acha kutisha watu ili kupata umaarufu wa mtandao.

Mvua zinanyesha na mazao yataota kama kawa kwa mikoa yote ya wakulima. Mwezi wa 4 hapa bei zitateremka. Hapa hafi mtu labda ufe wewe TumainiEl kwa uvivu wako
Sawa Chawa umeshinda
 
Acha roho ya korosho ni wakati wa sisi wakulima kunufaika na ongezeko la bei kwa bidhaa za mazao. Hakuna kukopwa kama huko nyuma malipo ni taslimu.
Sawa Chawa endelea kuupiga mwimbi
 
Back
Top Bottom