Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Umeandika kama mtu asiye na elimu.
Kaandika uhalisia, TZ tuna ardhi kubwa mno Tena Ina rutuba ya kutosha kuzalisha mazao ya Kila aina, Kwa kifupi tuna uwezo wa kuzalisha chakula Cha kulisha Afrika nzima.

Tatizo letu ni uzembe na uvivu tuambiane tu ukweli ndugu zangu, haiwezekani tunapata soko la nje badala tuchangamkie fursa tunabaki kulialia eti tufunge mipaka serious?

Angalia nchi zilizotuzunguka DRC Burundi Rwanda Kenya Yaani tulipaswa kufanya biashara ya chakula mpaka Somalia Sudani kusini n.k

Badala yake tunalialia tu na kuilalamikia serikali kweli?

Kwa ujinga ujinga huu hii nchi kusonga mbele tutasubiri sana

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wala hakuna mkulima mwenye kuweza kusafirisha chakula shida ya Biashara ya chakula imeingiliwa na walanguzi ndio wanao miliki soko na sio mkulima.
Wananunua mali ikiwa shambani haswa mchele
Kumbe unajua suluhisho! Nenda na wewe ukanunue huku huko shambani
 
Wewe ni taahira!

Hakuna mkulima anafaidika na hizi bei hakuna! Kwanza hawana mazao sasa hivi.

Sisi tulioko huku field tunajua.
Mimi natokea jamii ya wafugaji na tunalima vile vile. Kwa kifupi gu sasa hivi angalau kidogo tunapata tija ya tunachozalisha

Kama unaishi hapo Dar au mji mwingine beba gharama za kuishi mjini acha kelele

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi natokea jamii ya wafugaji na tunalima vile vile. Kwa kifupi gu sasa hivi angalau kidogo tunapata tija ya tunachozalisha

Kama unaishi hapo Dar au mji mwingine beba gharama za kuishi mjini acha kelele

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Acha uongo dogo!

Muulize mamako kule kijijini kama ana hata unga sasa hivi
 
Uchumi ndo unakulekeza haya?

We ni pimbi nini?

Mkulima baada ya kuuza mazao yake kwa bei kubwa anakutana na vifaa vya viwandani kwa beo ileile kubwa na ya juu zaidi?

Mkulima ananufaika na nini kwa upandaji wa mazao yake?

Ni aheri mazao yake yawe juu ili akanunue vifaa vya ujenzi kwa bei ndogo ili kuharakisha maendeleo yake,;

Nimejiridhisha kwamba, watanzania wengi ni wapumbavu sana"

Narudia kusema" kuna watu nchi hii wenye akili mingi saana kama kina JPM haikuwastahili wazaliwe Tanzania,
Jitu linang'ang'ana tu kusema eti waacheni wakulima wanufaike na mazao yao ili hali akitoka kuuza mazao yake kwa bei ya juu anaenda kukutana bidhaa zitokanazo na viwanda bei yake ni juu zaidi
Rejea kumbukumbu wakati wa huyo unayemuona kuwa ana akili kuliko watu wote duniani,

Wakati wake mazao yalipanda bei wazembe mkanung'unika kama kawaida yenu aliwaambia nenda kauze hata ng'ombe 10 ununue ndio 1 ya mahindi wapumbavu nyie

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.

Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.

Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.

Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?

Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?

Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.

Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
Nenda kalime kama ajira hailipi.Mkulima hawezi kupangiwa bei au mahali pa kuuzia mazao yake,kwa kuwa yeye ni mfanyibiashara kama wengine.Mbona wafanyibiashara wengine hawapangiwi mahali pa kuuzia biashara zao wala bei za kuuzia?
 
Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.

Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.

Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.

Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?

Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?

Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.

Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
Unategemea mtu kama DC au RC atasema bei ipo juu na wakati kila kitu anapata bure?
 
Mosi Wewe sio mkulima. Ungekua mkulima ungeelewa mnyororo wake ukoje na nani ni mnufaika.
Pili wanaonufaika na huu mfumuko ni madalali na wafanyabiashara wenye maghala, wanaonunua mazao wakati wa msimu bei ikiwa chini, wanahifadhi bei ipande then wauzd kwa bei juu.
Kwa hiyo ni kosa nikinunua nikahifadhi wakati natafuta soko? Jamani tufanye kazi acheni uzembe

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nawapa experience yangu. Mimi ni Mhadhiri kwenye Chuo Kikuu kimoja Dar es Salaam. Mwaka 2016-2017 kama mnakumbuka vyakula vilipanda bei sana. Nikaamua ntakuwa nalima kila mwaka nikaaza na ekari 10 kule Naberera Simanjiro mpaka mwaka jana nililima ekari 150 pamoja na hali mbaya ya hewa. Kuanzia hapo sijapungukiwa chakula na kila January nauza mazao napata ada na matumizi mengine ya familia. Sasa nasema endeleeni kukaa kwenye keyboards kupiga domo. Mtakula maafi. Yes twendeni tukalime tutengeneze vikundi vya uzalishaji nawaambia mtaacha malalamiko. Tatizo vijana wengi niliojaribu kwenda nao hawana uvumilivu kukaa shambani .maharage ni miezi mitatu lakini kijana wiki mbili tu amekumbuka club,uzinzi mjini, kubet etc. Mtabaki mnabeti mpaka mfe. Pili wanasiasa na viongozi hawasemi ukweli na kuongoza vyema wananchi .wanapenda kuwapambapamba wanachi kwa matumaini yasiyo ya kweli. Kiufupi hakuina serikali itakupwa wewe chakula hakuna labda kwa walemavu na dharura tuu. hakuna kula bure duniani tufanye kazi. Period.
 
Kwa akili yako mkuu unajua mkulima ananufaika na lolote kaka mkulima atabak kua grade ya Mwisho kimaisha apa Tanzania
Unataka kuniambia kuwa kwenye hii price hike Middleman anamlipa Mkulima kwa bei ya mwaka 2016-21?

Tuwe serious na arguments zetu, tusiwasemee wakulima kwa assumptions. Hakuna mkulima ambaye hajui kuwa Bei za mazao zimepanda.

Halafu hayo mawazo mgando ya kudharau kilimo ndiyo yanafanya vijana wote mnaishia kuwa wamachinga na wasusi wa nywele mijini.
 
Acha uongo dogo!

Muulize mamako kule kijijini kama ana hata unga sasa hivi
Kwani Niko wapi sasa hivi? Ndio nimetoka kuwatengea kuku msosi sahivi naingia Kwa nguruwe, maziwa yameshachukuliwa Toka saa 12 alfajiri, nikitoka hapa Banda la nguruwe naenda kuangalia matikitimaji yanaendeleaje.

Akiba ya Chakula ipo inatutosha mpaka msimu wa mavuno mwezi wa 6 huko. Endelea kuzurura mjini na kulialia mitandaoni

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Mkuu amini huyo mkulima unae msemea sahivi nae analia njaa maana Alisha uza kwa mfanyabiasha Kama huamini nenda singida vijijin sahivi wanasubiria maidi ya msaada watakayo uziwa kwa nusu Bei
 
Kwani Niko wapi sasa hivi? Ndio nimetoka kuwatengea kuku msosi sahivi naingia Kwa nguruwe, maziwa yameshachukuliwa Toka saa 12 alfajiri, nikitoka hapa Banda la nguruwe naenda kuangalia matikitimaji yanaendeleaje.

Akiba ya Chakula ipo inatutosha mpaka msimu wa mavuno mwezi wa 6 huko. Endelea kuzurura mjini na kulialia mitandaoni

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Dogo! Usifikiri kila mtu kajaza mavi badala ya ubongo hapa!
 
Back
Top Bottom