Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.

Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.

Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.

Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?

Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?

Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.

Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
"WAKULIMA WANAFAIDIKA KWELI KWA WAKATI HUU KULIKO WAKATI MWINGINE WOWOTE ULE, TWENDENI TUKALIME ILI TUFAIDIKE SOTE.
 

Attachments

  • IMG-20230108-WA0003.jpg
    IMG-20230108-WA0003.jpg
    134.3 KB · Views: 4
Acha upumbavu, sisitiza serikali yako ifanye wepesi kwenye pembejeo kama ndio kisababishi cha upandaji wa gharama za mazao na nafaka,.usitumie matako kwenye kichwa chako.
Nenda ukalime, period. Mumekaa mnanyonya wakulima kila mwaka. Ruzuku za pembejeo hazina effectiveness. Huko Songwe wafanyabiashara wananunua mbolea ya ruzuku wanakwenda kuuza Malawi na Zambia.

Nenda ukalime tu
 
Sikiliza taahira!

Wanaohangaika na hizo bei za juu za bidhaa ni hao wakulima wenyewe!

Hakuna mkulima anafaidika na hizi bei sasa hivi!

Hivyo vichwa mjaze ubongo siyo mavi
Wakulima gani wanataabika? Sema wananchi wanaotoka mikoa ya wavivu kama Tanga na Mtwara ambako vijana wamekimbilia mijini kufanya UMACHINGA!

Sisi wa nyanda za juu tuko fit, tunauza Zambia kwa kwenda mbele.
 
Khaaaaah khaaa khaaaa ww unahitaji maombi ww si bure.
Nendeni mkalime mvua zinanyesha!! Tanzania ardhi yenye rutuba ni kubwa ila inayolimwa ni chini ya 15%.

Vijana wa Kitanzania hawapendi kulima, wanapenda kazi za kuosha wadada kucha, kupaka rangi nywele na biashara ya umachinga.

Huu ni muda sasa wakatambua kuwa kilimo ni biashara
 
Uchumi ndo unakulekeza haya?

We ni pimbi nini?

Mkulima baada ya kuuza mazao yake kwa bei kubwa anakutana na vifaa vya viwandani kwa beo ileile kubwa na ya juu zaidi?

Mkulima ananufaika na nini kwa upandaji wa mazao yake?

Ni aheri mazao yake yawe juu ili akanunue vifaa vya ujenzi kwa bei ndogo ili kuharakisha maendeleo yake,;

Nimejiridhisha kwamba, watanzania wengi ni wapumbavu sana"

Narudia kusema" kuna watu nchi hii wenye akili mingi saana kama kina JPM haikuwastahili wazaliwe Tanzania,
Jitu linang'ang'ana tu kusema eti waacheni wakulima wanufaike na mazao yao ili hali akitoka kuuza mazao yake kwa bei ya juu anaenda kukutana bidhaa zitokanazo na viwanda bei yake ni juu zaidi
Wewe ndiye Pimbi mwenye akili za kuvukia barabara tu. Tanzania tulifanya liberalization ya economy kwenye 1980s. Soko au nguvu ya supply and demand ndiyo lita determine bei ya bidhaa.

Kufunga mipaka tusiuze mahindi nje ya nchi kulikofanywa na Kichaa Magufuli ilikuwa ni dhuluma kwa wakulima wa Nyanda za Juu Kusini ambao kilimo ndiyo njia yao kuu ya uchumi. UJINGA huo hauna nafasi tena.

Kupanda kwa Bei iwe ni incentive kwa watu wengi wajihusishe na kilimo.
 
Wala hakuna mkulima mwenye kuweza kusafirisha chakula shida ya Biashara ya chakula imeingiliwa na walanguzi ndio wanao miliki soko na sio mkulima.
Wananunua mali ikiwa shambani haswa mchele
Kama wewe ni mkulima wa ukweli na siku zote ulikuwa unapeleka mazao mwenyewe sokoni, na mwaka huu unaona watu wanafuata shambani kwako. Utakuwa ni KICHAA kuwauzia kwa bei ya mwaka jana.

Wakulima siyo wapumbavu kihivyo!! Wanayo taarifa ya kutosha kuhusu soko la ushindani. Information is asymmetrical in a competitive market.
 
Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.

Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.

Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.

Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?

Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?

Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.

Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
Nenda kalime. Mvua zimeanza. Kilimo kitakuwa kwa namna hiyo, umasikini vijijini utaondoka kwa namna hiyo
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Wanaofaidika ni walanguzi (middle men) na sio mkulima asee
 
Wala hakuna mkulima mwenye kuweza kusafirisha chakula shida ya Biashara ya chakula imeingiliwa na walanguzi ndio wanao miliki soko na sio mkulima.
Wananunua mali ikiwa shambani haswa mchele
Soko huria na wakulima wamekubali. Hiyo habari ya ulanguzi iliundwa na wakina Nyerere enzi za ujamaa kuficha incompetence yao. Acha kuisema kama kasuku.
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo

Kwa akili yako mkuu unajua mkulima ananufaika na lolote kaka mkulima atabak kua grade ya Mwisho kimaisha apa Tanzania
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Tunaotokea jamii ya wafugaji tunatamani nyama ifike hata 15,000 Kwa kilo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema
Kuna sehemu nimeuliza swali linalofanana na maelezo yako nikajibiwa kuwa tuache wakulima wafaidi bei za mazao Yao walipunjwa sana. Nikajiuliza kimoyomoyo, wanafaidi kweli bei hizi, maana sina hakika kama bei za pembejeo kama zimeshuka kuliko siku za nyuma Hata baada ya ruzuku kwamba Sasa faida inayopatikana kwa kuuza mazao imetanuka sana.

Hili swali la kimoyo moyo mliache hivyo hivyo msinijibu.
 
Uchumi ndo unakulekeza haya?

We ni pimbi nini?

Mkulima baada ya kuuza mazao yake kwa bei kubwa anakutana na vifaa vya viwandani kwa beo ileile kubwa na ya juu zaidi?

Mkulima ananufaika na nini kwa upandaji wa mazao yake?

Ni aheri mazao yake yawe juu ili akanunue vifaa vya ujenzi kwa bei ndogo ili kuharakisha maendeleo yake,;

Nimejiridhisha kwamba, watanzania wengi ni wapumbavu sana"

Narudia kusema" kuna watu nchi hii wenye akili mingi saana kama kina JPM haikuwastahili wazaliwe Tanzania,
Jitu linang'ang'ana tu kusema eti waacheni wakulima wanufaike na mazao yao ili hali akitoka kuuza mazao yake kwa bei ya juu anaenda kukutana bidhaa zitokanazo na viwanda bei yake ni juu zaidi
Kinachokusumbua ni chuki pamoja na usukuma gang
 
Back
Top Bottom