Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Watu waliojawa na upumbavu wanalalamika sasa hivi, bei ya chakula kupanda.

Lakini wakati bei ya mbolea na pembejeo za kilimo zikipanda, walikuwa kimyaaa.

Sasa hivi wanataka kuleta welevu.
 
Mikono Yako ni LAINI ndugu Lucas.

Hayupo MKULIMA mwenye stock ya mazao ya mwaka Jana...
Hivi wewe jamaa unatuchukuliaje hasa wakulima? Kwamba hatuna hata akili ya kutunza mbegu? Magodauni ya mashine yanayotunzia wakulima mpunga bure Kwa shariti la kukobolea hapo hata baada ya miaka 2 hatuyajui eeh?

Wakulima wenye akili mbovu unayoisema hapa katika Mia unaweza kuwapata wawili tu. So Kwa Vile unatuhurumia Sana watz tunaomba wewe uwe dalali uwe unafata mazao huko unakuja kutuuzia elfmoja moja.
 
Jinga sana wewe , hivi kwa akili zako hizo unafikiri wanaouza hayo mahindi kwa bei ya juu ni wakulima?
Ni wafanyabiashara wakubwa na wa kati ndo wanaouza hayo mahindi na mchele kwa bei ya juu...
So kipindi wafanyabiashara wanakusanya mazao Kwa wakulima Kwa bei ya chini je serikali ilikuwa inazuia mtu mmoja mmoja kujikusanyia mazao? Au hao wakulima walipigwa stop na serikali kuweka stock?
 
Kuna kada wa ccm HUKO Kilimanjaro!kama sikosei Lubinga analalamikia Tozo zinaleta uadui Kati ya WANANCHI na Serikali!!

Nadhani hii ndio demokrasia NDANI ya CHAMA chetu ccm!

Tuendelee kukosoa pale penye kasoro!Ili chama na serikali viwatumikie WANANCHI!
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Aisee hii ndiyo Tanzania ya wajinga
 
Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.

Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.

Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.

Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?

Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?

Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.

Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
Unazungumzia bei ya unga, mbona huongelei bei ya diesel na petrol? Mbona huongelei bei ya mbolea au mbegu ? Yenyewe imeshuka? Tusiishi kwa kukaririr, tuishi kwa kufuata uhalisia.

Serikali ihakikishe haizuii mauzo ya mazao nje ya nchi. Wakulima wawe huru kuuza popote. Faida katika sekta ya kilimo itachochea uzalishaji zaidi na maendeleo zaidi.

Wakati wa Mwalimu, baada ya Azimio la Iringa la siasa ni kilimo, kila mfanyakazi alitakiwa kuwa na angalao ekari ya shamba. Wafanyakazi wa sasa, baadhi wamekifanya kilimo kama kazi ya laana. Mnaokifanya kilimo kazi ya laana tulieni, mwisho wa mwaka bei kwa kilo 1 itakuwa sh 6,000 tu. Wewe ukiona bei ni kubwa unaacha, watanunua Wakenya au Wacomoro. Nunua michembe, siyo lazima ule wali.
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Shuleni mnaendaga kusome upumbavu nimeamini
 
Hizo bei hazisaidii mkulima maana akishauza nakutoa ghalama za uzalishaji mpaka nauli ya kufika sokoni anarudi bilabila.
Kusanya taarifa zako vizuri, tokea nmeanza kulima sijawah kukanyaga sokoni, bidhaa inafuatwa shamban mzee
 
Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.

Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.

Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.

Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?

Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?

Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.

Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
Huku kwetu IGUNDAKAMANI debe la mahindi ni alf62namia7stini.

Sjui tunaelekea wap,
 
Wewe unadhani kupanda bei ndio tija,
Tija ni kwa mtu kufanya uzalishaji na apate faida kulingana na uzalishaji wake.
Huko ulaya ikipanda Senti kumi au hasini watu wanaondoa viongozi wao madarakani nyie mnajisifia eti ni bei za mda mlefu.
Hata mkipandisha bado mnashindwa kuhimili maisha
Sasa hapo faida iko wapi kwa huyo mkulima?
Ni wakulima wangapi wamepandisha bei na wamenufaika na hizo bei?
Wacha ngonjera enda ukalime, mvua zinanyesha sasa
 
Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.

Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.

Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.

Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?

Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?

Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.

Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
Kwani unatumia chakula gani mkuu?Twende polepole ili upate nasaha.
 
Kila shetani na mbuyu wake acheni washangilie akitoka najua watakosoa na kumpamba ajae
 
Back
Top Bottom