Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata me nmeona.Huyo hata maombi hayamfai..!!
Tulia dawa iwangie.. ukiona changamoto ujue kuna fursa katikati ingia upambane.. acha malalamikoNapenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.
Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.
Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.
Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?
Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?
Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.
Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
kuupinga mwingi unajua maana yake, mchezaji akilenga goli ili afunge lakini akiupiga mwingi mpira unatoka
Acha kejeli Jenga hoja halafu acha uzembe utabaki kulialia tu mitandaoniDogo! Usifikiri kila mtu kajaza mavi badala ya ubongo hapa!
Au kalime halafu uje kuuza kilo ya mchele bukuDogo! Usifikiri kila mtu kajaza mavi badala ya ubongo hapa!
Ndio na wewe uwe middle man sasa au siyo fursa hiyoBei nzuri anapata mkulima au middle man?
Sasa kama mtu kavuna kauza chakula chote bila kubakiza Cha kwake na familia mpaka msimu unaofuata hapo napo wa kulaumiwa ni serikali?Waeleze tu wakuelewe maana hakuna mkulima wenye mazao ya kuuza sahivi walisha wauzia wafanya biashara wa ndani na wale wa nje ya nchi
Ukute na wewe ni baba/mama na una familia[emoji44][emoji44]Wewe lazima ni LBGT!
Unalishwa na kutobolewa!
Unaishi kwa kutobolewa!
Hao wakulima wanaofaidika ni wa kijiji gani?
Na hao wanaolia njaa na kushindia mlo mmoja ni wapi?
Wewe ni Shwine....
Sijawahi kua cheti feki, Wala sijawahi na Sina mpango wa kuajiriwa serikalini (kuzungushia umaskini uzio) halafu jitahidi kutumia busara japo najua huna busaraKusoma unajua ila kuelewa ndio tatizo ulilonalo"
Nyie ndo vilaza na wafoji vyeti;
Kiongozi mwenye nua ya kuwainua wakulima, atahakikisha mazao yao yanakuwa juu' ila bidhaa zitokanazo na viwanda viwe chini,, umeelewa we Bwege?
Sasa kama hali ni mbaya kwako unafkiri ni mbaya Kwa Kila mtu? Ingekua ukienda sokoni hamna vyakula mngeeleweka ila nenda sokoni vyakula tele, tafuta hela acha kulialiaMtu anakwambia mbona bei za vifaa vya ujenzi vinapanda hamlalamiki.
Ujenzi ni basic need?? Wewe ukipata af tano saizi utawaza kununua tofali? Au wenzetu shule ilikua mkiimba mabata madogo madogo mlijihisi mmemaliza. Hali ni mbaya ila mmekaa kulamba mananii tu wanaosema ukweli hamuwataki
Halafu mbona wanaendelea na kilimo? Wanapata wapi mtaji wa kurudi shamba ilhali wamerudi bila bilaHizo bei hazisaidii mkulima maana akishauza nakutoa ghalama za uzalishaji mpaka nauli ya kufika sokoni anarudi bilabila.
TumainEl nimekusomq sana siku nyingi lakini huwa unaishia kuongelea hewani hautui wala kushauri.Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.
Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.
Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.
Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?
Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?
Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.
Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
Ka fala! Kwahiyo unataka mimi niongee kwa niaba ya asilimia ya wanaoweza kumudu chakula? Na wasio na uwezo wa bei hizi za chakula nani atawasemea?Sasa kama hali ni mbaya kwako unafkiri ni mbaya Kwa Kila mtu? Ingekua ukienda sokoni hamna vyakula mngeeleweka ila nenda sokoni vyakula tele, tafuta hela acha kulialia
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Watajwa wote hapo hawana huruma na watanzani kuanzia yule msomali anafungulia mipaka had kwa mwenye wizara ya feza Ni wapuuziNapenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.
Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.
Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.
Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?
Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?
Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.
Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
Na huyo huyo unaemtetea ndie anateseka na njaa kwa sasa!Ulitaka ununue unga kilo moja 1000 siku zote? Unajua heka heka za kukimbiza ngedere shamban wew? Bei ya mbolea unaijua?
Huyu ni chawa wa mamaMbona kina vick wanakuwaga na akili..??
Acha roho ya korosho ni wakati wa sisi wakulima kunufaika na ongezeko la bei kwa bidhaa za mazao. Hakuna kukopwa kama huko nyuma malipo ni taslimu.Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.
Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.
Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.
Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?
Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?
Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.
Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End