Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Mleta mada hali ingekua mbaya kama masokoni kungekua hamna vyakula na watu wana hela mifukoni ila mambo ni tofauti kabisa ukienda sokoni kila kitu kinapatikana tena mteja unagombaniwa hivyo wewe tafuta hela tu
 
Hakuna mkulima analia kua bei za mahind mchele zimepanda kila mkulima ana chakula na ambao hawana wajifunze kuhifadhi chakula, ukiona bei ya chakula ni ghali nenda shamba kalime
Wewe bado ni mvulana!

Hapa hapo kwa shemeji alipoolewa dadako ndio uje uandike huu uharo!
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Unafanana na ID yako na avatar yako
 
Kwa nini udhibiti Bei ya vifaa vya ujenzi ? Kwenye soko huria hakuna kitu kama hicho, labda kwenye monopoly au state controlled economy. Isitoshe mnasingizia Bei za vifaa vya ujenzi, kwani mkulima anajenga kila mwaka?
Angalau kwa comment hii umeongea vema;

Sasa swali, ni faida ipi mkulima anaipata kutokana na upandaji wa bei wa vitu anapohitaji kununua khboresha hali zake?
 
Hakuna mkulima analia kua bei za mahind mchele zimepanda kila mkulima ana chakula na ambao hawana wajifunze kuhifadhi chakula, ukiona bei ya chakula ni ghali nenda shamba kalime
Ukilima, huvuni hapohapo 😝😝😝
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Kaandika mwengine aibu naona mimi
 
Wewe bado ni mvulana!

Hapa hapo kwa shemeji alipoolewa dadako ndio uje uandike huu uharo!
Kwa kua unaishi kwa shemeji unadhani kila mtu anaishi kwa shemeji.

Tafuta hela bei ya vyakula sio kubwa kama mnavyopiga kelele huku mitandaoni na kama unaona bei ni kubwa nenda na wewe kalime uuze kwa bei ndogo
 
Mtu anakwambia mbona bei za vifaa vya ujenzi vinapanda hamlalamiki.

Ujenzi ni basic need?? Wewe ukipata af tano saizi utawaza kununua tofali? Au wenzetu shule ilikua mkiimba mabata madogo madogo mlijihisi mmemaliza. Hali ni mbaya ila mmekaa kulamba mananii tu wanaosema ukweli hamuwataki
 
Nilikuwa nasubiri comment ya aina hii.

Wewe ndiye umeelezea Hali halisi ya maisha anayopitia mkulima na mtanzania kwa ujumla.

Mkulima wa nchi hii hanufaiki chochote na Bei ya chakula iliyo sokoni Sasa hivi,na siyo kwamba sisiem hawajui. Ukienda kule mashambani kipindi Cha mavuno,Bei ya maharage kwa mkulima inakuwa chini analanguliwa mno na dalali,na mbaya zaidi mnunuzi anajaza kangomba gunia la kilo Mia akienda kupima anatoa kilo 120.

Sisiem wanachukulia matutusa Sana,wanatufanya Kama wote hatuji chochote. Eti "wacha vyakula viwe juu ili mkulima anufaike na Bei ajae mahela mfukoni,ndiyo maendeleo hayo'. Sisiem ndiyo adui wa nchi hii.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Yaani Kwa maelezo haya unawaona wakulima wajinga Sana hawana akili, kuweka stoo yeye hawezi? Hao mnaowaita walanguzi huwa wanawashikia bunduki wakulima kwamba niuzie Kwa lazima mazao yako? Hebu fafanua apo na sie tuelewe.
 
Angalau kwa comment hii umeongea vema;

Sasa swali, ni faida ipi mkulima anaipata kutokana na upandaji wa bei wa vitu anapohitaji kununua khboresha hali zake?
Weka swali vizuri, kama naweza kununua gari la bei mbaya ambalo wewe huwezi kununua nitaita faida au niiteje hiyo.
 
Na wewe nenda kawe middleman sasa ufaidi. Middleman anapata na Mkulima naye anapàta. Mimi mwenyewe ninaandika hapa min shamba la mpunga Ubaruku. Nimeuza mchele wote palepale Ubaruku wala sikuleta Dar tofauti na miaka iliyopita.
Nimewahi kulima kule Mbarali estates miaka ya nyuma kabla watu wa share hawajafanya tunyang'anywe mashamba na mwekezaji[emoji52]
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Kwenye kilimo kila mtu afunge mkanda kwa kweli !! Bei ikipanda ndio furaha ya mkulima !! Wakulima wameonewa sana miaka mingi !! Huwa wanaitwa washamba ! Maana yake ni wa mashambani hajui lolote na hana lolote ! Sasa basi Imetosha Ba ndugu kila mtu ashinde mechi zake !
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Wewe unadhani kupanda bei ndio tija,
Tija ni kwa mtu kufanya uzalishaji na apate faida kulingana na uzalishaji wake.
Huko ulaya ikipanda Senti kumi au hasini watu wanaondoa viongozi wao madarakani nyie mnajisifia eti ni bei za mda mlefu.
Hata mkipandisha bado mnashindwa kuhimili maisha
Sasa hapo faida iko wapi kwa huyo mkulima?
Ni wakulima wangapi wamepandisha bei na wamenufaika na hizo bei?
 
Kwenye kilimo kila mtu afunge mkanda kwa kweli !! Bei ikipanda ndio furaha ya mkulima !! Wakulima wameonewa sana miaka mingi !! Huwa wanaitwa washamba ! Maana yake ni wa mashambani hajui lolote na hana lolote ! Sasa basi Imetosha Ba ndugu kila mtu ashinde mechi zake !
Hizo bei hazisaidii mkulima maana akishauza nakutoa ghalama za uzalishaji mpaka nauli ya kufika sokoni anarudi bilabila.
 
Back
Top Bottom