Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lumumba Kuna shamba hapo?Wakulima tupo bega kwa bega na mama yetu mpendwa mama Samia kwa kutufuta machozi na kutulipa jasho letu,tutamlipa kwa kumpigia kura kwa kishindooo
😆😆😆
Nipo zangu shamba tunafurahia juhudi za mama yetu Samia kutukwamua kiuchumi wakulimaLumumba Kuna shamba hapo?
Utapeli na udalali ndo KAZI yenu kuu!!
Hakuna MKULIMA awe na mikono LAINI kama Yako.Nipo zangu shamba tunafurahia juhudi za mama yetu Samia kutukwamua kiuchumi wakulima
Umewahi Iona wapi mikono yangu, hujuwi kuwa mikono yangu imekauka Kama mbao kwa sababu ya jembe, anayeona Bei za vyakula zipo juu aende shambani Naye akalimeHakuna MKULIMA awe na mikono LAINI kama Yako.
Mikono Yako ni LAINI ndugu Lucas.Umewahi Iona wapi mikono yangu, hujuwi kuwa mikono yangu imekauka Kama mbao kwa sababu ya jembe, anayeona Bei za vyakula zipo juu aende shambani Naye akalime
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aliuza mchele elfu 1200 kilo sasa leo anaenda kununua kwa 3500...! Aisee kenya watuuzie mahindi tuliowauzia bhasii maana nchi imejaa viongozi vilazaa wanaoona ya leoo tuu. Unaruhusu biashara huru kwa wakulima wapate faida ndogo kesho nchi inaingia kwenye njaa unasema una akilii kweli kama sio tahiraaa.Wakulima halisi hivi sasa wanarudi kununua chakula Kwa madalali waliowauzia Kwa Bei ya kutupa[emoji34][emoji34]
Mbona kina vick wanakuwaga na akili..??Ulitaka ununue unga kilo moja 1000 siku zote? Unajua heka heka za kukimbiza ngedere shamban wew? Bei ya mbolea unaijua?
Ndio maana tukasema kila mtu ashinde mechi zake. ! Hakuna kupangiana wapi niuze mazao yangu !!Hizo bei hazisaidii mkulima maana akishauza nakutoa ghalama za uzalishaji mpaka nauli ya kufika sokoni anarudi bilabila.
Unajuaje kama sijalima Mimi sio wewe.Nenda ukalime, kazi kushinda JF kulalamika tu
Kwaiyo nikipata pesa ndo bei zitashuka acha umama .Acha ujinga, wewe endelea kulia lia kama mtoto wa kike badala ya kutafuta pesa uone kama bei zatashuka
Kama mkuu wa mkoa yuko na v8 ya mil 500 unategemea nini. Acha waendelee kusifu na kuabudu.Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.
Boss tunaomba wewe uwe unafata mazao huko Kwa wakulima halafu uwe unatuuzia elfmoja moja mbona rahisi Sana, tatizo si ni madalali kumbe.Anaeuza Michele 4000 sokoni ni MKULIMA?
Dalali aliyeleta Michele Dar na MKULIMA ni mtu mmoja?
Madalali wa CCM wanafanya KAZI Yao ya kutumia JEMBE kuchimbia mashimo na NYUNDO kuwamaliza wananchi.
Unajua nini kila kitu kuanzia pembejeo,mbegu na uandaaji wa mashamba imekuwa ghali Sana siku hizi.ili mkulima afaidike na kilimo inatakiwa bei ya mbegu, bei za pembejeo, bei Za matrekta zipunguzwe. kuongeza bei ya vyakula wakati bei za vitu vinavyowasaidia kuzalisha vyakula vipo juu mkulima hawezi kupata faida.Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori...
Kwa hiyo wakulima wanatoka tena mbeya kuja Huku dar Kwa madalali kununua mchele elf4 mbona maajabu haya?Wakulima halisi hivi sasa wanarudi kununua chakula Kwa madalali waliowauzia Kwa Bei ya kutupa😠😠