think tank01
JF-Expert Member
- Aug 11, 2022
- 270
- 400
Kwani wenye mama yao wamekuja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi ndo unakulekeza haya?Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.
Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Washenzi Sana Hawa,wake Sasa huku kwa wakulima waeleze huo upumbavu wao si wameruhusiwa mikutano,wake wawaambie wakulima eti wanataka vyakula vishuke Bei.Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.
Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Ananufaika na Bei kubwa ya Mazao ,ulitaka auze Bei ndogo afu akuyane na Bei kubwa ya vifaa? Acha upumbavu wako wewe.Uchumi ndo unakulekeza haya?
We ni pimbi nini?
Mkulima baada ya kuuza mazao yake kwa bei kubwa anakutana na vifaa vya viwandani kwa beo ileile kubwa na ya juu zaidi?
Mkulima ananufaika na nini kwa upandaji wa mazao yake?
Ni aheri mazao yake yawe juu ili akanunue vifaa vya ujenzi kwa bei ndogo ili kuharakisha maendeleo yake,;
Nimejiridhisha kwamba, watanzania wengi ni wapumbavu sana"
Narudia kusema" kuna watu nchi hii wenye akili mingi saana kama kina JPM haikuwastahili wazaliwe Tanzania,
kipi ni kipi?Ananufaika na Bei kubwa ya Mazao ,ulitaka auze Bei ndogo afu akuyane na Bei kubwa ya vifaa? Acha upumbavu wako wewe.
Endelea kusubiria Serikali itakulimia sawa?kipi ni kipi?
Hiyo ndo maana ya uchumi'? Masisiem mmelogwa?
Wala hakuna mkulima mwenye kuweza kusafirisha chakula shida ya Biashara ya chakula imeingiliwa na walanguzi ndio wanao miliki soko na sio mkulima.Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.
Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Mlanguzi ananunua chakula Bei gani Kijijini? Unajua Bei ya shamba Kijijini Mfano Majimoto Katavi au unaropoka tuu?Wala hakuna mkulima mwenye kuweza kusafirisha chakula shida ya Biashara ya chakula imeingiliwa na walanguzi ndio wanao miliki soko na sio mkulima.
Wananunua mali ikiwa shambani haswa mchele
Endelea kubet mzee ,Bei zitashuka sawa 👇Mosi Wewe sio mkulima. Ungekua mkulima ungeelewa mnyororo wake ukoje na nani ni mnufaika.
Pili wanaonufaika na huu mfumuko ni madalali na wafanyabiashara wenye maghala, wanaonunua mazao wakati wa msimu bei ikiwa chini, wanahifadhi bei ipande then wauzd kwa bei juu.
Endeleeni kupanua miguu na kupaka kucha rangi vyakula vitadondoka toka mawinguni!! Shikeni jembe na nyie mkalime acheni uvivu ndo mje muuze mazao yenu jero jero muone raha ukulima!!Khaaaaah khaaa khaaaa ww unahitaji maombi ww si bure.
Tena hizi Bei bado hazimlipi mkulima zinatakiwa ziwe Kama za Nchi Jirani hapo ili watie akili Hawa wapuuziEndeleeni kupanua miguu na kupaka kucha rangi vyakula vitadondoka toka mawinguni!! Shikeni jembe na nyie mkalime acheni uvivu ndo mje muuze mazao yenu jero jero muone raha ukulima!!
Aliyewadanganya kuna mkulima mpumbavu anayeuza mazao yake aache kuweka hifadhi kwa ajili ya familia yake nani!! Vyakula tumeweka stoo vya kutosha hata miaka mitatu!! Nyie endeleeni kupaka rangi kucha.
Na mwaka tunaingia tena shamba kwa fujo zote!! Mama achilia soko tuuze hata buku kumi kumi na sisi wakulima tufaidike!!
Nilikuwa nasubiri comment ya aina hii.Mosi Wewe sio mkulima. Ungekua mkulima ungeelewa mnyororo wake ukoje na nani ni mnufaika.
Pili wanaonufaika na huu mfumuko ni madalali na wafanyabiashara wenye maghala, wanaonunua mazao wakati wa msimu bei ikiwa chini, wanahifadhi bei ipande then wauzd kwa bei juu.
C.c; Lucas mwashambwaNapenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.
Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.
Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.
Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?
Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?
Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.
Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
Mwanaume maneno mengi sana ya nin na ww🤨Endeleeni kupanua miguu na kupaka kucha rangi vyakula vitadondoka toka mawinguni!! Shikeni jembe na nyie mkalime acheni uvivu ndo mje muuze mazao yenu jero jero muone raha ukulima!!
Aliyewadanganya kuna mkulima mpumbavu anayeuza mazao yake aache kuweka hifadhi kwa ajili ya familia yake nani!! Vyakula tumeweka stoo vya kutosha hata miaka mitatu!! Nyie endeleeni kupaka rangi kucha.
Na mwaka tunaingia tena shamba kwa fujo zote!! Mama achilia soko tuuze hata buku kumi kumi na sisi wakulima tufaidike!!
Ishi huyu naeKama unapenda busara ungeanza kumuambia huyo niliemjibu.