Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Bei ya chakula ipo juu halafu mtu anasema Mama anaupiga mwingi

Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.

Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.

Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.

Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?

Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?

Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.

Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End

Ni tatizo kwa kweli. Viongozi hawana strategy kwenye hili.
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo

Bei nzuri anapata mkulima au middle man?
 
Hakuna mkulima anafaidika na hizi bei hakuna! Kwanza hawana mazao sasa hivi.

Sisi tulioko huku field tunajua.
Waeleze tu wakuelewe maana hakuna mkulima wenye mazao ya kuuza sahivi walisha wauzia wafanya biashara wa ndani na wale wa nje ya nchi
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Wewe lazima ni LBGT!

Unalishwa na kutobolewa!
Unaishi kwa kutobolewa!

Hao wakulima wanaofaidika ni wa kijiji gani?

Na hao wanaolia njaa na kushindia mlo mmoja ni wapi?

Wewe ni Shwine....
 
Rejea kumbukumbu wakati wa huyo unayemuona kuwa ana akili kuliko watu wote duniani,

Wakati wake mazao yalipanda bei wazembe mkanung'unika kama kawaida yenu aliwaambia nenda kauze hata ng'ombe 10 ununue ndio 1 ya mahindi wapumbavu nyie

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kusoma unajua ila kuelewa ndio tatizo ulilonalo"

Nyie ndo vilaza na wafoji vyeti;

Kiongozi mwenye nua ya kuwainua wakulima, atahakikisha mazao yao yanakuwa juu' ila bidhaa zitokanazo na viwanda viwe chini,, umeelewa we Bwege?
 
Wewe ndiye Pimbi mwenye akili za kuvukia barabara tu. Tanzania tulifanya liberalization ya economy kwenye 1980s. Soko au nguvu ya supply and demand ndiyo lita determine bei ya bidhaa.

Kufunga mipaka tusiuze mahindi nje ya nchi kulikofanywa na Kichaa Magufuli ilikuwa ni dhuluma kwa wakulima wa Nyanda za Juu Kusini ambao kilimo ndiyo njia yao kuu ya uchumi. UJINGA huo hauna nafasi tena.

Kupanda kwa Bei iwe ni incentive kwa watu wengi wajihusishe na kilimo.
Huihui2 huwezi kubadirika hata siku moja! Wewe ni pimbi na utakuwa hivyo,

Jinga sana wewe' jiendelezd ili angalau uwe na uelewa kidogo, itakusaidia,

Nia ya kumkwamua mkulima kutoka kwa umasikini wake mpaka sasa haupo jinga wewe;

Unamwinuaje mkulima kwa kupandisha mazao yake bila kudhibiti bei bidhaa za viwandani,?? Anatoka kuuza mazao kwa bei ya juu anaenda kununua vifaa vya ujenzi bei ileile ya juu mara mia zaid?

kinachofanyika kwa sasa na unachokitetea wewe huihui2 ni sawa na mtu umwambie afute oo, na aandike sifuri, kuna la maana hapo?

Tanzania imejaa wajinga wengi
 
Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.

Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.

Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.

Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?

Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?

Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.

Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
si ulime cha kwako-
 
Mkuu amini huyo mkulima unae msemea sahivi nae analia njaa maana Alisha uza kwa mfanyabiasha Kama huamini nenda singida vijijin sahivi wanasubiria maidi ya msaada watakayo uziwa kwa nusu Bei
Singida siyo mfano wa mikoa ya kilimo cha mahindi. Ukitaka kuongelea wakulima wanao suffer weka wa Rukwa, Mbeya, Songwe, Ruvuma, Njombe na Iringa.

Hawa ndiyo ambao kwao mahindi ni biashara na chakula pia. Mikoa hiyo wasipofaidi kipindi hiki kilimo Chao kinakuwa hakuna maana
 
Mleta mada hili ni tatizo la Dunia elewa hilo, tena kwa wenzetu kama Kenya hali ni mbaya sana!
Funga bakuli lako kama huna data za kulinganisha na hali ilivyo duniani!
 
Sikiliza!

Wanaohangaika na hizo bei za juu za bidhaa ni hao wakulima wenyewe!

Hakuna mkulima anafaidika na hizi bei sasa hivi!

Hivyo vichwa mjaze ubongo siyo mavi
Hakuna mkulima analia kua bei za mahind mchele zimepanda kila mkulima ana chakula na ambao hawana wajifunze kuhifadhi chakula, ukiona bei ya chakula ni ghali nenda shamba kalime
 
Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata unapita ktk moto na mara nyingi Huwa ni elite people wanapata hizo nafasi.

Wenzetu wana angalia mambo mengi sana wenzetu wana mifumo mizuri sana kuwapima na kuwapata viongozi Yani wenzetu kuwa Rais hakukupndolei Kinga kuburuzwa mahakamani kwa maamuzi mabovu na yenye kutia hasara Taifa.

Wenzetu wapo mbali sana jamani Yani Utaifa wao kwanza sio vyama au chama yani mifumo ya usalama ipo imara huwezi sikia wale top security team wanaguswa guswa kisiasa never ever.

Kwanini nasema hivi napata tabu sana watanzania tuna shida tunahitaji dawa na kisomo. Hivi unajiuliza bei ya vitu ilivyopanda alafu mtu anasimama nakusema mam anaupiga mwingi alafu same mtu huyo analia njaa pembeni hivi kweli tumelaaniwa ama tumekosa Nini hasa sisi wa Tz?

Bei ya mchele imefika book 4 unga umepanda, mahindi yamepanda maharage ndio usiseme hivi kweli tuna Manisha au tunafanya masihara?

Mataifa jirani yanakusanya kila kitu yanapeleka kwao sisi tunasema anaupiga mwingi kweli au tunatania. Yani mpaka waziri anasimama anasema mama anaupiga mwingi while wizara yake imemshinda hivi kweli mnajuwa kile mnasifia au mpaka muanze kulia kwenye majumba yenu ndio mtajuwa hii sasa imeingia.

Bei zitapanda na mbaya kuliko yote ni Dola kupanda wasomi isaidieni serikali hapa Kuna watu wanafikiri wana mkomoa marehem kumbe marehem hakomolewe na mara zote majuto ni mjukuu samahani kama nakosea kwa wizara nitazigusa ila kuliponya Taifa waziri wa fedha, Nishati na waziri wakilimo wanapaswa kujitafakari. Bundi analia milangoni mwao kwa maono yangu. End
Kumuongelea marehemu mwishoni kabisa umeharibu uzi wote umeuingizia mawazo ya kisiasa wakati ukweli ni kwamba sio kila kitu kinamhusu JPM.

Naamini zipo sababu kadhaa za kwanini bei zinazidi kupaa haswa za vyakula, wajuzi wa masuala ya kilimo na biashara ya vyakula na waje watujuze kwa kina.
 
'Ooh inakuwa haina maana kama mkulima anauza mazao yake bei kubwa halafu anaenda kununua bidhaa za ujenz kwa bei ya juu vilevile'
Kwanini mnaamini kila mkulima bado hajajenga, mnahisi mkulima akiuza tu stock yake ya mazao ni mbio kukimbilia kujenga[emoji3][emoji3] Acheni ujinga jamani, sisi wengine kilimo ni milele na ndo shughuli kuu ya kiutafutaji. Ukiniambia sifaidiki ntakuuliza kivipi utakosa majibu.
 
Huihui2 huwezi kubadirika hata siku moja! Wewe ni pimbi na utakuwa hivyo,

Jinga sana wewe' jiendelezd ili angalau uwe na uelewa kidogo, itakusaidia,

Nia ya kumkwamua mkulima kutoka kwa umasikini wake mpaka sasa haupo jinga wewe;

Unamwinuaje mkulima kwa kupandisha mazao yake bila kudhibiti bei bidhaa za viwandani,?? Anatoka kuuza mazao kwa bei ya juu anaenda kununua vifaa vya ujenzi bei ileile ya juu mara mia zaid?

kinachofanyika kwa sasa na unachokitetea wewe huihui2 ni sawa na mtu umwambie afute oo, na aandike sifuri, kuna la maana hapo?

Tanzania imejaa wajinga wengi
Kwa nini udhibiti Bei ya vifaa vya ujenzi ? Kwenye soko huria hakuna kitu kama hicho, labda kwenye monopoly au state controlled economy. Isitoshe mnasingizia Bei za vifaa vya ujenzi, kwani mkulima anajenga kila mwaka?
 
Endeleeni kupanua miguu na kupaka kucha rangi vyakula vitadondoka toka mawinguni!! Shikeni jembe na nyie mkalime acheni uvivu ndo mje muuze mazao yenu jero jero muone raha ukulima!!

Aliyewadanganya kuna mkulima mpumbavu anayeuza mazao yake aache kuweka hifadhi kwa ajili ya familia yake nani!! Vyakula tumeweka stoo vya kutosha hata miaka mitatu!! Nyie endeleeni kupaka rangi kucha.

Na mwaka tunaingia tena shamba kwa fujo zote!! Mama achilia soko tuuze hata buku kumi kumi na sisi wakulima tufaidike!!
Mama yangu ni mkulima mwezi wa 12 nilimtembelea ana stock ya mahindi zaidi ya gunia 100 alizeti anazo kama 26 hivi mpunga alinunua kipind bei ipo chini ana kama tatu za chakula maharagwe ana zaidi ya kilo 80

Sasa nashangaa kuna wehu wanasema eti wakulima hawana chakula labda wakulima mazuzu
 
Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.

Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Mvua ni nyingi sana mwaka huu,

Tukazane kulima na kuwekeza kwenye KILIMO,

Duniani huko njaa Kali yaja, tukivuna tusirudie kosa, tuweke akiba.

Aaamen
 
Acha upumbavu, sisitiza serikali yako ifanye wepesi kwenye pembejeo kama ndio kisababishi cha upandaji wa gharama za mazao na nafaka,.usitumie matako kwenye kichwa chako.
Wewe ni mpuuzi tu unachojuwa ni matusi ulirithishwa na mama yako malaya
 
Back
Top Bottom